Ile speech ya Mbowe inawezekana ikawa ndio subheadings za magazeti mengi ya keshoErythrocyte alitamani sana mbowe asipewe nafasi ili Chadema wapate sababu ya kuiponda ccm 😂😂 Sasa cjui atasemaje sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile speech ya Mbowe inawezekana ikawa ndio subheadings za magazeti mengi ya keshoErythrocyte alitamani sana mbowe asipewe nafasi ili Chadema wapate sababu ya kuiponda ccm 😂😂 Sasa cjui atasemaje sasa
Mi nipo Chato nafanya tafakuri kwenye Kaburi la Mwamba Jiwe Magufuli! Sikubahatika kwenda Monduli.Niko Mbeya kwenye maandalizi ya Maandamano ya amani ya kupinga ufukara
Umeonae walivyommaloza. Sasa hivi Erythrocyte anadai yupo Mbeya anaandaa maandamano! Ahahahahaha!Erythrocyte alitamani sana mbowe asipewe nafasi ili Chadema wapate sababu ya kuiponda ccm 😂😂 Sasa cjui atasemaje sasa
😂😂 Jamaa hua anapenda sehemu ambazo zina mgogoro wa Chadema ili apate la kuongea, samia ameshamfunika hvy amekimbilia maandamanoUmeonae walivyommaloza. Sasa hivi Erythrocyte anadai yupo Mbeya anaandaa maandamano! Ahahahahaha!
Ahahahahaha!!😂😂 Jamaa hua anapenda sehemu ambazo zina mgogoro wa Chadema ili apate la kuongea, samia ameshamfunika hvy amekimbilia maandamano
Mungu ni mwema Wakati wote
Hatimaye Freeman Mbowe apewa nafasi ya kuzungumza Msibani kwa Lowassa.
--
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakijafurahia kitendo cha kutotajwa katika historia ya Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa.
View attachment 2907011
Vp khs Chadema kutotambuliwa kama chama alichogombea urais mzee wetu Lowassa.?Niko Mbeya kwenye maandalizi ya Maandamano ya amani ya kupinga ufukara
Ni MboweMboye anajuwa jmn kuhutubia hadhara
Sauti inatoka vzr bila woga
Jamaa ni mwamba aiseeMboye anajuwa jmn kuhutubia hadhara
Sauti inatoka vzr bila woga
MBOWE is very Brave man. Misisiyemu ni mijitu isiyo na akiliMungu ni mwema Wakati wote
Hatimaye Freeman Mbowe apewa nafasi ya kuzungumza Msibani kwa Lowassa.
--
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakijafurahia kitendo cha kutotajwa katika historia ya Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa.
View attachment 2907011
Najua na wewe ulikuwa msibani, wapindisha historia ya mtu...kwani mkisema ukweli mtapungukiwa na kitu?Maana yake ni kuwa, siasa misibani hazikubaliki asilani.
Ile inaitwa Kata funua! Ndiye pekee ambaye katoa salamu za rambirambi na waombolezaji (wengi wao wamaasai) wakamshangilia kwa makofi.Jamaa ni mwamba aisee
Ashukuriwe mbunge wa Monduli mh Fred Lowassa
Bado hadi sasa najiuliza sababu hasa za waandishi wa ile historia kutaka kuficha kwamba Lowassa aliwahi kugombea urais wa Tanzania, ni uchawi au ni nini?
Kama wanaweza kujaribu kuficha historia kama ile ambayo kila mtu anaijua, hawa watu tunaweza kuwaamini katika lipi?
Kutema cheche Katikati ya Wajeda siyo jambo DogoIle inaitwa Kata funua! Ndiye pekee ambaye katoa salamu za rambirambi na waombolezaji (wengi wao wamaasai) wakamshangilia kwa makofi.
View attachment 2907056View attachment 2907057
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
17 February 2024
Monduli, Tanzania
MBOWE BILA KUPEPESA MSIBANI, ATOA MAKAVU "NIMESIKITISHWA NA HISTORIA YA LOWASA ILIYOTOLEWA"
View: https://m.youtube.com/watch?v=TkvuyH0wEqg
100%Yaani hata kwenye ratiba mbowe amepewa kama mwana family kwasababu inaelekea hawakumweka lakini family ili hakikisha kaongea naye
Tanzania mpo wajinga wengi sanaHii itamrudisha Mh?...
Tanzagiza....