cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Heaven Sent mommy mlezi njoo huku utoe neno. [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ina-prove kweli walio oa wana ulinzi thabiti.Imagine sasa mke kasafiri kidogo tuu ni kama ameacha goli tupu.Kwema wakubwa?
Wife alisafiri kama week hivi imepita..home akaniacha mimi na dada wa kazi. Sasa me toka juzi nilikuwa silali home, nilikuwa nalala kwa mchepuko wangu flani hivi hapa mtaani. Nilikuwa narudi home asubuhi, so kumbe nahisi wife ni kama alikuwa kaweka mtego.
Anakupenda na anaokoa ndoa yake, hata mimi huwa akisafiri huwa namuomba ambebe tu binti wa kazi. manake pombe zina balaa lake na zenyewe.Bora waif wako anamwacha hause gel uyu wangu hata akienda kwao sku mbil anam beba na hous grl ua na mind sana sema nakaza kiume tu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Bora waif wako anamwacha hause gel uyu wangu hata akienda kwao sku mbil anam beba na hous grl ua na mind sana sema nakaza kiume tu
😂😂😂Bora waif wako anamwacha hause gel uyu wangu hata akienda kwao sku mbil anam beba na hous grl ua na mind sana sema nakaza kiume tu
Aiseee Semeni yote ila nyumbani kwetu ndo walikua wanaongoza kuleta maids wabovu walikua wanakuja wabaya mpaka nkahisi sio watanzania wale maids sijui walikua wanawatoa wapii unatoka zako shule likizo unasema labda ntakuta mwenye afadhal unakuta wote watoto wa remi ongala