Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Niko Mbeya kwenye maandalizi ya Maandamano ya amani ya kupinga ufukaraErythrocyte amefura kwa hasira!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko Mbeya kwenye maandalizi ya Maandamano ya amani ya kupinga ufukaraErythrocyte amefura kwa hasira!
Maccm Kweli wapuuzi yani hajaandika kuwa alikuwa mgombeaa wa cdmAwanange lakini asisahau ni msibani pale
Mbowe amepiga kwenye mfupa.Imekuaje kwenye wasifu wake,haijatajwa kuwa mgombea urais kupitia chadema
Povu la Nini, mbona wale wengine ukuwaambia hivyo?Azungumze mambo ya kuwafariji wafiwa. Hatutaki mambo ya kujitwalia faida za kibinafsi kwenye misiba ya wengine. Kama ana kiu ya siasa, asubiri akufe yeye ndiyo alete siasa kwenye msiba wake.
Punguza ujinga na chuki mbele za watu wenye akili.Azungumze mambo ya kuwafariji wafiwa. Hatutaki mambo ya kujitwalia faida za kibinafsi kwenye misiba ya wengine. Kama ana kiu ya siasa, asubiri akufe yeye ndiyo alete siasa kwenye msiba wake.
Kawachana kistaha vzuri tu. Maza naona anamcheki kwa jicho la chini chini.Maccm Kweli wapuuzi yani hajaandika kuwa alikuwa mgombeaa wa cdm
Nimesikitika sana kuwa pamoja na kuwa historia imeshaandikwa, ambayo haiwezi kufutika, bado risala za serikali hazikutambua mchango wa Lowasa katika demokrasia alipokuwa chadema.
Nchi hii ni yetu sote.
By Mbowe
Serikali huwa wanajikaanga kwenye mafuta yao wenyewe 😀Mbowe amepiga kwenye mfupa.
Ccm wapumbavu sana, Mbowe kawaumbuwa hadharani aibu yao.Mh. Mbowe anaweka sawa kumbu kumbu
View attachment 2906916
Sema ameongea nnMungu ni mwema Wakati wote
Hatimaye Freeman Mbowe apewa nafasi ya kuzungumza Msibani kwa Lowassa
Wamejikaanga na mafuta yao wenyewe 😀😀Ccm wapumbavu sana, Mbowe kawaumbuwa hadharani aibu yao.
...kakata na kisu kimegusa mfupa!!Mbowe is hitting the nail on the head!!
Na uzuri haongei Kwa jazba, anaongea Kwa utulivu mkubwa, hapo ndipo ilipo tofauti ya Mbowe na Tundu Lisu.Mbowe is hitting the nail on the head!!
Sema jamaa ametumia fursa vizuri sana. Yaani mpaka waalikwa wakapiga makofi maana amegonga kwenye mfupa.Serikali huwa wanajikaanga kwenye mafuta yao wenyewe 😀