Hoteli ya nyota Tatu inajengwa Chato, Wana-CCM mnafurahishwa na kitendo cha kupeleka kila mradi wa ujenzi Chato?

Unaijua Butiama?! Ni makao makuu ya wilaya, ambako mwasisi wa taifa letu katokea, nipe orodha ya miradi na thamani kwa miaka 5 iliyopita linganisha.Yanayofanyika Chato ni maamuzi magumu na ya kipekee.
 
Kila mradi Chato kivipi? Hizi barabara za sinza, mwenge, mbezi, stieglers gorge, stands mpya kila mkoa, nazo zipo Chato?
Nitajie wilaya zaidi ya chato waliohamishia wanyama kwa ma malory ili kuanzisha mbuga ya wanyama.Ukimaliza taja na wilaya zilizojengwa viwanja vya ndege kwenye awamu hii ya tano
 
Wacha apeleke tu. Mimi nikiwa Rais 2030 yanayofanyika Chato yataonekana takataka. Ni Kweli huko kwetu Usoke, Tabora nitaweka yote yaliyowekwa Chato ie internaional airport, hospital ya rufaa, uwanja wa michezo, mbuga ya wanyama, n.k. Huyo wa Chato nitamzidi kwa yafuatayo:
1. Nitafikisha SGR hapo
2. Chuo Kikuu
3. Bandari.
Ndiyo, bandari! Nitachimba mfereji mkubwa wa kupitisha meli kutoka pwani ya bahari ya Hindi hadi Usoke. Kama mfereji wa Suez au wa Panama ulijengwa basi hata wa Usoke unaweza kujengwa, elevation ya Usoke above sea level notwithstanding. Hapo ndo ulimwengu utashangaakuhusu engineering feat ya watanzania. Tena nitajitahidi kijiji cha usoke kiwe jiji nani y miaka 10. Nikione miaka 10 inaisha lengo langu halijafanikiwa, nitapiga ndogo ndogo niongezewe miaka mingine, ili flagship projects zangu zikamilike. Charity begins at home!
 
Hayo mahotel yatageuka kuwa magofu mara tu atakapotoka madarakani.

Mtalii gani ataenda CHATO? Kwa lipi?
Dah.....atoke kwenda wapi? ,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]
 
Ulivyotaja Tancut Almasi tu, Kampuni ya uwekezaji ya mtu binafsi, iliyo jifia miaka ya 90, nikajua tayari wewe ni mchekeshaji tu.
 
Eti huo ni uzalendo. Ila siku wakishtuka hao wanaojiita chawa wa chama: walah watapiga mtu mawe hadharani tena kweupeeee
Najua unaandika huku moyo unakuuma sana yani concious yako inakusuta
 
Kweni Chato wanaishi waGanda au waKenya? Yani wabongo bana
 
Kwa ujinga wako ulitaka ijengwe wapi ndo ulidhike?
Mapato ya kodi ya watu wa chato ulishayakataa yasitumike sehemu nyingine?
Ni upumbavu kutaka kuonyesha kuwa kuna sehemu tanzania haihitaji kuendelezwa.
 
Asipofanya hivyo majengo mengi Chato yatageuka magofu ndani ya miaka 5 baada ya kutoka.
Ni kweli. lakini hata hivyo majengo kugeuka magofu ni suala la muda tu. Ataishi milele? Jibu ni hapana. Na siku akiwa hayuko tu mambo yataanza kugeuka. Kitu kama ule uwanja wa ndege ni nani atautumia?
 
CCM wanalilia ndani kwa ndani na ole wako machozi yaonekane
 
Hatufurahishwi kabisa ilitakiwa ijengwe ya nyote 5 kabisa maana ndo zawadi tunaweza kumpa rais wetu mzalendo namba 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…