Hotuba ya Tundu Lissu akizungumza na viongozi na wanachama wa jimbo la Ubungo akitoa elimu ya kauli mbiu ya movement ya NO REFORMS, NO ELECTION

Hotuba ya Tundu Lissu akizungumza na viongozi na wanachama wa jimbo la Ubungo akitoa elimu ya kauli mbiu ya movement ya NO REFORMS, NO ELECTION

Huyu mtu anaonesha kuchanganyikiwa… asipopata Msaada wa haraka atakua kichaa!
Kwa sababu anakili Sana, huwezi kwenda kushindana ikiwa unajua hata ukishinda hupati chochote, rejea uchaguzi wa serikali za mitaa.Ndo maana watu wengi siku hizi hawapigi kura
 
Duniani kote kabisa, uzoefu unaonyesha kwamba hakuna nchi hata moja ambayo iliwahi kufanya Mabadiliko ya Katiba yake ya nchi kwa njia za Kidemokrasia bila ya Wananchi kukatana makonde kwanza
Hujatoa mfano wa nchi hata moja. Mi nakupa mfano, Ghana ni nchi inayopigiwa mfano wa kuwa na Katiba bora tangu mfumo wa vyama vingi ulipoanza mwishoni mwa miaka ya 1989. Walichapana makonde?

Tanzania tulinadilisha Katiba tukaingia kwenye mfumo wa vyama vingi mwaka 1992 na kuanza kuendesha chaguzi vya vyama vingi kuanzia hapo hadi mwaka huu 2025. Tuna Katiba nzuri na Tume Huru ya Uchaguzi na wadau wote wa Uchaguzi Mkuu toka 1995 wamekuwa wakitoka taarifa zao kuwa chaguzi zetu ni huru na haki. Tulichapana makonde lini?
 
Hujatoa mfano wa nchi hata moja. Mi nakupa mfano, Ghana ni nchi inayopigiwa mfano wa kuwa na Katiba bora tangu mfumo wa vyama vingi ulipoanza mwishoni mwa miaka ya 1989. Walichapana makonde?

Tanzania tulinadilisha Katiba tukaingia kwenye mfumo wa vyama vingi mwaka 1992 na kuanza kuendesha chaguzi vya vyama vingi kuanzia hapo hadi mwaka huu 2025. Tuna Katiba nzuri na Tume Huru ya Uchaguzi na wadau wote wa Uchaguzi Mkuu toka 1995 wamekuwa wakitoka taarifa zao kuwa chaguzi zetu ni huru na haki. Tulichapana makonde lini?

Inavyoonekana wewe ni mbumbumbu kabisa kwenye masuala haya.

Ghana ina Katiba ya nchi ambayo ni nzuri ya kupigiwa mfano katika Afrika kwa sababu Katiba hiyo imetokana na mfululizo wa Matukio ya Mapinduzi ya Utawala/Serikali zilizokuwepo huko. Rais wa Kwanza wa nchi hiyo ya Ghana Bw. Kwame Nkrumah alipinduliwa baada ya Watu wa huko hasa Wanajeshi kuona kwamba alikuwa anataka kusimika Utawala wa Kidikteta katika Taifa hilo.

Mwanajeshi Jerry Rawlings alifanya Mapinduzi ya Serikali mara Mbili ili kukomesha uanzishwaji wa Utawala wa Kidikteta na usimikaji wa Katiba mbaya ya Kidikteta kwenye nchi hiyo ya Ghana. Jerry Rawlings aliamua kuwa Rais wa nchi hiyo ya Ghana ili kuonyesha Uongozi Bora wa Kidemokrasia kwa mfano hai ili Watu wengine waliopo nchini humo waweze kuiga Utawala wake Kama mfano mzuri wa Uongozi wa Kidemokrasia unaozingatia Sheria kwenye nchi hiyo.

Fanya utafiti wako vizuri kabla ya kutoa maoni yako humu mtandaoni.
 
Inavyoonekana wewe ni mbumbumbu kabisa kwenye masuala haya.

Ghana ina Katiba ya nchi ambayo ni nzuri ya kupigiwa mfano katika Afrika kwa sababu Katiba hiyo imetokana na mfululizo wa Matukio ya Mapinduzi ya Utawala/Serikali zilizokuwepo huko. Rais wa Kwanza wa nchi hiyo ya Ghana Bw. Kwame Nkrumah alipinduliwa baada ya Watu wa huko hasa Wanajeshi kuona kwamba alikuwa anataka kusimika Utawala wa Kidikteta katika Taifa hilo.

Mwanajeshi Jerry Rawlings alifanya Mapinduzi ya Serikali mara Mbili ili kukomesha uanzishwaji wa Utawala wa Kidikteta na usimikaji wa Katiba mbaya ya Kidikteta kwenye nchi hiyo ya Ghana. Jerry Rawlings aliamua kuwa Rais wa nchi hiyo ya Ghana ili kuonyesha Uongozi Bora wa Kidemokrasia kwa mfano hai ili Watu wengine waliopo nchini humo waweze kuiga Utawala wake Kama mfano mzuri wa Uongozi wa Kidemokrasia unaozingatia Sheria kwenye nchi hiyo.

Fanya utafiti wako vizuri kabla ya kutoa maoni yako humu mtandaoni.
Ahahahahaha!!!!
 
Kwenye uchaguzi wa 2014 ambao chadema ilishinda 95% huko jimboni kwa lisu tume ya uchaguzi ilikuwa ya nani, ya mwenyekiti (wa wakati huo) Mbowe?
Shughulisha ubongo wako!
Ninyi wahuni Mwaka 2025 hakuna uchafuzi Tutafanya juu chini usifanyike.
 
Mbona anajichanganya? Kama mwaka 2014 huko jimboni kwake chadema ilishinda 95% ya vijiji vyote kwa kutumia katiba na sheria hizi hizi, basi maana yake ni kuwa uwezekano wa kushinda upo.
Amwage sera za chama, aache malalamiko na porojo.
Ina maana huelewi mantiki ya mfano huo ktk kuchagiza kaulimbiu ya No Reforms, No Election..?

Wewe si unakumbuka kauli ya Hayati Mwl Julius K. Nyerere aliyoitoa miaka zaidi ya 40 iliyopita akiwa Rais wa nchi hii kusema kuwa "kwa katiba hii ya Tanzania ya mwaka 1977 angeweza kuwa dikteta na hakuna wa kumzuia?"

Sasa wenzio CCM walipoona kuwa pamoja na kila aina ya vikwazo walivyowawekea wapinzani wao waliweza kupata ushindi huo, basi maamuzi yakawa ni katiba inaturuhusu kutumia maguvu na hawa wasipate chochote...

Hicho ndicho kilichotokea, wameamua kuutumia ubovu wa katiba hii sawasawa...

CHADEMA wameshaliona hili. Na kwamba, CCM wako kwenye point of no return kuumiza wenzao na wananchi....

Ili kuwazuia, hii movement ya NO REFORMS, NO ELECTION imekuja ktk wakati mwafaka kabisa...
 
Ninyi wahuni Mwaka 2025 hakuna uchafuzi Tutafanya juu chini usifanyike.
Safi. Mwenyekiti amesema chama kinajiandaa kushika bunduki ili kipate ushindi. Jiweke tayari kukamata mtutu na kwenda frontline
 
Safi. Mwenyekiti amesema chama kinajiandaa kushika bunduki ili kipate ushindi. Jiweke tayari kukamata mtutu na kwenda frontline
Tutafanya juu chini usifanyike, unshindwa kuelewa kitu gani hapo?
 
Back
Top Bottom