Hotuba ya Tundu Lisu Leo imenifumbua macho kwanini Magufuli alitaka kumteua awe Mwanasheria Mkuu, Tundu Yuko Vizuri kichwani!

Hotuba ya Tundu Lisu Leo imenifumbua macho kwanini Magufuli alitaka kumteua awe Mwanasheria Mkuu, Tundu Yuko Vizuri kichwani!

Shujaa Magufuli 2020 akiwa Ikungi alikiri mbele ya Wazee wa Lisu kwamba alitamani sana kufanya kazi na kijana Wao lakini alikataa

Leo Tundu Lisu alikuwa anapangikia maneno kama wale Wanasiasa nguli Wabobezi wa Sheria Nchini Kenya Kalonzo Musyoka na Prof Kindiki

Mlale Unono Chadema 😄
Hivi wewe na huyu mnatofautiana na ushuzi na kenyesi. Kenyesi kina mda mrefu kunuka tu ila ushuzi ujulikani ni wanani kajamba makusudi
IMG_0612.jpeg
 
Tukidai kodi ya madini yetu tutashitakiwa MIGA ~~~Lisu.

Lisu yuko smart kwa manufaa ya wabeligiji wenzake
We mbwa kweli sasa hatukushitakiwa miga au unaongelea mnduku? Hayo mandege na mabilioni tunayo endelea kulipa ni pesa za kulipia mahali za kuona dada zako? Watanzania wengine mnaakiki kama wanyama pori kabisa.
 
Shujaa Magufuli 2020 akiwa Ikungi alikiri mbele ya Wazee wa Lisu kwamba alitamani sana kufanya kazi na kijana Wao lakini alikataa

Leo Tundu Lisu alikuwa anapangikia maneno kama wale Wanasiasa nguli Wabobezi wa Sheria Nchini Kenya Kalonzo Musyoka na Prof Kindiki

Mlale Unono Chadema 😄
Weka hints za hotuba
 
Back
Top Bottom