Hotuba ya Mbowe mkoani Iringa; Asema CHADEMA inachokozwa, ataja bendera ya CCM

CCM hovyo sana utakuta huo mwenge wao unaaenda kwenye tassisi binafsi wa mibendera yao ya kijani ila watu wanapotezea .

Ofisi za umma mezani wameweka ilani utadhani ni ofisi za CCM bado watu wanapotezea tu.
 
Ujinga ni kuona kawaida kwa bendera za chadema kushusha ila sio kawaida kwa bendera za ccm kutapakaa Kila Kona ya Nchi!!. Police ccm Wana utindio wa ubongo.
 
Hiyo ya heshima kubwa ni bendera ya nchi sio ya Chama cha Siasa hata kiwe CCM !! Bendera za vyama hazina hadhi hiyo ya bendera ya taifa

Wewe ndio hujui hakukuwa na sababu ya C8 kuona kama big issue
Sasa km sio big issue kwanini wahangaike nazo??. Poor ccm
 
Tatizo kubwa tulilo nalo nchini ni kwamba sehemu kubwa sana ya wananchi hawafahamu maana ya Demokrasia ya Vyama vingi. Tatizo hili linajithihirisha zaidi kwenye Taasisi mbali mbali ikiwemo Mahakama, Polisi, tume za uchaguzi, Msajili wa vyama na hata ndani ya vyama vya upinzani na zaidi ndani ya chama tawala. Hii ni shida kubwa tuliyo nayo Tanzania.
 
Kweshnei!
 
Ukweli ni kuwa Mbowe ni mwanasiasa mkongwe na anajua kuchanga karata
 
Aliyetakiwa ku ignore hilo swala la bendera ni jeshi la polisi kwasababu wao ndio waliotumia kodi na rasilimali za nchi kwenye mambo yasiyo na msingi.dunia ya leo wanaangaika na bendera za chama zisizoleta impact yoyote.Chadema wanachotaka ni haki kwasababu hawajavunja sheria yoyote mambo yakuandikwa kwenye magazeti hilo sio la msingi maana mitandao iko kila kona sasa hivi.
 
Hiyo ya heshima kubwa ni bendera ya nchi sio ya Chama cha Siasa hata kiwe CCM !! Bendera za vyama hazina hadhi hiyo ya bendera ya taifa

Wewe ndio hujui hakukuwa na sababu ya C8 kuona kama big issue
Ingekua bendera siyo big issue, Kwanini police na ccm waangaike kushusha za CHADEMA na kuweka za ccm?!
 
We poyoyo kweli. Chadema wanaijua haki zaidi ya kujaza matumbo?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Kwaleo sijaelewa kitu kwamara yakwanza toka namfahamu mbowe Leo ndo sijamwelewa ngoja tusubirie hotuba baada ya kikao chakamati kuu
Usiishi kwa kutegemea kupewa,kupata,kisikia au kuona unachokitegemea tu.Tegemea chochote,wakati wowote na mahali popote.Ndiyo ukubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…