Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,176
lukuvi ana akili za kuvukia barabara tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm ni muumini wa serikali mbili lakini Mh Lukuvi hapo ameteleza.
Hiyo ndiyo CCM wazee wa Rushwa na TAKRIMA, si unamuona mzee alivyochoka? Kwa nini asimsifie mpiga zomari anaye mchagulia wimbo wa kucheza. Nguvu ya CCM sasa imebaki kwenye matumizi mabaya ya kodi za wananchi na matumizi ya hovyo ya raslimali za wananchi. Nguvu ya ccm sasa imebaki kutumia vibaya vyombo vya dola UWT, JWTZ, polisi nk. Tayari CCM wanajua washapoteza nguvu ya ushawishi kwa wananchi ndiyo sababu wanalazimika kumwaga mipesa halali na haramu kwenye chaguzi zote ili kujiaminisha kwamba bado wanakubalika....
kwanini watanzania tunavumilia ujinga kama huu kwanini pesa ya umma itumike kutoa rushwa mchana kwaeupe tena bungeni? je hii inatufundisha nini? kwamba kujipendekeza kwa serikali na dola ni neema hii ni aibu kwa watanzania sijui tumerogwa na nani?
Mm ni muumini wa serikali mbili lakini Mh Lukuvi hapo ameteleza.
lukuvi ana akili za kuvukia barabara tu
Lukuvi pia aliituhumu Ukawa kwamba imepanga kuigawa Tanzania katika vipande, kwamba Zanzibar itatawaliwa na CUF, Tanzania Bara na Chadema halafu CCM ipewe urais wa Muungano.