Hotuba ya Mbowe: Huwezi ukaiandika historia ya Lowassa ukaacha kuitaja CHADEMA. Ni kujidanganya kuua historia ambayo huwezi kuiua

Hotuba ya Mbowe: Huwezi ukaiandika historia ya Lowassa ukaacha kuitaja CHADEMA. Ni kujidanganya kuua historia ambayo huwezi kuiua

Mhe Mbowe amezitendea haki dakika 6 alizotumia katika kutoa salaam katika mazishi ya Hayati Edward Lowassa, kijijini Ngarash Monduli.

Mhe Mbowe anasema, huwezi kuielezea historia ya Hayati Edward Lowassa bila kuitaja Chadema.

Dakika sita za Mbowe zimeniletea hisia kali hadi nimetoa machozi.

Asante sana Mhe Mbowe
 
Screenshot_2024-02-17-13-48-23-1.png
 
Back
Top Bottom