Hottie of the day ..african beuty

Hottie of the day ..african beuty

FirstLady1

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2009
Posts
16,789
Reaction score
5,401
1087.jpg


concha-buika-toronto-debut.canada.singer.jpg


aab0ac3fc669e875b0349b29d2da5044.jpg


weekend njema:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:
 
ni mzuri sana lkn hizo tatoooooooo,sijazipenda kiivyo zo kapendeza nazo,smtimes we do things that cost us alot,I had zem wayback lkn kuzitoa ni ishu my dia.she is vey sweeeeeeeeeet.
 
ni mzuri sana lkn hizo tatoooooooo,sijazipenda kiivyo zo kapendeza nazo,smtimes we do things that cost us alot,I had zem wayback lkn kuzitoa ni ishu my dia.she is vey sweeeeeeeeeet.
Lulu, za kwako zipo kwa wapi katika ramani ya mwili wako?
 
Asingeweka hizo rangi kwenye kope/nyusi......
FL1 ndo mwaita shedo au?
 
ni mzuri sana lkn hizo tatoooooooo,sijazipenda kiivyo zo kapendeza nazo,smtimes we do things that cost us alot,I had zem wayback lkn kuzitoa ni ishu my dia.she is vey sweeeeeeeeeet.

ulifanikiwaje kuzitoa dearest...msaada hapo., kuna frnd wangu anataka kutoa yake ya kiunoni.
 
ni mzuri sana lkn hizo tatoooooooo,sijazipenda kiivyo zo kapendeza nazo,smtimes we do things that cost us alot,I had zem wayback lkn kuzitoa ni ishu my dia.she is vey sweeeeeeeeeet.


mtoto mzuri kumbe na wewe ulikuwa umeziweka
Pole sana ...Kuna mmoja hapa analia kuzitoa hazitoki..aliziweka enzi za ujana kwenye manyonyo sasa ana watoto anatamani kuzitoa lakini ndo hizo hazitoki
 
duh acha tu mpz smtimes u have to sacrifies kama kweli unahitaji kufanya ukitakacho,nilijaribu kutumia maziwa fresh na sindano kupitisha ze same places kwenye michoro ikagoma,nilipompokea bwana na mokozi wangu zilinitesa sana,wat I did was terrible kama anamoyo kama wangu na kumaanisha akitakacho afanye,nilijichoma kwa basi ya moto sehem zote zile na kuumia sana,nilipewa dawa nyingi mno,bahari nzuri nilipata dawa toka nje ya kufuta makovu,u cnt imagini nikikuonyesha semeh huwezi kuona hata kovu wala dalili yake.
ulifanikiwaje kuzitoa dearest...msaada hapo., kuna frnd wangu anataka kutoa yake ya kiunoni.
 
Acha tu mamy bila Yesu sijui ningekuwa wapi!sikutaka kuwa na alama tena mwilini mwangu.
mtoto mzuri kumbe na wewe ulikuwa umeziweka
Pole sana ...Kuna mmoja hapa analia kuzitoa hazitoki..aliziweka enzi za ujana kwenye manyonyo sasa ana watoto anatamani kuzitoa lakini ndo hizo hazitoki
 
duh acha tu mpz smtimes u have to sacrifies kama kweli unahitaji kufanya ukitakacho,nilijaribu kutumia maziwa fresh na sindano kupitisha ze same places kwenye michoro ikagoma,nilipompokea bwana na mokozi wangu zilinitesa sana,wat I did was terrible kama anamoyo kama wangu na kumaanisha akitakacho afanye,nilijichoma kwa basi ya moto sehem zote zile na kuumia sana,nilipewa dawa nyingi mno,bahari nzuri nilipata dawa toka nje ya kufuta makovu,u cnt imagini nikikuonyesha semeh huwezi kuona hata kovu wala dalili yake.

typo error...pac?....mhh kweli inahitajika roho ngumu, msaada zaidi...unaweza kuniambia dawa gani hiyo ili nikimpa maelezo nimpe mazima mazima?
 
duh acha tu mpz smtimes u have to sacrifies kama kweli unahitaji kufanya ukitakacho,nilijaribu kutumia maziwa fresh na sindano kupitisha ze same places kwenye michoro ikagoma,nilipompokea bwana na mokozi wangu zilinitesa sana,wat i did was terrible kama anamoyo kama wangu na kumaanisha akitakacho afanye,nilijichoma kwa basi ya moto sehem zote zile na kuumia sana,nilipewa dawa nyingi mno,bahari nzuri nilipata dawa toka nje ya kufuta makovu,u cnt imagini nikikuonyesha semeh huwezi kuona hata kovu wala dalili yake.

mweh binti yangu una roho ngumu kujichoma na pasi tena
thanx to god umerudisha ngozi yako ya asili
 
sorry dia pasi ya umeme,ntatafuta zile tube za dawa ntakupa feedback
typo error...pac?....mhh kweli inahitajika roho ngumu, msaada zaidi...unaweza kuniambia dawa gani hiyo ili nikimpa maelezo nimpe mazima mazima?
 
mtoto mzuri kumbe na wewe ulikuwa umeziweka
Pole sana ...Kuna mmoja hapa analia kuzitoa hazitoki..aliziweka enzi za ujana kwenye manyonyo sasa ana watoto anatamani kuzitoa lakini ndo hizo hazitoki


ujana kweli maji ya moto...kwenye manyonyo? hapana kabisa!....wengi wa marafiki zangu wanayo sana hiyo kitu, wengine wanaijutia wengine bado wapo poa, huyu wa kiunoni anahaha sana sasa hivi, kuna mwingine kachora mkononi scorpion, yaani ni kubwa imeanzia karibia na kiganjani mpaka katikati ya mkono, kwasasa amekuwa mmama anaijutia sana lazima avae nguo za mikono mirefu, anajuta kupita maelezo, sasa huyu akijichoma nadhan atachoma nusu mkono.
 
Back
Top Bottom