Hotuba ya Mbowe mkoani Iringa; Asema CHADEMA inachokozwa, ataja bendera ya CCM

Mhhh ......
Kelele za katiba ndio bai bai......

Hao vijana wa jeiwiiii wanaomlinda mbowe = serikali kumlinda mbowe😁😁😁....

Naona igizo la demokrasia linaendelea

Kuna mchezo hapa ushafanyika.....
A na B machoni ila kiuhalisia n A na A
 
Nafikiri ungewashauri polisi waache kuogopa vitu vidogo vidogo kama bendera, hivi polisi ni wa kuogopa bendera kweli?
 
Mbowe ni kiongozi hodari saaana.
 
Hivi wewe kwa akili yako unaona kushusha bendera ndio big issue kuliko alichoongea Mbowe?
Tukio kubwa ni lipi bendera au alichoongea?
Tukio la kushusha bendera alilisema Mbowe akiwa njiani kwenda Iringa, alichoongea ni baada ya bendera kushushwa, na kila kimoja kina umuhimu wake, bendera ni ishara ya uwepo wa chama, mbona hauongelei za CCM, za klabu za Simba na Yanga na za taasisi nyingine zinazoendelea kupepea?
 
Mwanamke akihutubia kwenye sherehe ya wanawake wenzake(gaidi)
Najaribu kutafakari iwapo akili zako ziko sawa, ama unapewa mlungula wa kiasi Gani na mwajiri wako ili ufanye unayoyafanya humu, Kwa mtazamo wangu ni kuwa ama uta kuwa sehemu ya covid19, ama sehemu ya wale michongo24 au mwajiriwa wa chama kile chukua chako mapema(CCM).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…