Hotuba ya Rais Magufuli yawa "Lulu" duniani kote, Wachina na Wahindi wataka itafsiriwe kwa lugha za mataifa yao

Hotuba ya Rais Magufuli yawa "Lulu" duniani kote, Wachina na Wahindi wataka itafsiriwe kwa lugha za mataifa yao

Watu bado wanakuamini ndio maana wanakusikiliza. Natamani kukusaidia ila katika yote tafadhali sana muombe Mungu yupo pamoja na wewe katika kila jambo.

Wewe ni mshindi. Ndio wewe umeweza kwa uzuri sana.

Nakupenda sana.
 
Mtakatifu mbona hamuongelei kashfa ya "KANGI LUGOLA", ametuweka gizani raia kuhusu "KASHFA ILIOMUONDOA WADHIFA WAKE".

Kama kweli yeye anavyojitapa anapambana na mafisadi, na wataishi kama "MASHETANI", inamaana huyu amethibitisha kua "AMEMSHINDWA".

Kangi Lugola inamaana "ANAOGOPWA"? Bado hajafikishwa mahakamani, au bado "UPELELEZI HEWA" unaendelea?
 
Haya ninayoyashuhudia kwenye mitandao ikiwa ni comments ya wana Afrika mashariki walioko sehemu tofauti tofauti duniani yanaiingiza Tanzania katika historia mpya.

Kwanza watu wengi wamefuatilia hotuba ya Rais Magufuli iliyorekodiwa na kuwekwa mitandaoni. Na wengi wameusifu utafiti uliofanywa na timu ya Dr Magufuli.
Baadhi ya watu kutoka China na India wameomba hotuba hiyo itafsiriwe kwa lugha za mataifa yao ili ikawanufaishe watu wengi zaidi katika nchi zao.

Mjini Mombasa, Kenya hotuba hiyo ya Rais Magufuli imezuwa gumzo kubwa na wengi wamekubaliana na Rais Magufuli juu ya wasiwasi wa ubora wa vifas.
Mombasa wanaingia katika zoezi la mass testing lakini wananchi wanataka waelimishwe zaidi kabla ya kupimwa.

Maendeleo hayana vyama!
Hata sisi inabidi tuwaenzi sangoma wa Madagascar kuliko wataalamu wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona ni ugonjwa hatari sana kwenye mitandao ya kijamii... Unatisha sana mtandaoni hasa JF,FB,INSTA. Na according to mange kimambi korona inaua maelfu kwa maelfu dar... Watu wanaokotwa mitaroni. Ila ukiwa dar... Hakuna jirani anaomboleza msiba, wala hakuna hata maiti ya kenge mtaroni

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hosea4:6 Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako. Nimetafakari naona hiii nchi inatawaliwa na wahamiaji au watu wajinga na wananchi wajinga
 
Uwezo wa Jiwe kuvusha watu wake hasa wakati wa majanga ni mdogo! Ndio hivyo tu huyu baba ni mbishi ila angekubali kujifunza kwa wenzie! Tatizo anajiona anajuaga kila kitu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania tunazidi kuonekana kichwa cha mwendawazimu, kufanyia test mapapai yakakutwa positive kuna athari kubwa mbele ya safari.

Wengi wataugulia majumbani wakiamini Corona ni ugonjwa wa kawaida, wataambukiza wengi zaidi, na watakufa wengi pia.

Nchi zote duniani zinakabiliana na hili janga scientifically, nchi zote zimepoteza watu wake, but sisi bado hatujawa tayari kukubaliana na huu ukweli, kila siku tunadanganyana kwa kutafuta sababu nyepesi kulazimisha Corona ionekane sio tatizo, ulimwengu wote lazima utushangae.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uelewa wako inaonekana una walakini, yeye kafanya hivyo sio kuonyesha kwamba papai lina corona lakini kuangalia
1. Reliability of the testing procedure
2. Reliability of the instruments used for testing
3.any other products / produce which can reflect that one has corona while it is not.
 
Hosea4:6 Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako. Nimetafakari naona hiii nchi inatawaliwa na wahamiaji au watu wajinga na wananchi wajinga
Na mjinga number moja ni wewe usielewa maana.
 
zimelalamika. Namuunga Raisi wangu mkono
emoji817.png
%. Serkali ipo macho usiku na mchana, huduma mahospitalini na kila mahali zinapatikana. Sasa sijui hao wanaotaka lockdown Wana shida gani haswa kwenye bongo zao. TUFATE taratibu za kujikinga na huu ugonjwa na tumuunge mkono Mh. Raisi wetu.
Ajabu wanata lockdown kwa Dar tu Zanzibar hawaizungumzii
Janja yao imejulikana,ukifanya lockdown kwaDar utaua watu kwa njaa ndani ya siku mbili tu,hivyo ingekua rahisi kwao kuchochea wananchi waasi.Pole sana mbowe hatimaye amejiloki mwenyewe
 
Haya ninayoyashuhudia kwenye mitandao ikiwa ni comments ya wana Afrika mashariki walioko sehemu tofauti tofauti duniani yanaiingiza Tanzania katika historia mpya.

Kwanza watu wengi wamefuatilia hotuba ya Rais Magufuli iliyorekodiwa na kuwekwa mitandaoni. Na wengi wameusifu utafiti uliofanywa na timu ya Dr Magufuli.
Baadhi ya watu kutoka China na India wameomba hotuba hiyo itafsiriwe kwa lugha za mataifa yao ili ikawanufaishe watu wengi zaidi katika nchi zao.

Mjini Mombasa, Kenya hotuba hiyo ya Rais Magufuli imezuwa gumzo kubwa na wengi wamekubaliana na Rais Magufuli juu ya wasiwasi wa ubora wa vifas.
Mombasa wanaingia katika zoezi la mass testing lakini wananchi wanataka waelimishwe zaidi kabla ya kupimwa.

Maendeleo hayana vyama!
Utafiti wa kuwafanyia mbuzi na mapapai? na wewe kweli hazikutoshi kama mwenzio. Wahindi na Wachina walikuomba wewe?
 
Kwahiyo kuanzia Leo tusile papai fenesi supu ya mbuzi na kware kisa vyote ni positive Corona virus confirmed😥😥😥😥
 
Haya ninayoyashuhudia kwenye mitandao ikiwa ni comments ya wana Afrika mashariki walioko sehemu tofauti tofauti duniani yanaiingiza Tanzania katika historia mpya.

Kwanza watu wengi wamefuatilia hotuba ya Rais Magufuli iliyorekodiwa na kuwekwa mitandaoni. Na wengi wameusifu utafiti uliofanywa na timu ya Dr Magufuli.
Baadhi ya watu kutoka China na India wameomba hotuba hiyo itafsiriwe kwa lugha za mataifa yao ili ikawanufaishe watu wengi zaidi katika nchi zao.

Mjini Mombasa, Kenya hotuba hiyo ya Rais Magufuli imezuwa gumzo kubwa na wengi wamekubaliana na Rais Magufuli juu ya wasiwasi wa ubora wa vifas.
Mombasa wanaingia katika zoezi la mass testing lakini wananchi wanataka waelimishwe zaidi kabla ya kupimwa.

Maendeleo hayana vyama!
Sasa tupo kwenye hali halisi ya kipimo Cha uongozi wake ... He is playing game of chance
IMG_20200503_104601_816.jpeg
IMG_20200503_104533_247.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ninayoyashuhudia kwenye mitandao ikiwa ni comments ya wana Afrika mashariki walioko sehemu tofauti tofauti duniani yanaiingiza Tanzania katika historia mpya.

Kwanza watu wengi wamefuatilia hotuba ya Rais Magufuli iliyorekodiwa na kuwekwa mitandaoni. Na wengi wameusifu utafiti uliofanywa na timu ya Dr Magufuli.
Baadhi ya watu kutoka China na India wameomba hotuba hiyo itafsiriwe kwa lugha za mataifa yao ili ikawanufaishe watu wengi zaidi katika nchi zao.

Mjini Mombasa, Kenya hotuba hiyo ya Rais Magufuli imezuwa gumzo kubwa na wengi wamekubaliana na Rais Magufuli juu ya wasiwasi wa ubora wa vifas.
Mombasa wanaingia katika zoezi la mass testing lakini wananchi wanataka waelimishwe zaidi kabla ya kupimwa.

Maendeleo hayana vyama!
Yaani huu utumbo aliyoufanya Jiwe wa kupima mapapai kwenye kipimo kinachompima binadamu afu akategemea kupata majibu sahihi?
Yaani kwanza waelewa hawawezi hata kwenda kutest mapapai kama alivyofanya Jiwe,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom