Hotuba ya Rais Magufuli imewatandika wengi wateule

Mkuu mbona umesahau kuweka namba ya halotel maana voda inaweza isipatikane wakuu wakikupigia
 
Lakini amewakumbusha kuwa kama yeye hajakukubali huwezi toboa,hata upigiwe kura ukaongoza kwa 90% huna uhakika wa kupitishwa chamani.

Mchakato ndani ya CCM ni mgumu sana kipindi hiki.
wengi watalia na kusaga meno,kwa fedha na muda walioupoteza kisha majina yao kukatwa na mtu mmoja kwa matakwa yake mwenyewe kisha wanasema chama kongwe lenye demokrasia kumbe hamna kitu,hebu tujiulize kama wa ndani ya chama chake anawafanyia hivi je walionnje ya chama chake je?
 
Yeye ni alfa na omega na ameshasema anaongoza mhimili uliojichimbia chin zaid
 
Juni 18, 2020
Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui
Unguja, Zanzibar
Tanzania

Balozi Major General (retired) Issa Suleiman Nassor achukua fomu kutia nia Urais SMZ 2020
Video toka Maktaba AFCON Egypt

Hili ni jina geni katika masikio ya wengi panapohusika siasa za Tanzania, lakini sio geni katika uwanja wa kijeshi. Major General Issa S. Nassor alifikia ngazi ya Mkuu wa Mafunzo na Operesheni wa JWTZ (Head of training and operations of the Tanzania People’s Defence Forces TPDF)

Jenerali Nassor amelitumikia Jeshi la Wananchi wa Tanzania kwa miaka mingi kabla ya kuteuliwa kuwa Balozi nchini Misri kutoka mwaka 2017 hadi 2019. Makao yake yakiwa Cairo, Misri huku pia akiiwakilisha Tanzania katika nchi za Lebanon, Palestine, Libya, Iraq, Syria na Jordan. Major General Issa Suleiman Nassor aliwahi pia kuhudumu ktk Ubalozi wa Tanzania nchini India kama mwambata wa kijeshi Defence Attache ubalozini kabla ya kuteuliwa kuwa Balozi wetu nchini Egypt (2017-2019).

Picha toka maktaba:

Japo si jina kubwa katika siasa, duru visiwani Zanzibar zinamuelezea kama mtu asiye na mafungamano na siasa za makundi.

Naye anatajwa kubebwa na karata ya utiifu wake lakini hana umaarufu katika siasa za Zanzibar na Tanzania kwa ujumla.

Hatima ya nafasi yake ikiwa ataingia katika kinyang'anyiro itaamuliwa na
 
Duh! Kumbe zile kura za maoni kule majimboni ni kazi bure hata na wale wanaochukua fomu za urais kule ni bure nahisi tayari wazanzibar washachaguliwa wa kuwaongoza
 
Rubbish post unapiga preiz? Namba ya nini? Na ww ni miongoni mwa wasomi kwa familia yako? Majanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…