Mkuu na King's daughter msisahau pia kuna upande wa pili ambapo akinamama hupenda kulipa kisasi. Anamkomoa mumewe kwa kuwa aidha amesikia au amehakikisha kuwa mumewe anakula nje, yeye anamkomoa kwa kumpatia houseboyπ π kweli mkuu ila dawa ni kujilinda na kuwa makini mtu asifike huko hasa ka anamtu wake. but exception zipo ila sipenddi zitetea
Hana msimamo huyo . Ni tabia yake. Tabia ni kama ngozi tu. Mwanamke anayejitambua na mcha Mungu hawez fanya uchafu huo tena nyumbani kwake kwenye kitanda chake na mmeweMtoto wa Mfalme Helode, kumbuka uhanga ni janga kubwa sana. Ukiwa na uhanga hata mbuzi unaweza kumpanda. Tumsamehe tu ila tujifunze kujaribu kujikontroll tukipandwa na uhanga
hilo sawa ila unadhani hapo panaweza kuwa na ndoa ka mtu atakuwa wa visasiii, kama kunamgogoro uliopo ndani ya ndoa na hujapatiwa ufumbuzi unaweza leta haya yote but hata kwetu hatupaswi kuishi hivyoMkuu na King's daughter msisahau pia kuna upande wa pili ambapo akinamama hupenda kulipa kisasi. Anamkomoa mumewe kwa kuwa aidha amesikia au amehakikisha kuwa mumewe anakula nje, yeye anamkomoa kwa kumpatia houseboy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mshahara umlipe na mke ajisevie! Kinachofuata ni kujimilikisha nyumba kabisa...
roselina john wewee...Alafu vi houseboy vitamu
'Based on a true story' haitakuwa kikwazo cha humo ndani kuwa na uhondo wa uchawi kutoka sayari nyingine. Bwana nyumba lazima atageuza awe paka wa nyumba kwa miaka ishirini. Expiry date ya uchawi ikiwadia anarudi kwenye hali yake ya zamani. Hamna cha mvi, kuzeeka wala nini. [emoji1]π΅π±Duh,nimejikuta mwili wote unanisisimka...πππHaha... Itaandikwa "Based on true story"...
Ikifika wakati wa expire date inaanza na maandishi "20 Years Later" lakini mzee mwenye nyumba hana mvi, seti ya makochi sebuleni bado ni ile ile na hata rangi ya nyumba bado ni ile ile... Hahaa π π π raha sana...'Based on a true story' haitakuwa kikwazo cha humo ndani kuwa na uhondo wa uchawi kutoka sayari nyingine. Bwana nyumba lazima atageuza awe paka wa nyumba. Expiry date ya uchawi ikiwadia anarudi kwenye hali yake ya zamani. Hamna cha mvi, kuzeeka wala nini.
Umeshavionja eehAlafu vi houseboy vitamu
Naomba usinitafuteUhanga kwa akinamama usiombe kusikia. Huoni hata hapa uhanga ukiwapanda akina Demiss katoto kazuri NAKWEDE n.k. wanavyoanzisha sredi zisizo na miguu wala kichwa za kiuhanga
Aha kweli yaani habari inajieleza ila bado unauliza ni wapi??Sad...... Hii imetokea wapi?
Sitakitafuta maana utanivunja kiuno bureNaomba usinitafute
Mshahara umlipe na mke ajisevie! Kinachofuata ni kujimilikisha nyumba kabisa...