Hotuba ya Rais Magufuli kufungua Bunge la 12: Utumbuaji majipu utaendelea ili kuhakikisha Watumishi wanatenda kazi kwa mujibu wa Sheria na Kanuni

Hotuba ya Rais Magufuli kufungua Bunge la 12: Utumbuaji majipu utaendelea ili kuhakikisha Watumishi wanatenda kazi kwa mujibu wa Sheria na Kanuni

Ukweli ni kuwa Jiwe ametimiza alama zile tatu za mnafiki kwa mujibu wa mafunzo ya dini ya kiislamu....liza
Nimemsikiliza Mh Rais.
Anamaanisha.
Hapa kwenye Kilimo amenigusa sana!
Pesa iko kwenye Kilimo na Ufugaji wa kisasa!
Nchi itaruka mbali sana kiuchumi.
Huyo Waziri anatakiwa ajue vizuri Biashara ya Kilimo.

Huo ndiyo utajiri wenyewe sasa!!
Heko Mkuu.
Tuandalie mazingira Sisi tutapiga kazi vibaya mno!!
 
Rais Magufuli: 'mimi na dr husein tutahakikisha tuna dili na yeyote anaetaka kuingilia uhuru wa nchi yetu'

Mfikishieni huuu ujumbe wale wabelgiji
Na pia wahafahamu haki za binadamu zina over ride immunity za kijinga.
 
Mungu hupitia wanadamu kukamilisha mambo yake
Kwa mapenzi yake hakuna analoshindwa ruhusu na hakuna analoshindwa zuia
Awamu hii mnamtumia Mungu mnavyotaka kwenye mambo yenu ya siasa!Yaani mmemfanya Mung kama babu yenu vile!
 
Awamu hii mnamtumia Mungu mnavyotaka kwenye mambo yenu ya siasa!Yaani mmemfanya Mung kama babu yenu vile!

Hatujawahi acha kumtumia Mungu hata CORONA inalitambua hilo😁😁😁
Na hakuna anayeweza kutuzuia kumtegemea Mungu
 
Imani za dini humponya binadamu kiroho na kimwili nasi wakristo hushiriki kuula mkate na kuinywa divai kama " ishara" ya kupokea uponyaji huo.

Imani za kisiasa huuponya mwili na hasa tumbo ndio maana Wanasiasa wanaipigania amani ya mwilini siyo ya rohoni ( haki)

Maendeleo hayana vyama!

Jibu swali langu bwana. Au huelewi?
 
Daah,sisi tukitumia fasihi kuelekea upande huo tusiwekwe ndani!Tuseme mpinzani bungeni angewaita wanaccm mbwa,angekuwa salama?

Ukisema wanaccm ni mbwa utakua umekosea mnoo
Utakua hajatumia FASIHI ila umetukana
 
Ni ngumu Sana Vijana wa Chadema kumfurahia Magufuli Kwa sasa, kutokana na Chama Chao kuzikwa rasimi 2020

Ijulikane, kama tunavyopingana humu, Maana yake inaapia kwenye ukweli kuwa, hata angechaguliwa yeyote miongoni mwetu humu, bado asingeungwa mkono na wote

Magufuli chapa kazi, kelele huwa zipo tu, kunaanaye tamani kiongozi wake angelikuwa mzungu, kunaanayetamani TANZANIA ifanyiwe hivi na vile ili tu lengo lake tukose wote

Hao, ni maskini wa hovyo kuliko wasiokuwa na hata chakula na mavazi Kwa kuwa wao muda wowote wanaweza kuboresha maisha Yao kuliko hao masikini wa Kufikiri ijapokuwa eti ni wasomi

Pumbavu Sana hao manyang'au
 
Back
Top Bottom