Hotuba ya Warioba Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 18 Machi 2014 na Hoja ya Muungano wa Serikali Tatu

Niliwaambia watu 6 ni mke wa CDM na wapenda uhuru...ndio maana hawakuahangaika kuweka mtu zaidi ya kuwadanganya CCM wadhani kuwa 6 atakuja waokoa. NIkawaambia ndio spika pekee wa chama tawala alikuwa kibaraka wa upinzani na kutumia office yake kwa kazi za upinzani
 
Waasisi walituachia Nchi mbili na serikali moja-Warioba
MKUU SISI TUNAO SOMA mnachoandika mnatuchanganya. Mkuu Setuba Noel ameandika hivi......Kasema muungano wa serikali mbili waliotuachia waasisi sio huu wa sasa. waasisi walituachia nchi moja yenye serikali mbili, siyo nchi mbili zenye serikali mbili. Babu anaua kinoma.

SASA wewe umesema kinyume, so who is saying what na nani amemnukuu Warioba vizuri....Nchi moja serikali mbili ama nchi mbili serikali moja?
 
I would like to appreciate good presentation about Tanzania constitution process, it is strong and powerful presentation. It is carrying fully message and reality that spoken out by the Tanzanian when judge Warioba's committee met with them to collect their views.

Congrants to judge Warioba's committee to present what you heard from the citizen of Tanzania.
 
Naona wajumbe wanagawiwa nakala ya hotuba ya Jaji Joseph Sinde Warioba.
 
Hivi utakuwa na nchi bila kuwa na vyombo vya ulinzi na usalama? Warioba anazidi kujichanganya katika hili

we ndo huja mwelewa Warioba ndo mana unachukua point moja Warioba anaongea facts kwa vile ana wakilisha maoni ya wananch
 
Mungu yupo nasi....hatimaye 6 tena..anakuja kuweka uchochoro mkubwa sana wa kushughudia CCM ikipigwa mapigo makubwa sana ktk historia
 
Wakuu tujaribu kuwa Kama mzee warioba japo kiduchu...Haonyeshi UGAMBA au UKAMANDA......Yupo kama yeye, anasimamia ukweli na uhalisia....Hapa tunatafuta katiba ya Taifa letu, ndio biblia au quran itakayoongoza nchi yetu hivyo tuachilie mbali uchadema au uccm, tubaki katika hali ya kushindanisha hoja zilizo na fact ndani yake......
idumu JF
Idumu Amani
 
Warioba anatumia muda mwingi kutetea hisia zake juu ya serikali tatu. Anatumia maneno kama lazima, haiwezekani, ...etc
Huyu Mzee haaminiki hata chembe!

sio hisia zake ni maoni ya wananchi
 

Umeona hilo tu?????
 

amina amina amina
 
Mkuu, CCM wametulia tuliiii. Wanajua kuwa wapo wengi na kelele za Warioba hazitawazuia kufanya maamuzi yao waliyokubaliana ndaninya chama.
hawana ujanja...bunge litalipuka..wanamsubiri JK apige porojo ndizo wazitumie km excuse.......ila hadi hapa ni ngumu. Mzee anatema cheche haswa....kila sababu anazijibu vyema.
 
Na kila mtu afaidi mali zake ya muungano tuchangie tena kwa uangalifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…