HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Hakuna ustaarabu hapoJamani huwezi ongea kiustarabu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna ustaarabu hapoJamani huwezi ongea kiustarabu tu
So mwenzako ache kazi kisa nani kazaliwaHakuna ustaarabu hapo
Kama huo Ugonjwa kaupata kwa Baba wa huyo Mtoto na huyo Baba nae 'atarudishwa kwao?'Mfanyie mwanao vipimo then umuondoshe huyo dada wakazi arudi kwao wala usione huruma
Asizae kama hawezi mtunza mtoto, hao ndo wanatuletea mishoga na michangudoaSo mwenzako ache kazi kisa nani kazaliwa
Fanya immediately, wasichana ukichanganya na hilo gonjwa ukichelewa kufanya maamuzi, usirud humu kuomba ushauri wa jinsi housegirl wangu alivyomuambukiza ukimwi mwanangu, naombeni ushauri.Naupokea ushauri wako naufanyia kazi
Kweli akili za wanaume kwanini usikae wewe nyumbaniAsizae kama hawezi mtunza mtoto, hao ndo wanatuletea mishoga na michangudoa
HujitambuiKweli akili za wanaume kwanini usikae wewe nyumbani
Hata wewe hujitambui upo miaka ya ujamaa eti.mama niwakukaa home na mijitoto yakoHujitambui
IgnoredHata wewe hujitambui upo miaka ya ujamaa eti.mama niwakukaa home na mijitoto yako
Unatupatia kinachostahili haswaaaIli kama mchawi vilipuke mapema nijue! Nishakutana na scenario hio sinahamuuuuu🙌🙌🙌!
I learnt from jirani yangu kule Moshono- Arusha;Amani iwe kwenu nyote. Nimegundua kuwa house girl wangu anae nilelea mtoto wangu mchanga anakunywa vidonge vya HIV kwa siri. Je hawezi kuwa amemwambukiza mwanangu? Kama jibu ni hapana, mwanangu atakuwa salama kweli au niachane naye msichana huyu? Naomba ushauri wenu.