Uchaguzi 2020 Hotuba ya kijasiri kuhusu Figisu za Uchaguzi ya Benson Kigaila

Uchaguzi 2020 Hotuba ya kijasiri kuhusu Figisu za Uchaguzi ya Benson Kigaila

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Naibu katibu mkuu wa CHADEMA Leo hii ametoa hotuba (maelezo) kwa waandishi wa habari kuhusu figisu za Uchaguzi huu mkuu.

Ni Serikali ya kijinga tuu ndio inayoweza kupuuzia maonyo aliyotoa bwana Kigaila katika kuiponya nchi isiingie katika machafuko ambayo kwa dunia ya sasa hatma yake ni kiongozi mkuu wa nchi na wasaidizi wake kuishia The Hague.

Kweli CHADEMA ya sasa sio ile ya Jana, na watu wapo tayari.

 
Unajua hawa jamaa wameshadharau mno watu, wanasahau kwenye ujio wa Lissu watu walikuwa tayari kwa lolote licha ya vitisho vilivyotolew.Tukio lile na muitikio ule wanapaswa wautumie kama funzo kuwa watu wakiamua,basi tujiandae kwa matokeo.
 
Wanaccm wanashangilia uhuni huu wa kuengua wagombea wa cdm na hakuna kiongozi yeyote wa serikali aliyekemea uhuni huu, watz wapenda haki tuwatenge wanaccm wote kuanzia ngazi ya familia hadi taifa, usimsaidie mwanaccm yeyote na tena ukipata gepu la kumuwekea sumu ili afe Fanya hivyo Mara moja bila kusita!
 
Au tususe tu huu uchaguzi ili wote watakaopita tusiwatambue Kama Viongozi wetu iwe Kama tulivyofanya kwa wenyeviti wa mitaa.

Inahitaji upungufu wa Akili ili kuvielewa vyama hivi vinavyosadikika nivya upinzani.

Unaanza je kufungua kampeni za Chama chako kesho angali kundi kubwa la Wagombea wako wameunguliwa? Isn't rubbish!
 
Hakuna ujasiri wowote hapo zaidi ya kulialia tu kama kawaida.
Dawa inaingia taratiibu sana
 
Wanaccm wanashangilia uhuni huu wa kuengua wagombea wa cdm na hakuna kiongozi yeyote wa serikali aliyekemea uhuni huu, watz wapenda haki tuwatenge wanaccm wote kuanzia ngazi ya familia hadi taifa, usimsaidie mwanaccm yeyote na tena ukipata gepu la kumuwekea sumu ili afe Fanya hivyo Mara moja bila kusita!
Watu wanaweza kudhani usemayo ni hasira tuu au hadithi za kufurahisha genge lakini sio hivyo.
Mgogoro wa Zanzibar 2001 ulipelekea watu kugawana hata visima vya maji kwa itikadi. Na MTU apatapo nafasi kisima cha wengine ananyea humo.
Migogoro wanayoizalisha hawa ccm itawatafuna siku moja
 
Nimemsikiliza Benson Kigaila hadi machozi yamenitoka. Hatuwezi achia huu upuuzi uendelee kwa kweli. Watuue tu wote wabaki wenyewe kama vipi
Kutuua hawataweza, maana wakiua wawili basi watatu wao watapotea
 
Au tususe tu huu uchaguzi ili wote watakaopita tusiwatambue Kama Viongozi wetu iwe Kama tulivyofanya kwa wenyeviti wa mitaa.

Inahitaji upungufu wa Akili ili kuvielewa vyama hivi vinavyosadikika nivya upinzani.

Unaanza je kufungua kampeni za Chama chako kesho angali kundi kubwa la Wagombea wako wameunguliwa? Isn't rubbish!
Usitufokee! Rubbish ni haya unayosema ambayo hayaja toka moyoni wala kichwani mwako, labda yametoka kunakotoka rubbish!
 
Labda kama wanakwenda kutangaza mapambano kesho. Otherwise noi ujinga kushiriki huu uchaguzi. Wa-organize watu wavuruge uchaguzi usifanyike kabisa. Ukishafanyika ndio hivyo... mpaka 2025.
Au tususe tu huu uchaguzi ili wote watakaopita tusiwatambue Kama Viongozi wetu iwe Kama tulivyofanya kwa wenyeviti wa mitaa.

Inahitaji upungufu wa Akili ili kuvielewa vyama hivi vinavyosadikika nivya upinzani.

Unaanza je kufungua kampeni za Chama chako kesho angali kundi kubwa la Wagombea wako wameunguliwa? Isn't rubbish!
 
Kinachoendelea ni ujinga. Matendo ya kinafiki yanamchafua mgombea wa CCM. Yanamfanya kuwa mmbakaji wa haki za watu
 
Ni maajabu hata kwa mgombea wa CCM mwenye mamlaka kupita bila kupingwa katika mazingira ya kisiasa ya sasa. Hivi ni kweli kwa kupenda madaraka hawa makada wanaoitwa wasimamizi wa uchaguzi wanaachwa wafanye unafiki huko Ruangwa na kwingine bila kuona umuhimu wa kukemewa?. Unapata wapi legitimacy ya kuongoza watu kwa kufanya uhuni huu? Nashangaaa hadi naogopa.
 
Back
Top Bottom