Hotuba za Waitara Bungeni zinafanana na mtu anayeaga Bunge, ila anataka kuacha legacy tu

Hotuba za Waitara Bungeni zinafanana na mtu anayeaga Bunge, ila anataka kuacha legacy tu

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Hotuba zake zinafanana na mtu mwenye msongo wa mawazo, ni kama anaona Kuna jitu linamfata, kama vile linamkimbiza, anasikia linapiga hatua nyuma yake, na akiangalia kushoto kulia, hana msaada aliozoea kuipata miaka michache iliyopita.

Hana koti la uwaziri, hana mkono wa chuma ambao ulikuwa unambeba na kumpa kura, akilala usingizi majinamizi yanakuja.

Nihitimishe tu, nadhani muda si mrefu mbunge anayekaa jirani na waitara ataomba kuhamishwa, namuamgalia kama anakereka hivi.

Screenshot_20230208-173232.jpg
 
Waitara ana hoja sana labda kosq lake kuhama upinzani na alipendezea sana upinzani.
 
Hotuba zake zinafanana na mtu mwenye msongo wa mawazo, ni kama anaona Kuna jitu linamfata, kama vile linamkimbiza, anasikia linapiga hatua nyuma yake, na akiangalia kushoto kulia, hana msaada aliozoea kuipata miaka michache iliyopita.

Hana koti la uwaziri, hana mkono wa chuma ambao ulikuwa unambeba na kumpa kura, akilala usingizi majinamizi yanakuja.

Nihitimishe tu, nadhani muda si mrefu mbunge anayekaa jirani na waitara ataomba kuhamishwa, namuamgalia kama anakereka hivi.

View attachment 2510563
Waitara ni chizi
 
Hotuba zake zinafanana na mtu mwenye msongo wa mawazo, ni kama anaona Kuna jitu linamfata, kama vile linamkimbiza, anasikia linapiga hatua nyuma yake, na akiangalia kushoto kulia, hana msaada aliozoea kuipata miaka michache iliyopita.

Hana koti la uwaziri, hana mkono wa chuma ambao ulikuwa unambeba na kumpa kura, akilala usingizi majinamizi yanakuja.

Nihitimishe tu, nadhani muda si mrefu mbunge anayekaa jirani na waitara ataomba kuhamishwa, namuamgalia kama anakereka hivi.

View attachment 2510563
Huyu mlevi career yake ya kisiasa imeishia hapa arudi anywe hadi anajikojolea
 
Back
Top Bottom