Zanzibar 2020 Hotuba ya Seif imenitoa chozi, nashauri Rais Magufuli, Mwinyi na Maalim Seif wakutane wagonge glass kidogo

Zanzibar 2020 Hotuba ya Seif imenitoa chozi, nashauri Rais Magufuli, Mwinyi na Maalim Seif wakutane wagonge glass kidogo

Maalim kaongea kwa hisia sana na amejitahdi kutamka mambo magum mbele ya Rais (kukemea yaliyotokea mwezi oct 28)

#lakini naamini huu wote ni unafiki tu mbele ya Wazanzibar !!

#karibu sana CCM Maalim, karibu tuijenge Zanzibar kwa pamoja, hongera kwa maamuzi uliyoona ni sahihi kuliko kugombana na kutunishiana daily jambo ambalo halina afya kwa jamii ya Wazanzibar.
Wala sio unafiki na sahau Maalim Seif hatarudi CCM abadan
 
Acha uwongo wewe wapemba wamejazana Unguja na kujenga mahekalu muunguja ata kiwanja hasubutu kumiliki uko Pemba . Wabaguzi mno wapemba shenz type
 
Acha uwongo wewe wapemba wamejazana Unguja na kujenga mahekalu muunguja ata kiwanja hasubutu kumiliki uko Pemba . Wabaguzi mno wapemba shenz type
Kichwa chako ni kigumu, wapemba wapo kibao unguja kama ulivyosema, tunaongelea nafasi za ajira toka serikalini ama uhamisho wa kikazi., wapemba waliojenga unguja ni watu wa kawaida ambao wanaishi maisha kujituma binafsi., narudia tena wapemba walikuwa wanabaguliwa,

Wapemba sio wabaguzi kama ni wabaguzi wale wanyamwezi kutoka tanganyika kule wanaolima viazi na kuuza dawa za panya wangekwisha rejeshwa., lakini bado kila siku wanapigiana simu wanajaza kule pemba na wamasai rafiki kibao.,
 
Wakuu nmesikiliza hotuba ya Maalim Seif baada ya kuapishwa, nikiri tu kwamba huyu mzee ana busara sana. Seif anajua kwamba Zanzibar ni zaidi ya ACT Wazalendo na CCM,.

Na kwa hotuba hii kama wataenda jinsi walivyo leo nauhakika Zanzibar itapiga hatua sana.

Ningekuwa karibu na JPM ningemshauri awaite Seif na Mwinyi Ikulu ya bara waje wagonge glass kutwa nzima au yeye mwenyewe anaweza kujipeleka Ikulu ya Zanzibar wakagonge glass huko, hakika watu watatiwa moyo na Wabelgiji watanuna sana.

Kingine, kwa kuwa Zitto ameshajirudi ni wakati sasa wa Rais kumpa ubunge na ikiwezekana Wizara kabisa ili tujenge nchi. Haya mengine ya kushirikiana na kina Amsterdam tutawasamehe kina Zitto.

Jioni njema wakuu.
Umeharibu hapo ulipomtaja beberu Robert Amsterdam ...
 
Wakuu nmesikiliza hotuba ya Maalim Seif baada ya kuapishwa, nikiri tu kwamba huyu mzee ana busara sana. Seif anajua kwamba Zanzibar ni zaidi ya ACT Wazalendo na CCM,.

Na kwa hotuba hii kama wataenda jinsi walivyo leo nauhakika Zanzibar itapiga hatua sana.

Ningekuwa karibu na JPM ningemshauri awaite Seif na Mwinyi Ikulu ya bara waje wagonge glass kutwa nzima au yeye mwenyewe anaweza kujipeleka Ikulu ya Zanzibar wakagonge glass huko, hakika watu watatiwa moyo na Wabelgiji watanuna sana.

Kingine, kwa kuwa Zitto ameshajirudi ni wakati sasa wa Rais kumpa ubunge na ikiwezekana Wizara kabisa ili tujenge nchi. Haya mengine ya kushirikiana na kina Amsterdam tutawasamehe kina Zitto.

Jioni njema wakuu.
Njaa inakusumbua huna lolote
 
mimi nimefurahi alipowaondoa kwenye serikali wale watoto wa royal family.
  1. mohammed aboud
  2. haji omar kheri
  3. ali karume
  4. seif ali iddi
  5. n.k

kuna eneo fulani nimepita asubuhi ya leo nikaambiwa hii ni nyumba ya balozi seif
dah! nilipigwa na butwaa

Wapi huko mkuu?
 
TunduLissu aliongea nini baada kufika Belgium? alimtaka Magufuli aunde serikali itakayoleta umoja kwa Watanzania., kwa msingi wa maneno haya ni kwamba amemtambua kama ni Rais sasa Je. - huu nao ulikuwa unafiki kwa watanganyika? Ukiongea unafiki kwanza ongea wa Tundu Lissu kuwatelekeza watanzania waliokuwa na matumaini naye akakimbia siku 2 baada kutangazwa Magu akidai eti kapigiwa sim na mtu atakayemuua
mkuu ufipa na upinzani hawatabiriki kwa ufupi😂😂 yaani ✌=💩
 
Wakuu nmesikiliza hotuba ya Maalim Seif baada ya kuapishwa, nikiri tu kwamba huyu mzee ana busara sana. Seif anajua kwamba Zanzibar ni zaidi ya ACT Wazalendo na CCM,.

Na kwa hotuba hii kama wataenda jinsi walivyo leo nauhakika Zanzibar itapiga hatua sana.

Ningekuwa karibu na JPM ningemshauri awaite Seif na Mwinyi Ikulu ya bara waje wagonge glass kutwa nzima au yeye mwenyewe anaweza kujipeleka Ikulu ya Zanzibar wakagonge glass huko, hakika watu watatiwa moyo na Wabelgiji watanuna sana.

Kingine, kwa kuwa Zitto ameshajirudi ni wakati sasa wa Rais kumpa ubunge na ikiwezekana Wizara kabisa ili tujenge nchi. Haya mengine ya kushirikiana na kina Amsterdam tutawasamehe kina Zitto.

Jioni njema wakuu.
Usilo lijuwa usiku wa giza
 
Maalim Seif ana miaka 77 ni umri mkubwa, kwake kuwa makamu ya rais mara mbili tayari ni suala la heshima kubwa na historia itamkumbuka daima.
 
Wakuu nmesikiliza hotuba ya Maalim Seif baada ya kuapishwa, nikiri tu kwamba huyu mzee ana busara sana. Seif anajua kwamba Zanzibar ni zaidi ya ACT Wazalendo na CCM,.

Na kwa hotuba hii kama wataenda jinsi walivyo leo nauhakika Zanzibar itapiga hatua sana.

Ningekuwa karibu na JPM ningemshauri awaite Seif na Mwinyi Ikulu ya bara waje wagonge glass kutwa nzima au yeye mwenyewe anaweza kujipeleka Ikulu ya Zanzibar wakagonge glass huko, hakika watu watatiwa moyo na Wabelgiji watanuna sana.

Kingine, kwa kuwa Zitto ameshajirudi ni wakati sasa wa Rais kumpa ubunge na ikiwezekana Wizara kabisa ili tujenge nchi. Haya mengine ya kushirikiana na kina Amsterdam tutawasamehe kina Zitto.

Jioni njema wakuu.
acha unafki.
 
Mkuu kilichokuwa kina iharibu Zanzibar mpaka kutokea yote hayo ni siasa uchwara za kichochezi,

Mbona wa zanzibar walioko huku bara tunakunywa nao kahawa safi tu?
Mbona raia kwa raia Zanzibar hawana tatizo, wanaishi vizuri tu kama ndugu. Shida ilikuwa ni baina ya serikali na raia. Serikali iliyopita ilifanya ubaguzi wa kutisha! Mfano kuna mtoto wa dada yangu mmoja, yeye anaishi Unguja. Amekulia Unguja na kusoma Unguja. Baada ya kumaliza chuo akaomba uajiri wizara ya elimu. Kwa tabu sana walimuajiri akafundishe Pemba. Huyu ni mke wa mtu na maisha yao yote ni Unguja. Kwa sababu tu ya upemba wake ndio analazimishwa akafundishe Pemba. Mifano kama hii iko mingi. Mambo haya yalikuwa normalize na serikali...yaani ni ilikuwa kawaida tu kwa serikali kukubagua ukiwa mpemba au mpizani!
 
Wakuu nmesikiliza hotuba ya Maalim Seif baada ya kuapishwa, nikiri tu kwamba huyu mzee ana busara sana. Seif anajua kwamba Zanzibar ni zaidi ya ACT Wazalendo na CCM,.

Na kwa hotuba hii kama wataenda jinsi walivyo leo nauhakika Zanzibar itapiga hatua sana.

Ningekuwa karibu na JPM ningemshauri awaite Seif na Mwinyi Ikulu ya bara waje wagonge glass kutwa nzima au yeye mwenyewe anaweza kujipeleka Ikulu ya Zanzibar wakagonge glass huko, hakika watu watatiwa moyo na Wabelgiji watanuna sana.

Kingine, kwa kuwa Zitto ameshajirudi ni wakati sasa wa Rais kumpa ubunge na ikiwezekana Wizara kabisa ili tujenge nchi. Haya mengine ya kushirikiana na kina Amsterdam tutawasamehe kina Zitto.

Jioni njema wakuu.
Ilikuwa Hotuba nzuri sana yenye matumaini kwa Wazanzibar lakini ilikuja kuharibiwa na Hotuba ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi aliyeanza kupongeza na kusifia Chama chake na Mwenyekiti wake. Maagizo toka Dodoma yatakuwa palepale!
 
Ilikuwa Hotuba nzuri sana yenye matumaini kwa Wazanzibar lakini ilikuja kuharibiwa na Hotuba ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi aliyeanza kupongeza na kusifia Chama chake na Mwenyekiti wake. Maagizo toka Dodoma yatakuwa palepale!
Haahaa Seif atakachofanikiwa ni ving'ora na marupurupu basi. Habari za agenda zake asahau. Huo ni ukweli mchungu Wana ACT wengi hawataki kuusikia..
 
Wakuu nmesikiliza hotuba ya Maalim Seif baada ya kuapishwa, nikiri tu kwamba huyu mzee ana busara sana. Seif anajua kwamba Zanzibar ni zaidi ya ACT Wazalendo na CCM,.

Na kwa hotuba hii kama wataenda jinsi walivyo leo nauhakika Zanzibar itapiga hatua sana.

Ningekuwa karibu na JPM ningemshauri awaite Seif na Mwinyi Ikulu ya bara waje wagonge glass kutwa nzima au yeye mwenyewe anaweza kujipeleka Ikulu ya Zanzibar wakagonge glass huko, hakika watu watatiwa moyo na Wabelgiji watanuna sana.

Kingine, kwa kuwa Zitto ameshajirudi ni wakati sasa wa Rais kumpa ubunge na ikiwezekana Wizara kabisa ili tujenge nchi. Haya mengine ya kushirikiana na kina Amsterdam tutawasamehe kina Zitto.

Jioni njema wakuu.
Zitto ni msaliti sana, sidhani kama anaweza kuaminika, anaonekana alishafeli vetting zote kwa sababu ya undumila kuwili
 
Mbona raia kwa raia Zanzibar hawana tatizo, wanaishi vizuri tu kama ndugu. Shida ilikuwa ni baina ya serikali na raia. Serikali iliyopita ilifanya ubaguzi wa kutisha! Mfano kuna mtoto wa dada yangu mmoja, yeye anaishi Unguja. Amekulia Unguja na kusoma Unguja. Baada ya kumaliza chuo akaomba uajiri wizara ya elimu. Kwa tabu sana walimuajiri akafundishe Pemba. Huyu ni mke wa mtu na maisha yao yote ni Unguja. Kwa sababu tu ya upemba wake ndio analazimishwa akafundishe Pemba. Mifano kama hii iko mingi. Mambo haya yalikuwa normalize na serikali...yaani ni ilikuwa kawaida tu kwa serikali kukubagua ukiwa mpemba au mpizani!
Sasa hapo shida iko wapi? Mbona huku bara mtu unaweza kuweka maisha yako mkoa wa Mwanza lakini ukapangiwa kazi mbeya ndani ndani huko, je huo ni ubaguzi?
 
Nadhan anajifanya hajui,jamaa kashasema hajaribiw
Dr Mwinyi ni waziri katika serikali ya muungano! Huo ndiyo ukweli, hivyo Dr mpango na Dr Mwinyi wapo Sawa kiitifaki na Rais anawaita kwake siyo wao wanamuita
 
Wakuu nmesikiliza hotuba ya Maalim Seif baada ya kuapishwa, nikiri tu kwamba huyu mzee ana busara sana. Seif anajua kwamba Zanzibar ni zaidi ya ACT Wazalendo na CCM,.

Na kwa hotuba hii kama wataenda jinsi walivyo leo nauhakika Zanzibar itapiga hatua sana.

Ningekuwa karibu na JPM ningemshauri awaite Seif na Mwinyi Ikulu ya bara waje wagonge glass kutwa nzima au yeye mwenyewe anaweza kujipeleka Ikulu ya Zanzibar wakagonge glass huko, hakika watu watatiwa moyo na Wabelgiji watanuna sana.

Kingine, kwa kuwa Zitto ameshajirudi ni wakati sasa wa Rais kumpa ubunge na ikiwezekana Wizara kabisa ili tujenge nchi. Haya mengine ya kushirikiana na kina Amsterdam tutawasamehe kina Zitto.

Jioni njema wakuu.
Zitto hafai hata kuwa mfagiaji serikalini, yule ni kibaka na anaweza badilika any time. Yeye akiambiwa huku kuna hela kiasi fulani, ataacha huo ufagio na kukimbilia kwenye hela kupiga kelele.
 
Back
Top Bottom