House girl au house boy ni mtumwa mamboleo, ni ukatili kuwa na mtumwa ndani

House girl au house boy ni mtumwa mamboleo, ni ukatili kuwa na mtumwa ndani

chawa wa mama

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
292
Reaction score
1,084
Waarabu waliwakusanya kwa kuwakamata waafrika na kuwauza Amerika na Ulaya., Biashara ile imeisha, tunaona sasa wamebadili mtindo wa utumwa, mnachukua watoto wa masikini vijijini na kuwafanyia kazi za ndani kwa ujira mdogo.

Ni ukatili tu, wengi wa hao watumwa wenu ambao mnawaita wadada wa kazi wanapitia magumu sana, wengi wao walikatiza ndoto zao za elimu kwa ajili ya umaskini, hawana namna, mnawafanyisha kazi kama punda, na wengine ni under 18.

Msiniambie habari za favour kuwa Kuna wanaosomeshwa hata kuishi nao vizuri kama ndugu, ni kweli ila ni wachache sana, na hata wakati wa utawala wa utumwa kuna watumwa walipewa favour kama hizo tu.

Najua utumwa huu hausemwi kwa kuwakamata ni sisi kwa sisi na tunaona sawa,.

Najua leo mapovu yatakuja hadi niloe, ruksa!!!!
 
Waarabu waliwakusanya kwa kuwakamata waafrika na kuwauza Amerika na Ulaya., Biashara ile imeisha, tunaona sasa wamebadili mtindo wa utumwa, mnachukua watoto wa maskini vijijini na kuwafanyia kazi za ndani kwa ujira mdogo.
MI_FIVE AGAIN!!!
 
mabek3 wengi skuiz wanalipwa laki na nusu kuendelea ila misosi,matibabu na malazi ni bure
 
Waarabu waliwakusanya kwa kuwakamata waafrika na kuwauza Amerika na Ulaya., Biashara ile imeisha, tunaona sasa wamebadili mtindo wa utumwa, mnachukua watoto wa maskini vijijini na kuwafanyia kazi za ndani kwa ujira mdogo.

Ni ukatili tu, wengi wa hao watumwa wenu ambao mnawaita wadada wa kazi wanapitia magumu sana, wengi wao walikatiza ndoto zao za elimu kwa ajili ya umaskini, hawana namna, mnawafanyisha kazi kama punda, na wengine ni under 18.

Msiniambie habari za favour kuwa Kuna wanaosomeshwa hata kuishi nao vizuri kama ndugu, ni kweli ila ni wachache sana, na hata wakati wa utawala wa utumwa kuna watumwa walipewa favour kama hizo tu.

Najua utumwa huu hausemwi kwa kuwakamata ni sisi kwa sisi na tunaona sawa,.

Najua leo mapovu yatakuja hadi niloe, ruksa!!!!
Wizara /Idara ya kazi na ajira watoke usingizini.
 
Bekitatu ni kazi tu kama kazi zingine.
Kikubwa ni waajiri wao wawe na utu na kuwalipa stahiki zao vizuri na kwa wakati.
pia na swala la umri lizingatiwe mtu unapochukua dada ama kaka wa kazi.
Naunga mkono, awe ni mtu mwenye umri wa kuamua jambo sio ile ya kutumwa nenda kwa fulani ukasaidie kazi then mshahara anakula mzazi au mlezi
 
Naunga mkono, awe ni mtu mwenye umri wa kuamua jambo sio ile ya kutumwa nenda kwa fulani ukasaidie kazi then mshahara anakula mzazi au mlezi
Yap,na utu pia,isiwe kwa sababu ni mdada wa kazi basi afanyishwe kazi kama punda,au asisaidiwe kazi za ndani hata maramoja kisa unampa chakula na mshahara.

Binti mdogo wa kazi anapewa koleo na sururu achimbe shimo la taka,kweli kuna mambo mengine wanafanyiwa sio ya kiutu.
 
,
FB_IMG_16062253311510236.jpg
 
Bekitatu ni kazi tu kama kazi zingine.
Kikubwa ni waajiri wao wawe na utu na kuwalipa stahiki zao vizuri na kwa wakati.
pia na swala la umri lizingatiwe mtu unapochukua dada ama kaka wa kazi.
Hawa ni vipoozeo kwa mama na baba wenye nyumba
 
Yap,na utu pia,isiwe kwa sababu ni mdada wa kazi basi afanyishwe kazi kama punda,au asisaidiwe kazi za ndani hata maramoja kisa unampa chakula na mshahara.

Binti mdogo wa kazi anapewa koleo na sururu achimbe shimo la taka,kweli kuna mambo mengine wanafanyiwa sio ya kiutu.
Kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom