Hotuba ya Warioba: Wabunge 9 wa Zanzibar watishia kujitoa CCM baada ya kikao cha usiku

Hotuba ya Warioba: Wabunge 9 wa Zanzibar watishia kujitoa CCM baada ya kikao cha usiku

kimbembe mtakiona wakianza kuchangia, hakyanani huenda suala la katiba mpya likafa!!!! miccm ilifikiri akianza Warioba kuwasilisha halafu JK atakuja kusiliba, thubutu yake sijui ataegemea wapi, labda aongelee uchaguzi wa chalinze
 
Hivi wakati Zanzibar inavunja muungano, serikali ya CCM ilikuwa haioni mpaka wanapoambiwa kuwa sasa kwa vile Muungano umefikia tamati ni lazima Tanganyika iendelee kivyake vyake ndipo wanaamka? Kweli tuna viongozi waliolala usingizi wa pono kabisa. Wengine tulikuwa tunatetea muungano kwa sababu za kihistoria tu, siyo kuwa tunafaidika lolote ndani yake hasa kwa vile huwa unawapendelea sana Wazenji, ila kwa vile sasa wametosheka, basi ni budi wafunge warudi kwao ili na sisi tuangalie mambo yetu mengine. Tanganyika tuna mambo mengi sana ya kushughulikia. Watu wa Tanganyika wote wanaofanyia shughuli zao Zenj itabidi warudi nyumbani na wale wa Zenji pia itabidi nao warudi kwao. Kama ambavyo hakuna Mtanganyika anayemiliki ardhi huko Zenj hatutegemei Mzenji yoyote kuwa anamilki ardhi ya Tanganyika. Kwa hiyo ni one way ticket tu kwa kila mhamiaji.
 
Hivi walikuwa wapi hadi madudu haya yakatokea?

Uvunjaji wa muungano wanauona Leo?

Leo Warioba wanamhukumu na kumlaumu kwa lipi?

SIMPLY, FOOLISHNESS

Zanzibar haikuvunja Katiba kwani hata hiyo katiba yenyewe uhalali wake una matata. Tuulizane ni nani hasa waliiandika hiyo Katiba na waraka wa muungano unasemaje kuhusu swala la kuandikwa katiba na jee masharti yalifuatwa?
 
Tundu Lisu aliwahi kuonya kuwa kuna hatari kubwa kwa mustakbari wa muungano baada ya mabadiliko ya katiba ya Zanzibar. Alichoambulia ni kejeli, dharau na kupuuzwa. Hakuchoka, aliendelea kutoa dukuduku lake hata nje ya bunge, wachache sana wenye akili tulimuelewa. Leo macho yamewatoka walewale.......... mithiri ya mtu aliye fumwa anajisaidia haja kubwa njiani.

mjongoro, hatari ni kuundwa kwa Tanganyika? Bado hamjaona haja ya kila mtu kuwa huru ndani ya muungano?

Unajuwa nashangazwa sana na wanaoilaumu Zanzibar kutaka kuwa huru kwani tuseme mlitaka iweje hasa muiweke Zanzibar kama moja ya mikoa yenu?
 
Hakuna ubaya kwa znz kufanya hayo kikatiba kwani kimsingi katiba ya jmt (1977) ni katiba batili, kwani msingi wa kisheria wa muungano ni mkataba wa muungano ambao hauna pingamizi sio tu kwa znz kuwa na katiba yake kusimamia mambo yasiyo ya muungano, lakini pia haiweki pingamizi kwa tanganyika kufanya hivyo; wabunge hawa wasiishie hapo tu bali waendelee kuelewa kwamba bila ya Tanganyika, zanzibar yenye mamlaka kamili haiwezekani;

Cc Nguruvi3, JokaKuu


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Wabunge wa ccm toka bara wengi hawajitambui hata kidogo, wanang'ang'ania kuilazimisha zanzibar ikubali mfumo wa serikali mbili ambao haukubaliki huko kwao! Hongereni wawakilishi wa zanzibar kwa kutetea maslahi ya nchi yenu ya zanzibar!
 
Cha kuudhi zaidi na kushangaza ni kuwa watu walikuwa wanashabikia taarifa ya Warioba na Warioba mwenyewe na Rais JK mwenyewe wanazungumza kana kwamba kulikuwa na vyama vingine vikitawala hii nchi katika miaka hii hamsini!!! Watu wa chama kile kile na wanachaguana wenyewe na wanaongoza serikali zao wenyewe halafu wanajifanya hawajui nini kimetokea! Warioba amezungumza kana kwamba yeye siyo mwana CCM au hakuwahi kuwa kwenye hizi serikali!!! Hivi alisema yeye alikuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Pili wa Rais lini? grrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
 
hapa ni hesabu ndogo tuu .Zanzibar inatambulika kama nchi na wanakila kitu chao katiba yao bunge lao raisi wao bendera yao n.k
sasa huku upande wa pili nikinyume tena kizungumkuti kweli kweli na hata hatueleweki Tanganyika no katiba no bendera no raisi no bunge Bali kuna kudandia tu vitu vya muungano jamhuri ya muungano.
Tanganyika imefia wapi jamani??? hapa wakulaumiwa ni aliye lianzisha kama ni kuuvunja muungano basi Zanzibar ndio kinala tena wakiungwa mkono na viongozi waliopitisha sheria ya kuitambua Zanzibar kikatiba kua ni nchi why Leo hiii wanashikana mashati na kulalama ya kuwa msimamo wao ni serikali 2 na sio 3?
soon na watanganyika nasi tutadai haki yakutambulika kisheria na kikatiba ya kuwa ni nchi na inabidi hapo twende sawa kama Zanzibar .

hapo sasa ndio muundo wa serikali 3 utakapo pita bila kubwabwaja na kupingwa na mtu yeyote.

nakama watakomaa nakutoitambua Tanganyika basi kusiwepo na takataka yoyote inayoitwa jamhuri ya muungano?? na wao ndio watakuwa wameua muungano rasmi. kama no Tanganyika why ?? muungano ? utatoka wapi Zanzibar itakuwa imeungana na nani?? mpaka jamhuri ya muungano itambulike??

au ni hili jina la Tanganyika ndio linawachefua?? basi tutumie Tanzania bara kama nyie mnavyopenda ??

kwahili ccm hata mcheze vipi hamuwezi kukwepa aidha muungano ufe rasmi au mkubali kufufuka kwa Tanganyika na uwepo WA 3 serikali.

Tanganyika ilibadilishwa jina kuitwa Tanzania. Muungano kwa mujibu wa makabrasha ulikua ukiitwa muungano ww jamhuri ya watu wa zanzibar na Tanganyika.
Hakuna mahali palipokubaliwa kuuita tanzania. Hivo tanganyika ndio tanzania
 
ma ccm znz wanatumia vizuri falfasa ya Kikwete akili ya kuambiwa changanya na ya kwako, sasa wa huku bara inaonekana ni maburula, kama Gombe, Prof Tib, Nepi, Kalenda aka February, anaye dai solution sio kuongeza mke, bila kuelewa ndoa ni makubaliano ya watu wawili na si kubakana, asilete ndoa za enzi zile ambazo mke hana usemi
 
hii mibunge ya ccm kutoka tanganyika inatia aibu sana ! Badala ya kupigania nchi yao inahangaika na visiwa vidogooo!

Haaa haa haaaa. Kumbuka ule msemo wa Zumari ikipulizwa Zanzibar.......................................
 
hapa ni hesabu ndogo tuu .Zanzibar inatambulika kama nchi na wanakila kitu chao katiba yao bunge lao raisi wao bendera yao n.k
sasa huku upande wa pili nikinyume tena kizungumkuti kweli kweli na hata hatueleweki Tanganyika no katiba no bendera no raisi no bunge Bali kuna kudandia tu vitu vya muungano jamhuri ya muungano.
Tanganyika imefia wapi jamani??? hapa wakulaumiwa ni aliye lianzisha kama ni kuuvunja muungano basi Zanzibar ndio kinala tena wakiungwa mkono na viongozi waliopitisha sheria ya kuitambua Zanzibar kikatiba kua ni nchi why Leo hiii wanashikana mashati na kulalama ya kuwa msimamo wao ni serikali 2 na sio 3?
soon na watanganyika nasi tutadai haki yakutambulika kisheria na kikatiba ya kuwa ni nchi na inabidi hapo twende sawa kama Zanzibar .

hapo sasa ndio muundo wa serikali 3 utakapo pita bila kubwabwaja na kupingwa na mtu yeyote.

nakama watakomaa nakutoitambua Tanganyika basi kusiwepo na takataka yoyote inayoitwa jamhuri ya muungano?? na wao ndio watakuwa wameua muungano rasmi. kama no Tanganyika why ?? muungano ? utatoka wapi Zanzibar itakuwa imeungana na nani?? mpaka jamhuri ya muungano itambulike??

au ni hili jina la Tanganyika ndio linawachefua?? basi tutumie Tanzania bara kama nyie mnavyopenda ??

kwahili ccm hata mcheze vipi hamuwezi kukwepa aidha muungano ufe rasmi au mkubali kufufuka kwa Tanganyika na uwepo WA 3 serikali.

Wakulaumiwa ni Mtakatifu Kambarage Julius Nyerere ndie alieiua Tanganyika.
 
Hili haliwezekani...

Viongozi wa CCM hawataki tu kutumia akili. Hotoba ya Warioba imefafanua hili:

137. Wakati wa kukusanya maoni ya wananchi, Tume ilibaini kwamba haitakuwa rahisi kubadili Katiba ya Zanzibar kuifanya Zanzibar kuonekana kuwa sehemu ya Jamhuri ya Muungano badala ya kuwa na sura ya nchi. Mabadiliko ya aina hiyo yatahitaji kura ya maoni kama Katiba ya Zanzibar inavyoelekeza. Kwa tathmini ya Tume, baada ya kuwasikiliza wananchi wa Zanzibar, ni dhahiri kwamba uwezekano wa kufanya mabadiliko kwenye Katiba ya Zanzibar ili Zanzibar iwe sehemu ya nchi moja badala ya kuwa nchi, ni mdogo sana.

Kwa hiyo wabunge wa Zanzibar hawana mamlaka hata ya kubadilisha herufi moja kwenye katiba ya Zanzibar, isipokuwa kwa kura ya maoni. Full stop...
 
Sasa nimebadili msimamo. Naunga mkono kura ya wazi. Tuwajue kwa majina watakaotaka kubaka maamuzi ya watanzania...
 
Back
Top Bottom