Hotuba ya Rais Magufuli yawa "Lulu" duniani kote, Wachina na Wahindi wataka itafsiriwe kwa lugha za mataifa yao

Satire
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo apa Moscow wananchi wananunua CD za hiyo hotuba kwa shilingi elfu 50000 pesa za kitanzania.
Ila nasikia ata USA wapo wanaitasfiri ili Trump akaongee maneno ayo ayo.
Jipe furaha hapo Kinondoni Moscow, upate japo lepe la usingizi.
 
Yaani anajaribu kuushawishi Ulimwengu kuwa corona ni kaugonjwa tu cha mafua hata mapapai na mbuzi wanazo na maisha yanasonga mbele. Aibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Papai limepataje Corona?
 
Ushawaona hao watu wanaokufa kwenye hayo mataifa? hama nchi usionekane mwendawazimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mchina aliyekuomba umtafsirie hiyo hutuba ni manara umemtazama kwa juu-juu
 
Tuliza mzuka mkulu amejiongeza ili ku verify authenticity ya vifaa vya kupimia korona isije ikawa changa la macho.....
kujiongeza sio kosa ni aina ya utafiti
 
Ni kweli usemayo. maana hata wale wabunge na waziri waliokuwa kule bungeni nao wanatania tu hawakuondoka kutokana na hiyo coronavirus.

Haya mambo sasa yamekuwa kama utani tu wa kila siku.
 
Huu upupu wako kawaambie nduguze Mch. Mitimingi kama watakuelewa na Mafenesi yako. Hayajakupata endelea kushabikia porojo za Meko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…