Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,377
- 1,861
Historia huwa haitungwi au kuamua kipi cha kuandika kipi cha kuacha.Historia ya Marehemu huidhimishwa na familia kipi wanataka kiwepo kwenye Risala na kipi kisiwepo
Mbowe kasimama na mihasira na CCM na Serikali na Familia kuwa Mbona kwenye Historia hawajaweka kuwa alikuwa Chadema
Wwenyewe Familia wameamua hivyo
Histori ni kuandika uhalisia wa kilichotokea/kwisha kutendeka na ndio maana Freeman Mbowe ameweka records sawa