Hotuba ya William Ruto inasikitisha! Yaonyesha ulevi na tamaa ya madaraka

Magufuli angesafiri kwa afya gani aliyokuwa nayo. Mnamsifia alikuwa hasafiri wakati mwenzenu alikuwa mgonjwa. Mtu alikuwa fitted kifuani na defibrillator mwaka 1992 nayo ilikuwa chakavu, angethubutu vipi ku hang 5 hours hewani? Magu was a walking carcass to be honest
 
Una akili sawa na huyo kwenye Avatar yako
Kwani Magufuli hajawahi kusafili??
 
Mama yako afisa mikopo . Mrs aviator . Amekopa Kama Luto . Tunaelekea huko huko kodi na tozo . Hayo ndo malengo


Kenya imefika hapo because of mikopo
 
Unaelewa ulichoandika?
 
Unamshabikia marehemu halafu hukui kama alikuwa maiti inayotembea. Ukiacha pacemaker alikuwa na HIV+ Diabetes+ Mental + Herpes Zoster. Ndiyo maana ilipokuja COVID-19 ikampitia kirahisi
Ona sasa Akili zako utakuwa na Tatizo mahali, kwani wewe ni mzima?? hapo ulipo una minyoo kibao tumboni mwako na mavi yamejaa kwenye puru yako
Hapa tunazungumzia uongozi wake ulio bora na sio ugonjwa wake
Sasa wewe ulivyo na akili fupi unaleta eti magonjwa,
Kila mtu anamwa wewe hata kama leo mzima ila kesho utaumwa na utakufa vilevile , nakushauri tafuta mtu akusaidie either akupeleke kwa mtaalamu wa magonjwa ya akili upate tiba usipuuze pls
 
Kwa hiyo mnataka Ruto awaangalie tu hao wahalifu waendelee kufanya ujangili wao? Ngoja kdf iingie mtaani watajua hawajui! Kabla Ruto hajaondoka madarakani atakuwa amewashikisha adabu!
 
Wee mwenyewe ni carcass kesho au keshokutwa tunakuzika
 
Unafanywa nini? Uongozi bora wa Jiwe wewe uliuona katika nini? katika maiti zilizokuwa zikiokotwa kwenye mifuko? Katika kuendesha genge la uhalifu la akina Sabaya la kubora fedha watu benki? Ubora wa uongozi wake uliuona katika kutowapandisha watumishi miaka sita???

Mwacheni Peacemaker alale kama Mungu alivyoamua kuwanusuru Watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…