Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusiwanyanyapae ila kama huna imani nae, mrejeshe tu kwao.
Ushauri mzuri nitazingatia kwa siku za usoni.Sikuhizi Nikileta housegel mpya bila kupoteza muda
1 .Lazima nimpeleke akapime
2. Lazima nimpeleke kanisani kwanza haya makanisa ya kilokole!
#Afya kwanza
Ilitokea hii miaka ya nyuma, waliteketea watoto kwa kufanyiwa kusudi.Kaa nae mbali chief maana sio salama kwa mwanao siku atakua anatumia na miswaki mnayotumia bila ya nyinyi kujua mtajikuta mnashare
Ndio Ivo Kaa makini maana hii pia imetokea kwa jamaa yng baada ya kugumdua kaathirika na anakua akitumia miswaki ya watoto wake piaIlitokea hii miaka ya nyuma, waliteketea watoto kwa kufanyiwa kusudi.
Achukue huu ushauri wako. Aachane na mambo ya wana harakatiMaslahi ya mtoto vs. Unyanyapaa.
Nadhani hapo ni wewe kupima, kwa kawaida mtoto hawezi kuambukizwa simply kwa kulelewa na mtu mwenye maambukizi. Ndio maana hata mama mwenye maambukizi anaweza kuzaa na kulea mtoto asiye na maambukizi. Lakini kuna elimu inayoambatana na namna ya mama kumkinga mtoto wake. Kama dada hana elimu yoyote basi anaweza kumwambukiza hata kwa bahati mbaya, ukizingatia mtoto mchanga ni rahisi kuambukizwa magonjwa.
Lakini kuna uwezekano pia wa dada kumwambukiza kwa makusudi mtoto, hii inategemea na nyie mnavyoishi naye hapo nyumbani. Tumeshaona akina dada wa kazi wakiwafanyia vitendo vya kikatili watoto, kwa hiyo sio ajabu akiamua kumwambukiza kwa makusudi kama njia ya kulipa kisasi kwenu.
Mwisho wa siku maamuzi ni yako. Nenda kampime mtoto. Kama yupo salama, basi tafakari, je dada wa kazi anaweza kumwambukiza kwa makusudi?? Je kuna mazingira ambayo mtoto anaweza kuambukizwa kwa bahati mbaya? Kama majibu ni hapana basi maisha yaendelee.
Kama mtoto tayari anamaambukizi jizuie usifanye maamuzi utakayojutia baadae.
Au ndo ilikuwaga hii habari, iliandikwaga magazetini zamani tu Ila ilisikitisha sana.Ndio Ivo Kaa makini maana hii pia imetokea kwa jamaa yng baada ya kugumdua kaathirika na anakua akitumia miswaki ya watoto wake pia
Thijuwi walaAu ndo ilikuwaga hii habari, iliandikwaga magazetini zamani tu Ila ilisikitisha sana.
Kanisa la kilokole kufanya nini?Sikuhizi Nikileta housegel mpya bila kupoteza muda
1 .Lazima nimpeleke akapime
2. Lazima nimpeleke kanisani kwanza haya makanisa ya kilokole!
#Afya kwanza
Ili kama mchawi vilipuke mapema nijue! Nishakutana na scenario hio sinahamuuuuu🙌🙌🙌!Kanisa la kilokole kufanya nini?
Mwambie umetambua, unathamini na kuheshimu uamzi wa kuzingatia matumizi ya ARV. Mpokee katika hiyo hali, mwongoze katika kumlea mwanao kwa usalama. Atakuheshimu sana.Amani iwe kwenu nyote. Nimegundua kuwa house girl wangu anae nilelea mtoto wangu mchanga anakunywa vidonge vya HIV kwa siri. Je hawezi kuwa amemwambukiza mwanangu? Kama jibu ni hapana, mwanangu atakuwa salama kweli au niachane naye msichana huyu? Naomba ushauri wenu.
Naupokea ushairi wako asanteMwambie umetambua, unathamini na kuheshimu uamzi wa kuzingatia matumizi ya ARV. Mpokee katika hiyo hali, mwongoze katika kumlea mwanao kwa usalama. Atakuheshimu sana.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Naupokea ushauri wako naufanyia kaziMuondoe hapo nyumbani kwako haraka lakini kidiplomasia, ukichelewa kuna siku shemeji ako, au mdogo wako au baba yako au ba mkwe wako atakuja kula tunda kimasikhara na kama sio wao kuna siku utamuuzi sana na atakuja kupunguzia hasira zake kwa mwanao, tena atamwambukiza kwa makusudi.
Kwa hili lazima aingilieKuingilia faragha ya mtu ni kosa kisheria
Jamani huwezi ongea kiustarabu tuWewe ni mpumbavu...
Yaani mtoto uzae wewe afu alelewe na mwanamke mwingine, si bora usingezaa tu.