Hotuba kwa Wazee wa Dar: Rais Samia kuteua Viongozi bila kujali itikadi za Vyama

Mwambie lisu aachane na amsterdam arudi huku rais ampe kazi ya kufanya.

Hata lema pia mwambie habari ya kuishi ugenini haifai
akimpa kuwa mwanasheria mkuu wa serikali itakua Safi mno lema awe waziri wa mambo ya ndani.
 
Nawaona cdm wote waliokuwa wabunge wakiula kwenye ukuu wa wilaya na mkoa.
 
Unauliza au unapigia jibu mstari?
Hujiamini katika hilo maana unazunguka sana. Wanaojiamini hawazunguki zunguki wanaenda moja kwa moja " NDIO NITAILINDA HIYO KATIBA MPYA" kisha anasubiri kama kuna swali linalofata.
 
Mbona hakuna jipya katika hilo, ni tangu Jeikei anafanya hivyo
 
Mbona Mghwira ni mkuu wa nkoa wa Kilimanjaro? Sema wewe shida yako ni hadi Lisu ateuliwe ndio utaona hatubagui.

Mwambie arudi sasa aje tumteue
Tumedhamilia kuwahamisha mataga wrote na kundi lenu la sukuma gang mrudi kwenu rwanda na burundi mliko zoea machafuko.

Muda wenu umekwisha maana baba yenu hayupo tena duniani.
 
Hujiamini katika hilo maana unazunguka sana. Wanaojiamini hawazunguki zunguki wanaenda moja kwa moja " NDIO NITAILINDA HIYO KATIBA MPYA" kisha anasubiri kama kuna swali linalofata.

Najibu ninachotaka na sio kuendana na hiyo marking scheme yako. Yaani nisubiri swali lingine toka kwako ww kama nani hapa jukwaani?
 
Hao wote uliowataja sio wapinzani ni takataka za ccm zilizokuwa ndani ya upinzani
 
Najibu ninachotaka na sio kuendana na hiyo marking scheme yako. Yaani nisubiri swali lingine toka kwako ww kama nani hapa jukwaani?
Ulipoingilia hoja inamaana ulikuwa na majibu na utayari wa kuulizwa maswali yanayofuata baada ya kutoa majibu.

Nakufananisha na bwana mmoja alivamia hoja ya 1.5T akaitokea ufafanuzi na ubao kumbe hakuwa na utayari.
 
Wewe K.. Magufuli aliku.f.ir.a nini kabla hajafa!?.. kila post unamuwaza yeye. Punguza jazba kuna maisha baada ya JPM. Samehe na kusahau ma.rinda yatarudi tu. hayupo tena duniani.
mlifirwatwote bila shaka
 
Samia anajua kuchambua mambo vizuri sana..akiongeza mkazo kwenye utekelezaji atakuwa Rais wetu bora kabisa..Natumai pia kuwa washauri na intelligence agency yetu wanampa right informations.
 
Ulipoingilia hoja inamaana ulikuwa na majibu na utayari wa kuulizwa maswali yanayofuata baada ya kutoa majibu.

Nakufananisha na bwana mmoja alivamia hoja ya 1.5T akaitokea ufafanuzi na ubao kumbe hakuwa na utayari.

Uzi uko page ya 12 bado unavamiwa? Ungekuwa na post mbili ungesemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…