Uchaguzi 2020 Hotuba ya kijasiri kuhusu Figisu za Uchaguzi ya Benson Kigaila

Uchaguzi 2020 Hotuba ya kijasiri kuhusu Figisu za Uchaguzi ya Benson Kigaila

Kinachoendelea ni ujinga. Matendo ya kinafiki yanamchafua mgombea wa CCM. Yanamfanya kuwa mmbakaji wa haki za watu
Hii inaonyesha kuwa Mgombea wao Rais Magufuli hajafanya mambo yanayowavutia wananchi kiasi cha kujitoa kumchagua tena.

Tayari ana hofu ya kudondoshwa hivyo kutumia nguvu kubaki madarakani au kuwa na wabunge wengi atakao weza kudhibiti bunge.
Ni aibu kubwa sana kwa taifa hili kufikia mahali MTU mwenye nafasi ya Waziri mkuu au Spika wa bunge kufanya au kuruhusu kufanya mambo ya kijambazi kutaka kupita bila kupingwa.

Labda ndio haya aliyosema Bashiru (ambaye) kesha onekana ndio katibu mkuu wa kwanza ccm kupanga hadi ujambazi kuiokoa ccm tofauti na kina Kinana waliokuwa wanaishindisha CCM kwa mbinu za akili


Evidence! https://t.co/psD6wF9nHo
 
Mkuu siyo watuue, men die in the battle fields, pengine wanataka watu wafike huko.
Nimemsikiliza Benson Kigaila hadi machozi yamenitoka. Hatuwezi achia huu upuuzi uendelee kwa kweli. Watuue tu wote wabaki wenyewe kama vipi
 
Kuna awamu mbili za kuenguliwa wagombea wa upinzani.Awamu ya kwanza ni Hii wakati na kuchukua na kurudisha fomu,Awamu ya pili ni wakati wa kutangaza matokeo.Sioni kama kuna mbunge wa Upinzani atatangazwa.
 
Hii inaonyesha kuwa Mgombea wao Rais Magufuli hajafanya mambo yanayowavutia wananchi kiasi cha kujitoa kumchagua tena.
Tayari ana hofu ya kudondoshwa hivyo kutumia nguvu kubaki madarakani au kuwa na wabunge wengi atakao weza kudhibiti bunge.
Ni aibu kubwa sana kwa taifa hili kufikia mahali MTU mwenye nafasi ya Waziri mkuu au Spika wa bunge kufanya au kuruhusu kufanya mambo ya kijambazi kutaka kupita bila kupingwa.
Labda ndio haya aliyosema Bashiru (ambaye) kesha onekana ndio katibu mkuu wa kwanza ccm kupanga hadi ujambazi kuiokoa ccm tofauti na kina Kinana waliokuwa wanaishindisha CCM kwa mbinu za akili


Evidence! https://t.co/psD6wF9nHo
Kuna hofu ya ajabu...nahisi figisu ya 2015 inawatesa. Hawaamini Juhudi
 
Kauli za Ujasiri usibadilisha matokeo hauna maana.

Tunataka kuona nini kinafanyika kubadirisha matokeo.
 
Au tususe tu huu uchaguzi ili wote watakaopita tusiwatambue Kama Viongozi wetu iwe Kama tulivyofanya kwa wenyeviti wa mitaa.

Inahitaji upungufu wa Akili ili kuvielewa vyama hivi vinavyosadikika nivya upinzani.

Unaanza je kufungua kampeni za Chama chako kesho angali kundi kubwa la Wagombea wako wameunguliwa? Isn't rubbish!


Ukigoma ww then chauma,cck,tadea,na vingine vitashiriki so itakuwa hakuna impact yoyote
 
Aisee, kweli hapa tulipofikia sio pazuri
 
Au tususe tu huu uchaguzi ili wote watakaopita tusiwatambue Kama Viongozi wetu iwe Kama tulivyofanya kwa wenyeviti wa mitaa.

Inahitaji upungufu wa Akili ili kuvielewa vyama hivi vinavyosadikika nivya upinzani.

Unaanza je kufungua kampeni za Chama chako kesho angali kundi kubwa la Wagombea wako wameunguliwa? Isn't rubbish!
Du aisee umeandika kitu kigumu sana hiki. Unaendaje kufungua kampeni hauna uhakika wa kuwa na wabunge. Mkuu hongera sana hii ni akili kubwa.
 
Ukigoma ww then chauma,cck,tadea,na vingine vitashiriki so itakuwa hakuna impact yoyote
Kwahiyo Ni Bora chama kishinde kiti Cha Urais kikiwa na wabunge chini ya 10 ambao hawawezi hata kuunda Baraza la mawaziri siyo.?

Nafikiri Hapo Viongozi Wakuu wa chama wangeona chakufanya kabla hawajafungua hizo kampeni.
 
Kwahiyo Ni Bora chama kishinde kiti Cha Urais kikiwa na wabunge chini ya 10 ambao hawawezi hata kuunda Baraza la mawaziri siyo.?

Nafikiri Hapo Viongozi Wakuu wa chama wangeona chakufanya kabla hawajafungua hizo kampeni.

Ww unaona ni bora wasusie ili bungeni kusiwe na mtu hata mmoja wa upinzani?
 
Huu uhuni wa CCM na mawakala wao ni lazima ukomeshwe!!

Hongera sana Naibu Katibu Mkuu.
Hiyo nakala pia tunaiomba humu !!
 
Kwahiyo Ni Bora chama kishinde kiti Cha Urais kikiwa na wabunge chini ya 10 ambao hawawezi hata kuunda Baraza la mawaziri siyo.?

Nafikiri Hapo Viongozi Wakuu wa chama wangeona chakufanya kabla hawajafungua hizo kampeni.

..unashauri wafanye nini?

..walijitoa ktk uchaguzi wa serikali za mitaa lakini hakukuwa na impact yoyote.

..CUF / Maalim Seif walijitoa ktk uchaguzi wa Raisi na baraza la wawakilishi Znz.

..Je, CUF/Maalim Seif wana jambo lolote la kujivunia kutokana na uamuzi huo?

..kwa mfano, tukisema wajitoe ktk uchaguzi huu, nini itakuwa faida ya uamuzi huo?
 
Nimemsikiliza Benson Kigaila hadi machozi yamenitoka. Hatuwezi achia huu upuuzi uendelee kwa kweli. Watuue tu wote wabaki wenyewe kama vipi

..Benson Kigaila is a straight shooter.

..angalia hapa alivyokemea upuuzi wa IGP Sirro.

 
Huku nilipo hali ni tete,wananchi wanatumia codes kufanya jambo jioni. Msimamizi wa uchaguzi amewaengua wagombea wa CHADEMA(kisa -muhuri wa chama umefifia) na nccr mageuzi(kisa -amechanganya herufi kubwa na ndogo kwenye jina lake).
 
FFU wamekuja kijijini,wameweka kambi kichaka fulani,mgombea wa CCM amehamisha familia. Hawa ni wagombea udiwani,, CCM walimleta mshindi wa 3,,,. Umma wa hapa hawamtaki huyu wa CCM,bila kujali itikadi
 
Naibu katibu mkuu wa CHADEMA Leo hii ametoa hotuba (maelezo) kwa waandishi wa habari kuhusu figisu za Uchaguzi huu mkuu.

Ni Serikali ya kijinga tuu ndio inayoweza kupuuzia maonyo aliyotoa bwana Kigaila katika kuiponya nchi isiingie katika machafuko ambayo kwa dunia ya sasa hatma yake ni kiongozi mkuu wa nchi na wasaidizi wake kuishia The Hague.

Kweli CHADEMA ya sasa sio ile ya Jana, na watu wapo tayari.



Hivi ni kweli kuwa vyama vya upinzani tu ndio wanafanya makosa ya kujaza fomu na chama tawala hawakosei?
 
Naibu katibu mkuu wa CHADEMA Leo hii ametoa hotuba (maelezo) kwa waandishi wa habari kuhusu figisu za Uchaguzi huu mkuu.

Ni Serikali ya kijinga tuu ndio inayoweza kupuuzia maonyo aliyotoa bwana Kigaila katika kuiponya nchi isiingie katika machafuko ambayo kwa dunia ya sasa hatma yake ni kiongozi mkuu wa nchi na wasaidizi wake kuishia The Hague.

Kweli CHADEMA ya sasa sio ile ya Jana, na watu wapo tayari.


CCM na magu watalaumiwa kwa lolote litakalotokea.
 
Ww unaona ni bora wasusie ili bungeni kusiwe na mtu hata mmoja wa upinzani?
Mbona Tanzania hakuna hata mwenyekiti mmoja wa upinzani?
Tatizo la upinzani wanatumia nguvu nyingi Sana kuezeka wakati msingi mbovu. Mfano CDM Sasa hivi Akili na macho yote yapo kwa Lissu tu halafu wagombea ubunge na madiwani wameachwa wakitaabika huko majimboni kwao.
 
Back
Top Bottom