johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hii itamrudisha Mh?...Mungu ni mwema Wakati wote
Hatimaye Freeman Mbowe apewa nafasi ya kuzungumza Msibani kwa Lowassa
SIO MBOWE NI MAKONDAMungu ni mwema Wakati wote
Hatimaye Freeman Mbowe apewa nafasi ya kuzungumza Msibani kwa Lowassa
Duuuh! yaani asubiri afe yeye?Azungumze mambo ya kuwafariji wafiwa. Hatutaki mambo ya kujitwalia faida za kibinafsi kwenye misiba ya wengine. Kama ana kiu ya siasa, asubiri akufe yeye ndiyo alete siasa kwenye msiba wake.
Mchepuko unapokuwa na hasira...Azungumze mambo ya kuwafariji wafiwa. Hatutaki mambo ya kujitwalia faida za kibinafsi kwenye misiba ya wengine. Kama ana kiu ya siasa, asubiri akufe yeye ndiyo alete siasa kwenye msiba wake.
Alone ErythrocyteMungu ni mwema Wakati wote
Hatimaye Freeman Mbowe apewa nafasi ya kuzungumza Msibani kwa Lowassa
Duuuh! yaani asubiri afe yeye?
Nimekumbuka muvi moja hivi,kichaa anamwambia mtu mwenye akili timamu kua 'nipige risasi nikunyooshe',bilashaka hakujua kua akipigwa risasi ATAKUFA.
Kwa hiyo akishazungumza itakuaje?Mungu ni mwema Wakati wote
Hatimaye Freeman Mbowe apewa nafasi ya kuzungumza Msibani kwa Lowassa
Kakaribishwa kama ndugu wa karibuMungu ni mwema Wakati wote
Hatimaye Freeman Mbowe apewa nafasi ya kuzungumza Msibani kwa Lowassa
Erythrocyte amefura kwa hasira!Mungu ni mwema Wakati wote
Hatimaye Freeman Mbowe apewa nafasi ya kuzungumza Msibani kwa Lowassa
Awanange lakini asisahau ni msibani paleNiko nasikiliza hapa anawachamba CCM
Akili kubwa weweDuuuh! yaani asubiri afe yeye?
Nimekumbuka muvi moja hivi,kichaa anamwambia mtu mwenye akili timamu kua 'nipige risasi nikunyooshe',bilashaka hakujua kua akipigwa risasi ATAKUFA.
Kama ni msibani???Awanange lakini asisahau ni msibani pale