House girl kanifichia siri, sijui nimpe zawadi gani?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si ajabu hata safari hakwenda alikuwa kwa X mchepuko wake wakila raha zao. [emoji12][emoji12]
Kabisa mkuu[emoji23][emoji23]
 
Reactions: BAK
Subiri mwisho wa mwezi beki tatu akitaka kupandishiwa mshahara alafu mshindwe ndio utajua hujui!!
 
Bora waif wako anamwacha haus gel uyu wangu hata akienda kwao sku mbil anam beba na hous grl ua na mind sana sema nakaza kiume tu
Mie wangu alikuja wa kawaida,kakaa hapa miezi 7,ameiva kinyama. Juzi kaaga anaenda kwao Dom atarudi,nashangaa mamaake kasema hatorudi tena anaolewa. Yaani imeniuma balaa. Namuuliza wife kama ana namba zake anasema hana,nilitaka nimuwahi aisee kabla hajaolewa. J5 naenda Dom,ningemdaka hukohuko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora waif wako anamwacha haus gel uyu wangu hata akienda kwao sku mbil anam beba na hous grl ua na mind sana sema nakaza kiume tu
Mi nilikosea nikaropoka kwa mama chanja , kuwa sara( house girl )siku hizi naona anapendeza ,
Nimesema hivo asubuhi , jion narudi sikumkuta , wife kamfukuza
 
Hehehehe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…