Hotuba ya Lukuvi bungeni kuthibitisha kauli yake kanisani, UKAWA kumchukulia hatua za kisheria

"tumechoka ubaguzi, hatuwezi kuwa sehemu ya kundi la intarahamwe linalohamasisha ubaguzi ndani ya tanzania"

Hapa ndipo MTANZANIA anapobidi ashangae wanasiasa,kutwa kucha wanasimulia habari za AMANI,UPENDO,UDINI na UKABILA na mara zote meneno haya yalikuwa yanaonyeshwa kwa wapinzani,lakini leo wameyanena wao wenyewe na kutuonyesha ni jinsi gani chama tawala kinavyoabudu UBAGUZI huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…