House girl kanifichia siri, sijui nimpe zawadi gani?

House girl kanifichia siri, sijui nimpe zawadi gani?

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Kwema wakubwa?

Wife alisafiri kama week hivi imepita..home akaniacha mimi na dada wa kazi. Sasa me toka juzi nilikuwa silali home, nilikuwa nalala kwa mchepuko wangu flani hivi hapa mtaani. Nilikuwa narudi home asubuhi, so kumbe nahisi wife ni kama alikuwa kaweka mtego.

Leo karudi asubuhi ghafla, hakunikuta home, kumuuliza house girl nilipo, akajibiwa kuwa nimeenda church kumbe toka jana usiku niko zangu kwa mchepuko, asee nimerudi nikamkuta wife yuko bafuni, tukasalimiana akaniuliza habari za church nami nikazuga nilikuwa church kweli.

Hapa nafikiria kumtafutia huyu house girl kazawadi kazuri kwa kuniepusha na ule msala.

1626074658333.png

 
Bora waif wako anamwacha haus gel uyu wangu hata akienda kwao sku mbil anam beba na hous grl ua na mind sana sema nakaza kiume tu
Kinga ni Bora kuliko tiba [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mke ndio kaamua kukuvungia tu ili usimuulize mengi ya alikotoka, utumie muda mwingi kutafuta namna ya kumuaminisha zaidi ulikua huendi kwa mchepuko[emoji23][emoji23]
 
Kwema wakubwa?
Wife alisafir kama week hivi imepita..home akaniacha mimi na dada wa kazi.
Sasa me toka juzi nilikuwa silali home,nilikuwa nalala kwa mchepuko wangu flani hivi hapa mtaani.nilikuwa narudi home asubuhi, so kumbe nahisi wife ni kama alikuwa kaweka mtego, Leo karudi asubuhi ghafla, hakunikuta home.kumuuliza house girl nilipo,akajibiwa kuwa nimeenda church kumbe toka jana usiku niko zangu kwa mchepuko.asee nimerudi nikamkuta wife yuko bafuni ,tukasalimiana akaniuliza habari za church nami nikazuga nilikuwa church kweli.hapa nafikiria kumtafutia Huyu house girl kazawadi kazuri kwa kuniepusha na ule msala.
Mpandishe daraja...hakuna zawadi nyingine itamfaa kuzidi hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom