Hotuba ya Warioba Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 18 Machi 2014 na Hoja ya Muungano wa Serikali Tatu

muundo wa muungano uliopo sasa sio ulioachwa na waasisi. muundo umekuwa ukibadilishwa, tena wakati mwingine bila kufanya mabadiliko kwenye katiba. waasisi walituachia nchi moja na serikali 2. muundo wa sasa ni wa nchi 2 na serikali 2.

hauwezi kusema mafuta na gesi ya zanzibar ni ya ZNZ bali mafuta na gesi ya bara ni ya muungano

am listening online kupitia radio maria
 
Warioba sasa anavunjavunja madirisha, milango, vichochoro na vitanda hapa hahahaaa
 
Muungano waliotuachia waasisi sio huu wa sasa.

Wao walituachia muungano wa Nchi moja,serikali 2

Leo kuna muungano wa nchi 2 na serikali 2!

Warioba sema,sema usiogope sema,sisi vijana hatuutaki muungano.

Ukiwa na nchi 2 huwezi kukwepa serikali3
 
Mzee Judge Warioba anawasilisha vizuri sana.

Big Up Mzee

ila ukimaliza hii kazi sasa upumzike

Mchango wako unathaminika
 
Kijana kama bd hujamwelewa huyu mzee, bs hauko sawa kabisaaa,

Kwa kweli kijana nakuunga mkono huyu mheshimiwa kama hajamuelewa huyu mzee maana hata kama darasani ulikuwa empty mzee kakata mzizi wa fitina maana uwasilishaji wake umeenda shule kishenzi mi mwenyewe nimemkubali kabisa.Good presentation
 
Muundo wa serikali 3 haupunguzi uimara wa muungano-Warioba
 

Vipi mbona kimyaaa?? Halafu jamani kama kuna mtu amerekodi hotuba ya Jaji Warioba hapo bungeni tunaomba atuwekee hapa mtandaoni??? Nimejaribu kuingia website ya bunge la katiba wanatangaza Online lakini ina katakata ile mbaya. Tafadhalini jamani, maana tukisubiri TBC watuwekee kuna mambo yatakatwakatwa .
 
mafuta ya bara ya muungano mafuta ya Zanzibar ni yawazanzibar hahahahah wanachezo sana hawa madogo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…