Hotuba za Wafanyakazi zimejaa malalamiko na makasiriko dhidi ya serikali, zimejaa uzuni na maumivu

Hapo mwanzo umeanza vizuri ila umemalizia vibaya

Bila kuweka miundombinu barabara, umeme, reli, maji, boats na vivuko uzalishaji utaendelea kudumaa, ajira hazitapatikana na mishahara itaendelea kuwa chini
Miradi itekelezwe na kukamilishwa
Sawa lakini ujue pia kadri miradi inavyokuwa mingi na ya gharama kubwa inanyonya zaidi na ndio maana ukaona hata ukusanyaji Kodi ulkua wa kulazimisha sana ili hyo miradi iende. Miradi yote tunaiitaji lakini haikuwa na ulazima wa kuanza kwa pamoja.
 
Sawa lakini ujue pia kadri miradi inavyokuwa mingi na ya gharama kubwa inanyonya zaidi na ndio maana ukaona hata ukusanyaji Kodi ulkua wa kulazimisha sana ili hyo miradi iende. Miradi yote tunaiitaji lakini haikuwa na ulazima wa kuanza kwa pamoja.

Sasa kwa kuangalia nchi yetu na kuzingatia uhitaji wa kila mwananchi na kila sekta mradi upi ulitakiwa usubiri?
 
Mbona pamoja na ufisadi JK aliongeza kila mwaka?
 
Mbona pamoja na ufisadi JK aliongeza kila mwaka?

Tutatue tatizo badala ya kuahirisha tatizo

Wewe Unataka Watu wapate mishahara tarehe 19 ya mwezi unaofata na hiyo pesa yenyewe ikopwe kwa wafanyabiashara wakubwa!?

Public sector wanatakiwa wakimbize majukumu yao ya kutoa huduma kwelikweli ili mapato yaongezeke tatizo likome!
 
Sasa kwa kuangalia nchi yetu na kuzingatia uhitaji wa kila mwananchi na kila sekta mradi upi ulitakiwa usubiri?
Kwanza lazma ujue tulishacheleshwa kutokana na mipango mibovu tokea hawamu ya kwanza kiasi kwamba tumekuja kuona kila mradi ni wamuhimu kwa kipindi hiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…