Hotuba ya William Ruto inasikitisha! Yaonyesha ulevi na tamaa ya madaraka

Hotuba ya William Ruto inasikitisha! Yaonyesha ulevi na tamaa ya madaraka

jmushi1

Platinum Member
Joined
Nov 2, 2007
Posts
26,329
Reaction score
25,263
Wanajamvi, bado natafakari hotuba ya Ruto ambaye ameitoa hivi punde. Ninatizama live hivyo nitaweka hapa text ya hotuba.

Hatahivyo ni hotuba ya hovyo sana na anaonekana ku panic. Ameongea kama vile maandamano hayo ni ya wahuni tu na hivyo ameazimia kutumia nguvu zote za kimamlaka alizonazo kuyazima.

Akisema kuwa maandamano hayo yameandaliwa na wahalifu, jambo ambalo kwa maoni ya wengi siyo kweli!

Lakini pia kuna matukio ya kiuhalifu “looting”, ya kupora bidhaa kwenye maduka na kuiba TV nk, kuna ambao wanaamini kwamba hao wahalifu ni mapandikizi ya serikali ili kuweza kuchafua taswira ya maandamano hayo.

PIA SOMA
- News Alert: - Rais Ruto (kuhusu Maandamano): Ni uhaini! Tutawashughulikia
 
Wanajamvi, bado natafakari hotuba ya Ruto ambaye ameitoa hivi punde. Ninatizama live hivyo nitaweka hapa text ya hotuba.

Hatahivyo no hovyo sana na anaonekana ku panic. Ameongea kama vile maandamano hayo ni ya wahuni tu na hivyo ameazimia kutumia nguvu zote za kimamlaka alizonazo kuyazima.

Akisema kuwa maandamano hayo yameandaliwa na wahalifu, jambo ambalo kwa maoni ya wengi siyo kweli!
Tuliwaambia Rutto ni Magufuli aliyefia Dar akazikwa Chato na kufufukia Eldoret. Maana enzi za Jiwe walikuwa wanamshabikia sana
 
Wahalifu ni hawa wanaolala kwenye nyumba za square.
20240625_212828.jpg
 
Tuliwaambia Rutto ni Magufuli aliyezikwa Chato na kufufukia Eldoret. Maana enzi za Jiwe walikuwa wanamshabikia sana
Acha umavi Magufuli hafanani na Ruto hata kidogo itikadi ya magufuli ni tofauti kabisa na Ruto

Kwanza jamaa anasafili sana nje bila manufaa yoyote according to Wakenya

Niambie Toka Magufuli alikuwa Rais lini amesafili safili hovyo kama hawa viongozi wetu uchwala kila siku pipa kisingizio kwenda kutafuta pesa ambazo zinapigwa 10% na walio wachache

Hakika Africa tungepata Viongozi mfano wa Magufuli tungekuwa mbali , shida viongozi wa Africa wamejaa tamaa na uwoga kwa kuwaabudu wazungu na waarabu
 
Back
Top Bottom