SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Nyie wafiwa ndiyo mna upumbavu mwingiMna utoto mwingi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie wafiwa ndiyo mna upumbavu mwingiMna utoto mwingi sana
Tunamuunga mkono kwa vile ana nia ya kuliunganisha Taifa baada ya Mhutu kulifarakanisha.Unaposema CHADEMA eanakubaliana na Samia, unamaanisha nini ??
Mataga wote mna mtindio wa ubongoBAVICHA wengine kama kina Yericko wanakula bange, wala usishangae.
Wote nyie mlimkabidhi dhalim akili zenu,aliwaabakishia kiduchu tu za kuvukia barabara na za kumsifia.Nina uhakika ninatumia akili zangu binafsi kufikiri.
Mbowe sio Mungu, ila kwa kweli unyama aliofanyiwa na serikali hii ya mwendazake, ni mazito. Yanaumiza!!Mtu yeyote mwenye akili timamu ataliona hili.
Sijui kwanini most people are addicted to this kind of thinking.
Ukisoma pambio zito la sifa analopewa Mbowe, unajua tu hawa kweli Mbowe kwao ni Mungu kabisa. Mbowe hajawahi kukosea kwa mujibu wafuasi wake kama ilivyo Magufuli.
Nadhani siku akipata free propaganda media kama alizokuwa nazo Magufuli, labda hata Magufuli angerudi darasani.
Anyone watu wenye fikra huru ni bidhaa adimu sana dunia hii.
Nafuu uishie Form VI kuliko kuwa na PhD ya kuigiliza kwa mwenzio (Plagiarism). Magufuli alikopi kwa mtu mwingine.[emoji23][emoji23][emoji23] Form six failure (DJ) unamlinganisha na Phd holder in Chemistry?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona ccm imekwisha kitambo sana , labda tujipange tu kuling'oa jeshi la polisi tu
Na 'kununua' misifa na umaarufumbuzi kwa kodi zetuAlivyokua akiwahadaa, wanyonge wake.. View attachment 1749778
Aja Ujinga a.k.a uzwazwa chadema ni maarufu hata kabla ya kigogo kuwa maarufuYaani sasa hivi CHADEMA kama chama naona akili zote wamemkabidhi Kigogo, yaani wamejisahau kabisa. Utafikiri Kigogo ndio mwenyekiti wa chama.
No wonder Lissu alisema tena kwenye international podium kuwa yule bodyguard mweusi wa Magu kafariki kwasababu aliambiwa na kigogo 🙂
Huyu Kigogo alimpobda kikakimilifu Mbowe wakati anagombea uenyekiti awamu ya 4 mpaka wafuasi wa CHADEMA wakaanza kumshambulia mpaka kwenye magazeti.
Hao kina Yericko Nyerere majasusi wa chama walisema account ya kigogo inaendeshwa na Zitto na watu wengine, jumla 4.
![]()
SIASA ZA KITAA: Kigogo wa ‘Twita’ na Mange ni Sunche na Kapeto
Inakera sana. Kuna mambo yanajirudia kila wakati mpaka yanachosha. Unapokaribia uchaguzi ndani ya Chadema kuna maneno kuhusu Mbowe lazima uyasikie – Mbowe anajilipa ruzuku yote. Kateka mali zote...www.mwananchi.co.tz
Leo, Kigogo ndio trendsetter wa agenda za CHADEMA😂😂😂
Dunia hii, kuwa uyaone.
Ni zaotokeo la mtawala na utawalafisadiUtaishia kuokoteza viji tweets lkn naona report ya CAG imekumaliza na kuthibitisha kuwa awamu ya 5 iliongoza kwa ufisadi
Poleni, naona bado kawashikia akili, enendeni Gamboshi mtakuta .Kampeni za cdm 2025÷
1. Huyu mama katubaribia sana nchi. JPM alituwekea misingi thabiti ya maendeleo ya nchi yetu huyu mama kaiharibu yote
2.Huyu mama ameiharibu nchi yetu kwa sababu yeye haimuhusu. Kwani nchi yake ni ZNZ na hata mapato yetu ameyapeleka huko kwao na kutuachia umasikini usiyo kifani humu znz ikineemeka kwa mapato yetu.
3. Iweje znz iwe na Rais wao na bado hao hao ZNZ watutawale na huku bara? Ni kweli kwamba ss bara hatuna mtu anaefaa kuwa Raisi wetu? Mbona hatujawahi kuona Mbara akiitawala ZNZ?
4.......
5.......
6 .....
MfyuuuuYaani sasa hivi CHADEMA kama chama naona akili zote wamemkabidhi Kigogo, yaani wamejisahau kabisa. Utafikiri Kigogo ndio mwenyekiti wa chama.
No wonder Lissu alisema tena kwenye international podium kuwa yule bodyguard mweusi wa Magu kafariki kwasababu aliambiwa na kigogo 🙂
Huyu Kigogo alimpobda kikakimilifu Mbowe wakati anagombea uenyekiti awamu ya 4 mpaka wafuasi wa CHADEMA wakaanza kumshambulia mpaka kwenye magazeti.
Hao kina Yericko Nyerere majasusi wa chama walisema account ya kigogo inaendeshwa na Zitto na watu wengine, jumla 4.
![]()
SIASA ZA KITAA: Kigogo wa ‘Twita’ na Mange ni Sunche na Kapeto
Inakera sana. Kuna mambo yanajirudia kila wakati mpaka yanachosha. Unapokaribia uchaguzi ndani ya Chadema kuna maneno kuhusu Mbowe lazima uyasikie – Mbowe anajilipa ruzuku yote. Kateka mali zote...www.mwananchi.co.tz
Leo, Kigogo ndio trendsetter wa agenda za CHADEMA😂😂😂
Dunia hii, kuwa uyaone.
kweli tumebaki wajane,binafsi niliweza kulala usingizi nikijua na kuamini fika kuwa lasrimali na Taifa kwa ujumla lipo kwenye mikono salama chini ya JPM,kwa sasa Mungu atusaidie tu ili tuvuke salama chini ya Mama Samia.Mataga mmebaki wajane baada ya kumzika bwana wenu.
Mwafrica hajawahi kuacha kuwa mnafiki,kelele zote hizo ni kwa sababu tu ya chuki,ukute anayepokea pesa hapo ni ufipa😅.Alivyokua akiwahadaa, wanyonge wake.. View attachment 1749778
Mimi nasisitiza kuangalia hoja zaidi kuliko mtu.Wako wanaompenda Hashim Rungwe kufa kuoza
Yaani mioyo yetu ina mahaba
Kama ni legacy ya kupiga raia wake risasi mchana kweupe kwa kweli hayupo wa kuifuta. Legacy ya kuuwa demokrasia na Uhuru wa vyombo vya habari hayupo wa kuifuta. ASANTE MUNGU KWA KULIPONYA TAIFA KUTOKA KWENYE MIKONO YA WASHAMBA WA MADARAKA.kweli tumebaki wajane,binafsi niliweza kulala usingizi nikijua na kuamini fika kuwa lasrimali na Taifa kwa ujumla lipo kwenye mikono salama chini ya JPM,kwa sasa Mungu atusaidie tu ili tuvuke salama chini ya Mama Samia.
Mapenzi waliyoyaonyesha watanzania kwa mpendwa wao toka kifo chake kilivyotangazwa na mpaka mazishi yake,kilidhihilisha pasipo shaka kabisa ni jinsi gani Rais Magufuli alikuwa wa kipekee kabisa ktk Taifa hili.
Na amini nakuambia,mbegu aliyoipanda JPM kwa watanzania wakubwa kwa watoto,itatoa akina Mgufuli wengine siku moja, na kiongozi yoyote atakayethubutu kuwarudisha watanzania kwenye zama zile za kabla ya 2015,cha moto atakipata.
Falsafa ya JPM ndio kipimo cha kuwapimia viongozi bora na wabovu hivi sasa.
Hizo shangwe zenu hazitobatilisha imani ikuyobakia mioyoni mwa watanzania.Legacy yake itaishi vizazi na vizazi.
Point to noteWatu hawajui, Samia kuna siku chadema na wapinzani watamliza kwa kutumia JPM. Na kama ccm haitakuwa makini sasa mwaka 2025 upinzani utachukua nchi kupitia kwa mgongo wa JPM. Hakuna kama Nyerere na JPM nchi hii hadi sasa