Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,684
- 4,315
Sawa lakini ujue pia kadri miradi inavyokuwa mingi na ya gharama kubwa inanyonya zaidi na ndio maana ukaona hata ukusanyaji Kodi ulkua wa kulazimisha sana ili hyo miradi iende. Miradi yote tunaiitaji lakini haikuwa na ulazima wa kuanza kwa pamoja.Hapo mwanzo umeanza vizuri ila umemalizia vibaya
Bila kuweka miundombinu barabara, umeme, reli, maji, boats na vivuko uzalishaji utaendelea kudumaa, ajira hazitapatikana na mishahara itaendelea kuwa chini
Miradi itekelezwe na kukamilishwa
Sawa lakini ujue pia kadri miradi inavyokuwa mingi na ya gharama kubwa inanyonya zaidi na ndio maana ukaona hata ukusanyaji Kodi ulkua wa kulazimisha sana ili hyo miradi iende. Miradi yote tunaiitaji lakini haikuwa na ulazima wa kuanza kwa pamoja.
Mbona pamoja na ufisadi JK aliongeza kila mwaka?Mchungu kweli
Tuelewe tuu kwamba Kujenga daraja ni onetime cost ila kuongeza mishahara ni budget ya kila mwezi.
Hapohapo tukubali hawa watumishi wa umma wanaotakiwa kuongezwa mishahara wao wanato huduma zaidi kwa jamii na sio wazalishaji mali useme wameongeza uzalishaji kwa kiasi fulani sasa wanaweza kutumia ile nyongeza kujiongezea mishahara
Ni ngumu rais kupandisha mishahara itakayogharimu ongezeko la budget kwa makisio ya trilion 1.5 au 2 kila mwezi ilhali haioni hiyo pesa itakakotokea
Tuendelee kuchapa kazi na kufikia yale makusanyo yaliyoagizwa mishahara itapanda
Mbona pamoja na ufisadi JK aliongeza kila mwaka?
Kwanza lazma ujue tulishacheleshwa kutokana na mipango mibovu tokea hawamu ya kwanza kiasi kwamba tumekuja kuona kila mradi ni wamuhimu kwa kipindi hiki.Sasa kwa kuangalia nchi yetu na kuzingatia uhitaji wa kila mwananchi na kila sekta mradi upi ulitakiwa usubiri?