Uchaguzi 2020 Hotuba ya kijasiri kuhusu Figisu za Uchaguzi ya Benson Kigaila

Uchaguzi 2020 Hotuba ya kijasiri kuhusu Figisu za Uchaguzi ya Benson Kigaila

Inasikitisha sana kuona hawa watawala wanageuza Tanzania kuwa kama kiwanja cha kindergarten na waTz ni watoto wa chekechea!! Yale yale ya uchaguzi wa serikali za mitaa. Tulidhani pengine this time watakuwa na aibu. Magufulu hana aibu, hana soni na dhamira yake ya kutangazwa mfalme anaitendea haki - lakini nina wasiwasi hawa anaowaona kama chekechea wanaweza kusema SASA BASI liwalo na liwe. Ninakubaliana na Benson, Tanzania ni yetu sote na sote ni wazalendo.
 
Ni MTU mpumbavu tu anaeweza kusupport huu upuuzi unaondelea kwa sasa
Lakini wapo wengi ikiwa ni pamoja na wasomi wa vyuo vikuu vya Dar, UDom, nk. Unaweza kufikiri nchi hii ilipata laana! Vyuo Vikuu ndivyo vingekuwa chemchem ya fikira mpya na za kwenda mbele lakini vimegeuzwa kuwa kama kindergarten. Unakuta na maprofesa wanaimba hapa kazi tu!!!!
 
Mbona Tanzania hakuna hata mwenyekiti mmoja wa upinzani?
Tatizo la upinzani wanatumia nguvu nyingi Sana kuezeka wakati msingi mbovu. Mfano CDM Sasa hivi Akili na macho yote yapo kwa Lissu tu halafu wagombea ubunge na madiwani wameachwa wakitaabika huko majimboni kwao.

Unamjua mbunge na yoyote ambae anatabika
 
Back
Top Bottom