Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitaka kusubiri ila daah kiroho kikawa hakitulii ukizingatia nilikua nishadownload ep 1.... Ila kusubiri ikamilike ni vema zaidiSeason Ikikamilika ndo ntaangaliaa kazi ya kusubiri episode moja mojaa siweziii
Noma SanaNimeianza leo.... Ni motrooooooooooo
Me mwenyewe nilitaka kusubiria iishe ndo niitazame Ila nimeshindwa[emoji1787]ntaenda nayo hivyohivyo mdogo mdogo mpk kielewekeNilitaka kusubiri ila daah kiroho kikawa hakitulii ukizingatia nilikua nishadownload ep 1.... Ila kusubiri ikamilike ni vema zaidi
oyaa mnazingua sanaa daah ngoja nidownload tu maana daah...mautamuu hayaNoma Sana
daah anyway ngoja niruke nayooo tuuuMe mwenyewe nilitaka kusubiria iishe ndo niitazame Ila nimeshindwa[emoji1787]ntaenda nayo hivyohivyo mdogo mdogo mpk kieleweke
Hahahaha ruka nayo brodaah anyway ngoja niruke nayooo tuuu
Inamana ni mwendelezo wa game of thrones?Jus Finished watching Episode 1
My Rate ni 9/10.
Bloodier, crazier, violent,brutal, cinematography is top notch,very well written.
#Nospoiler
Hii series itaipiku GOT.
Mimi hivyo hivyo,paka iishe ndo nitulie nile burudani.Daah..kuangalia vipande na kusubiri kingine huwa siwezi nasubiri mpaka mzigo wa season1 uishe wote ndio niukalie vizri kucheki.
#MaendeleoHayanaChama
[emoji3][emoji3][emoji3]ukishakuws nayo,huwezi tena kusubiri...hapa me sina ila mnanitamanisha balaa.Nilitaka kusubiri ila daah kiroho kikawa hakitulii ukizingatia nilikua nishadownload ep 1.... Ila kusubiri ikamilike ni vema zaidi
😀 😀 😀ukiweza kusubirii niite mbwaaaMimi hivyo hivyo,paka iishe ndo nitulie nile burudani.
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji2]tena inavyosifiwa hivi ,ni ngumu sana😀 😀 😀ukiweza kusubirii niite mbwaaa
yani hapa nishakuwa mtumwa sasa wa kusubiriiii[emoji2][emoji2][emoji2]tena inavyosifiwa hivi ,ni ngumu sana
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Nakumbuka game of thrones ilinitesa sana nilikuwa siikosiyani hapa nishakuwa mtumwa sasa wa kusubiriiii
Sidhani kama itakosa hizo mamboKusiwe na contents za homosexuals maana season hizi za mamtoni zinataka kunishida aseee minyanduano ya kwenye tope imezidi.
kama ni hivo inipitie mbali siwezi kuipenda maana watoto nilionao kila nachotizama na wenyewe wanataka kuangalia. Napenda films za mambele ila mambo ya homosexuals yananikera sana kwa kweli.
Hapana! Ni prequal.