Hotuba ya Rais Magufuli imewatandika wengi wateule

Hotuba ya Rais Magufuli imewatandika wengi wateule

Elius W Ndabila

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2019
Posts
324
Reaction score
649
TUMEMSKIA MH RAIS MAGUFULI LEO?


Na Elius Ndabila
0768239284

Leo Mh Rais akimuapisha Mkuu wa Mkoa na Wakuu wa Wilaya za Morogoro, Monduli na Arusha mjini ametoa hotuba ambayo inaweza kuwa msumali wa moto kwa baadhi ya viongozi. Hotuba ya Mh Rais ilikuwa na dhima nyingi, lakini ninataka nizungumze neno alilochomekea la *MRIDHIKE* na nafasi zenu.

Mh Rais amewataka wstumishi wa umma wote, hasa viongozi wake wateule kuridhika na nafasi wanazopewa. Amesema hakuna sababu ya kiongozi kutoridhika na nafasi yake aliyonayo wakati anafanya vizuri na ana miaka mingi. Amesema atawashangaa sana. Ametumia mfano IGP, CDF na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kama wanatamani kugombea ili akawateue Uwaziri. Mh Rais amesema ni haki yao kidemokrasia, lakini wanapoenda wawe na uhakika wa kushinda. Amesisitiza kuwa hata ukiwa wa kwanza si lazima iteuliwe kugombea kwani ninaweza kumteua hata mtu wa nne, anazungumza huku akitolea mfano Naibu waziri wa Mambo ya nje aliyeshika nafasi ya nne lakini akateuliwa kugombea.

Kwa tafsiri rahisi hotuba ya Mh Rais ilijikita kufikisha ujumbe kwa watumishi wengi ambao sasa ofisi zao hazifanyi vizuri na wako busy kusaka ubunge. Mh Rais inaonyesha wazi anajua kuwa wateule wake wengi wanaona sasa majukumu waliyopewa ni nonsense na kuona Ubunge ni bora. Kitendo cha Mh Rais kuzungumza hadharani inaonyesha wazi amekasirishwa na hatua hizo za wateule wake kuacha kazi na kumkimbiza na harakati za majimboni. Mh Rais amesisitiza kuwateua kugombea kwenye uchaguzi kunatokana na alivyoamka siku hiyo kwani anaweza kuwakata hata kama wanaongoza kura.


Dhana ya kutoridhika inaonyesha ndiyo iliyowaondoa aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Arusha na DC wake kwa kuwa wamekuwa wakigombana kwa miaka miwili mfululizo bila kufanya kazi zao vizuri. Ukimsikiliza kwa umakini Mh Rais akitoa wosia kwa wateule wapya amesema hakuridhika na migogoro kwa viongozi hao. Hata hivyo wadadisi wa mambo ya kisiasa wanasema Mh Rais kumtumia IGP, CDF na RC Iringa ilikuwa ni kufikisha ujumbe kwa Mh Gambo ambaye amekuwa akitajwa kugombea ubunge Ilala au Arusha kitu kilichopelekea kutotimiza vizuri majukumu yake na kutumia mda mwingi kugombana na wasaidizi wake na kuchochea migogoro ya kujipatia umaarufu.

Rai kwa watumishi wote wenye nia ya kwenda majimboni, jitafakarini kwanza, ongeeni na Mungu wenu kwanza kama mko tayari kurudi Misiri kama safari ya Kanani itashindikana. Mh Rais amekuwa mwema mno kusema hadharani hasa kutahadharisha. Wewe kama unaona bado Mungu hajasema nawe endelea kutimiza majukumu ambayo Mungu amemtumia mteule wake Mh Rais kukuamini, lakini kama wakati wa Bwana unasema sasa hapo ulipo umeshatumika vya kutosha na sasa ni wakati wa kwenda kuwawakilisha wananchi kwenye chombo cha kutunga sheria na kuishauri serikali nenda jimboni.
 
Mwanzo nimeona umeweka namba ya simu nikashindwa kuelewa ni ya nini, lakini nilivyousoma uzi ndipo nikaelewa.

Yaani hujaweza kuona utopolo aliozungumza, ila unachoweza ni kusifu tu ili uambulie uteuzi!

Watu wanapoteza gharama kibao za muda na fedha kumpigia mtu kura halafu mtu mmoja tu anamkata na kuteua mwingine eti kuendana na alivyoamka!

Kitu kingine cha ajabu zaidi, kupitia uzi wako Magufuli hafikirii kabisa kwamba kuna uchaguzi soon, anachojua yeye ni rais kwa kipindi kisichojulikana kabisa!
 
TUMEMSKIA MH RAIS MAGUFULI LEO?


Na Elius Ndabila
0768239284

Leo Mh Rais akimuapisha Mkuu wa Mkoa na Wakuu wa Wilaya za Morogoro, Monduli na Arusha mjini ametoa hotuba ambayo inaweza kuwa msumali wa moto kwa baadhi ya viongozi. Hotuba ya Mh Rais ilikuwa na dhima nyingi, lakini ninataka nizungumze neno alilochomekea la *MRIDHIKE* na nafasi zenu.

Mh Rais amewataka wstumishi wa umma wote, hasa viongozi wake wateule kuridhika na nafasi wanazopewa. Amesema hakuna sababu ya kiongozi kutoridhika na nafasi yake aliyonayo wakati anafanya vizuri na ana miaka mingi. Amesema atawashangaa sana. Ametumia mfano IGP, CDF na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kama wanatamani kugombea ili akawateue Uwaziri. Mh Rais amesema ni haki yao kidemokrasia, lakini wanapoenda wawe na uhakika wa kushinda. Amesisitiza kuwa hata ukiwa wa kwanza si lazima iteuliwe kugombea kwani ninaweza kumteua hata mtu wa nne, anazungumza huku akitolea mfano Naibu waziri wa Mambo ya nje aliyeshika nafasi ya nne lakini akateuliwa kugombea.

Kwa tafsiri rahisi hotuba ya Mh Rais ilijikita kufikisha ujumbe kwa watumishi wengi ambao sasa ofisi zao hazifanyi vizuri na wako busy kusaka ubunge. Mh Rais inaonyesha wazi anajua kuwa wateule wake wengi wanaona sasa majukumu waliyopewa ni nonsense na kuona Ubunge ni bora. Kitendo cha Mh Rais kuzungumza hadharani inaonyesha wazi amekasirishwa na hatua hizo za wateule wake kuacha kazi na kumkimbiza na harakati za majimboni. Mh Rais amesisitiza kuwateua kugombea kwenye uchaguzi kunatokana na alivyoamka siku hiyo kwani anaweza kuwakata hata kama wanaongoza kura.


Dhana ya kutoridhika inaonyesha ndiyo iliyowaondoa aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Arusha na DC wake kwa kuwa wamekuwa wakigombana kwa miaka miwili mfululizo bila kufanya kazi zao vizuri. Ukimsikiliza kwa umakini Mh Rais akitoa wosia kwa wateule wapya amesema hakuridhika na migogoro kwa viongozi hao. Hata hivyo wadadisi wa mambo ya kisiasa wanasema Mh Rais kumtumia IGP, CDF na RC Iringa ilikuwa ni kufikisha ujumbe kwa Mh Gambo ambaye amekuwa akitajwa kugombea ubunge Ilala au Arusha kitu kilichopelekea kutotimiza vizuri majukumu yake na kutumia mda mwingi kugombana na wasaidizi wake na kuchochea migogoro ya kujipatia umaarufu.

Rai kwa watumishi wote wenye nia ya kwenda majimboni, jitafakarini kwanza, ongeeni na Mungu wenu kwanza kama mko tayari kurudi Misiri kama safari ya Kanani itashindikana. Mh Rais amekuwa mwema mno kusema hadharani hasa kutahadharisha. Wewe kama unaona bado Mungu hajasema nawe endelea kutimiza majukumu ambayo Mungu amemtumia mteule wake Mh Rais kukuamini, lakini kama wakati wa Bwana unasema sasa hapo ulipo umeshatumika vya kutosha na sasa ni wakati wa kwenda kuwawakilisha wananchi kwenye chombo cha kutunga sheria na kuishauri serikali nenda jimboni.
Ina maana sasa hivi huko ccm anayeamua nani agombee wapi ni rais na siyo mchakato wa kidemokrasia.

Ina maana nafasi anaoteua rais ni sadaka kwa makada waliokosa ubunge.

Anaposema uridhike na nafasi uliyopewa anamaanisha watu hawana uhuru tena wa kuamua wafanye nini katika wakati gani.

Anaposema watu wanaenda kugombea ubunge ili awateue uwaziri ana uhakika gani kama ataendelea kuwa mamlaka ya uteuzi?

Je hao aliowateua hawana haki tena ya kugombea uongozi ila wasubiri neema ya uteuzi.
 
Lakini amewakumbusha kuwa kama yeye hajakukubali huwezi toboa,hata upigiwe kura ukaongoza kwa 90% huna uhakika wa kupitishwa chamani.

Mchakato ndani ya CCM ni mgumu sana kipindi hiki.
 
TUMEMSKIA MH RAIS MAGUFULI LEO?


Na Elius Ndabila
0768239284

Leo Mh Rais akimuapisha Mkuu wa Mkoa na Wakuu wa Wilaya za Morogoro, Monduli na Arusha mjini ametoa hotuba ambayo inaweza kuwa msumali wa moto kwa baadhi ya viongozi. Hotuba ya Mh Rais ilikuwa na dhima nyingi, lakini ninataka nizungumze neno alilochomekea la *MRIDHIKE* na nafasi zenu.

Mh Rais amewataka wstumishi wa umma wote, hasa viongozi wake wateule kuridhika na nafasi wanazopewa. Amesema hakuna sababu ya kiongozi kutoridhika na nafasi yake aliyonayo wakati anafanya vizuri na ana miaka mingi. Amesema atawashangaa sana. Ametumia mfano IGP, CDF na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kama wanatamani kugombea ili akawateue Uwaziri. Mh Rais amesema ni haki yao kidemokrasia, lakini wanapoenda wawe na uhakika wa kushinda. Amesisitiza kuwa hata ukiwa wa kwanza si lazima iteuliwe kugombea kwani ninaweza kumteua hata mtu wa nne, anazungumza huku akitolea mfano Naibu waziri wa Mambo ya nje aliyeshika nafasi ya nne lakini akateuliwa kugombea.

Kwa tafsiri rahisi hotuba ya Mh Rais ilijikita kufikisha ujumbe kwa watumishi wengi ambao sasa ofisi zao hazifanyi vizuri na wako busy kusaka ubunge. Mh Rais inaonyesha wazi anajua kuwa wateule wake wengi wanaona sasa majukumu waliyopewa ni nonsense na kuona Ubunge ni bora. Kitendo cha Mh Rais kuzungumza hadharani inaonyesha wazi amekasirishwa na hatua hizo za wateule wake kuacha kazi na kumkimbiza na harakati za majimboni. Mh Rais amesisitiza kuwateua kugombea kwenye uchaguzi kunatokana na alivyoamka siku hiyo kwani anaweza kuwakata hata kama wanaongoza kura.


Dhana ya kutoridhika inaonyesha ndiyo iliyowaondoa aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Arusha na DC wake kwa kuwa wamekuwa wakigombana kwa miaka miwili mfululizo bila kufanya kazi zao vizuri. Ukimsikiliza kwa umakini Mh Rais akitoa wosia kwa wateule wapya amesema hakuridhika na migogoro kwa viongozi hao. Hata hivyo wadadisi wa mambo ya kisiasa wanasema Mh Rais kumtumia IGP, CDF na RC Iringa ilikuwa ni kufikisha ujumbe kwa Mh Gambo ambaye amekuwa akitajwa kugombea ubunge Ilala au Arusha kitu kilichopelekea kutotimiza vizuri majukumu yake na kutumia mda mwingi kugombana na wasaidizi wake na kuchochea migogoro ya kujipatia umaarufu.

Rai kwa watumishi wote wenye nia ya kwenda majimboni, jitafakarini kwanza, ongeeni na Mungu wenu kwanza kama mko tayari kurudi Misiri kama safari ya Kanani itashindikana. Mh Rais amekuwa mwema mno kusema hadharani hasa kutahadharisha. Wewe kama unaona bado Mungu hajasema nawe endelea kutimiza majukumu ambayo Mungu amemtumia mteule wake Mh Rais kukuamini, lakini kama wakati wa Bwana unasema sasa hapo ulipo umeshatumika vya kutosha na sasa ni wakati wa kwenda kuwawakilisha wananchi kwenye chombo cha kutunga sheria na kuishauri serikali nenda jimboni.
Yeye akiwa rais alisema anatamani angekuwa IGP.

Ameridhika?
 
Mchaguwa Wabunge Tanzania ni mtu mmoja tu hii imekaje sasa Uchaguzi ni wa nini tena
 
Ina maana sasa hivi huko ccm anayeamua nani agombee wapi ni rais na siyo mchakato wa kidemokrasia.

Ina maana nafasi anaoteua rais ni sadaka kwa makada waliokosa ubunge.

Anaposema uridhike na nafasi uliyopewa anamaanisha watu hawana uhuru tena wa kuamua wafanye nini katika wakati gani.

Anaposema watu wanaenda kugombea ubunge ili awateue uwaziri ana uhakika gani kama ataendelea kuwa mamlaka ya uteuzi?

Je hao aliowateua hawana haki tena ya kugombea uongozi ila wasubiri neema ya uteuzi.
Nimeshangaa sana pale aliposema, "ata jina lako likipita naweza nikachukua yule wa mwisho, inategemea siku hyo nimeamkaje" [emoji26]
 
TUMEMSKIA MH RAIS MAGUFULI LEO?


Na Elius Ndabila
0768239284

Leo Mh Rais akimuapisha Mkuu wa Mkoa na Wakuu wa Wilaya za Morogoro, Monduli na Arusha mjini ametoa hotuba ambayo inaweza kuwa msumali wa moto kwa baadhi ya viongozi. Hotuba ya Mh Rais ilikuwa na dhima nyingi, lakini ninataka nizungumze neno alilochomekea la *MRIDHIKE* na nafasi zenu.

Mh Rais amewataka wstumishi wa umma wote, hasa viongozi wake wateule kuridhika na nafasi wanazopewa. Amesema hakuna sababu ya kiongozi kutoridhika na nafasi yake aliyonayo wakati anafanya vizuri na ana miaka mingi. Amesema atawashangaa sana. Ametumia mfano IGP, CDF na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kama wanatamani kugombea ili akawateue Uwaziri. Mh Rais amesema ni haki yao kidemokrasia, lakini wanapoenda wawe na uhakika wa kushinda. Amesisitiza kuwa hata ukiwa wa kwanza si lazima iteuliwe kugombea kwani ninaweza kumteua hata mtu wa nne, anazungumza huku akitolea mfano Naibu waziri wa Mambo ya nje aliyeshika nafasi ya nne lakini akateuliwa kugombea.

Kwa tafsiri rahisi hotuba ya Mh Rais ilijikita kufikisha ujumbe kwa watumishi wengi ambao sasa ofisi zao hazifanyi vizuri na wako busy kusaka ubunge. Mh Rais inaonyesha wazi anajua kuwa wateule wake wengi wanaona sasa majukumu waliyopewa ni nonsense na kuona Ubunge ni bora. Kitendo cha Mh Rais kuzungumza hadharani inaonyesha wazi amekasirishwa na hatua hizo za wateule wake kuacha kazi na kumkimbiza na harakati za majimboni. Mh Rais amesisitiza kuwateua kugombea kwenye uchaguzi kunatokana na alivyoamka siku hiyo kwani anaweza kuwakata hata kama wanaongoza kura.


Dhana ya kutoridhika inaonyesha ndiyo iliyowaondoa aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Arusha na DC wake kwa kuwa wamekuwa wakigombana kwa miaka miwili mfululizo bila kufanya kazi zao vizuri. Ukimsikiliza kwa umakini Mh Rais akitoa wosia kwa wateule wapya amesema hakuridhika na migogoro kwa viongozi hao. Hata hivyo wadadisi wa mambo ya kisiasa wanasema Mh Rais kumtumia IGP, CDF na RC Iringa ilikuwa ni kufikisha ujumbe kwa Mh Gambo ambaye amekuwa akitajwa kugombea ubunge Ilala au Arusha kitu kilichopelekea kutotimiza vizuri majukumu yake na kutumia mda mwingi kugombana na wasaidizi wake na kuchochea migogoro ya kujipatia umaarufu.

Rai kwa watumishi wote wenye nia ya kwenda majimboni, jitafakarini kwanza, ongeeni na Mungu wenu kwanza kama mko tayari kurudi Misiri kama safari ya Kanani itashindikana. Mh Rais amekuwa mwema mno kusema hadharani hasa kutahadharisha. Wewe kama unaona bado Mungu hajasema nawe endelea kutimiza majukumu ambayo Mungu amemtumia mteule wake Mh Rais kukuamini, lakini kama wakati wa Bwana unasema sasa hapo ulipo umeshatumika vya kutosha na sasa ni wakati wa kwenda kuwawakilisha wananchi kwenye chombo cha kutunga sheria na kuishauri serikali nenda jimboni.
Hivi ma-DC ,ma-RC na ma-DED wanakula mshahara kiasi gani kiasi cha watu kupagawa na uteuzi?
 
Nimeshangaa sana pale aliposema, "ata jina lako likipita naweza nikachukua yule wa mwisho, inategemea siku hyo nimeamkaje" [emoji26]
CCM mwenye kuamua hatma ya wagombea ni jamaa mwenyewe na hiyo inategemea kaamka vipi.

Hii ni hatari sana kwa mustakabi wa demokrasia ndani ya chama.

Lakini kwa sababu wanaccm ni genge la wahuni na wanafiki sasa hivi watashindana kujipendekeza tu kwa mwenye chama chake ili wateuliwe.
 
Lakini amewakumbusha kuwa kama yeye hajakukubali huwezi toboa,hata upigiwe kura ukaongoza kwa 90% huna uhakika wa kupitishwa chamani.

Mchakato ndani ya CCM ni mgumu sana kipindi hiki.
Na hapo ccm ndiyo watautambua umuhimu wa demokrasia.

Lakini kwa sababu wanaccm wanaishi katika misingi ya unafiki na uzandiki wengi watakimbilia kujipendekeza kwa mkuu.

Huoni wameshaanza kumuita Yesu !!!wanajua ili waendelee kula nchi lazima 'yesu'abariki.
 
TUMEMSKIA MH RAIS MAGUFULI LEO?


Na Elius Ndabila
0768239284

Leo Mh Rais akimuapisha Mkuu wa Mkoa na Wakuu wa Wilaya za Morogoro, Monduli na Arusha mjini ametoa hotuba ambayo inaweza kuwa msumali wa moto kwa baadhi ya viongozi. Hotuba ya Mh Rais ilikuwa na dhima nyingi, lakini ninataka nizungumze neno alilochomekea la *MRIDHIKE* na nafasi zenu.

Mh Rais amewataka wstumishi wa umma wote, hasa viongozi wake wateule kuridhika na nafasi wanazopewa. Amesema hakuna sababu ya kiongozi kutoridhika na nafasi yake aliyonayo wakati anafanya vizuri na ana miaka mingi. Amesema atawashangaa sana. Ametumia mfano IGP, CDF na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kama wanatamani kugombea ili akawateue Uwaziri. Mh Rais amesema ni haki yao kidemokrasia, lakini wanapoenda wawe na uhakika wa kushinda. Amesisitiza kuwa hata ukiwa wa kwanza si lazima iteuliwe kugombea kwani ninaweza kumteua hata mtu wa nne, anazungumza huku akitolea mfano Naibu waziri wa Mambo ya nje aliyeshika nafasi ya nne lakini akateuliwa kugombea.

Kwa tafsiri rahisi hotuba ya Mh Rais ilijikita kufikisha ujumbe kwa watumishi wengi ambao sasa ofisi zao hazifanyi vizuri na wako busy kusaka ubunge. Mh Rais inaonyesha wazi anajua kuwa wateule wake wengi wanaona sasa majukumu waliyopewa ni nonsense na kuona Ubunge ni bora. Kitendo cha Mh Rais kuzungumza hadharani inaonyesha wazi amekasirishwa na hatua hizo za wateule wake kuacha kazi na kumkimbiza na harakati za majimboni. Mh Rais amesisitiza kuwateua kugombea kwenye uchaguzi kunatokana na alivyoamka siku hiyo kwani anaweza kuwakata hata kama wanaongoza kura.


Dhana ya kutoridhika inaonyesha ndiyo iliyowaondoa aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Arusha na DC wake kwa kuwa wamekuwa wakigombana kwa miaka miwili mfululizo bila kufanya kazi zao vizuri. Ukimsikiliza kwa umakini Mh Rais akitoa wosia kwa wateule wapya amesema hakuridhika na migogoro kwa viongozi hao. Hata hivyo wadadisi wa mambo ya kisiasa wanasema Mh Rais kumtumia IGP, CDF na RC Iringa ilikuwa ni kufikisha ujumbe kwa Mh Gambo ambaye amekuwa akitajwa kugombea ubunge Ilala au Arusha kitu kilichopelekea kutotimiza vizuri majukumu yake na kutumia mda mwingi kugombana na wasaidizi wake na kuchochea migogoro ya kujipatia umaarufu.

Rai kwa watumishi wote wenye nia ya kwenda majimboni, jitafakarini kwanza, ongeeni na Mungu wenu kwanza kama mko tayari kurudi Misiri kama safari ya Kanani itashindikana. Mh Rais amekuwa mwema mno kusema hadharani hasa kutahadharisha. Wewe kama unaona bado Mungu hajasema nawe endelea kutimiza majukumu ambayo Mungu amemtumia mteule wake Mh Rais kukuamini, lakini kama wakati wa Bwana unasema sasa hapo ulipo umeshatumika vya kutosha na sasa ni wakati wa kwenda kuwawakilisha wananchi kwenye chombo cha kutunga sheria na kuishauri serikali nenda jimboni.
Rubbish! Nyie madogo mpo kusifia tu. Kwa hiyo atamzuia makonda au kitila kugombea
 
Back
Top Bottom