Houseboy achomwa kisu na bosi wake baada ya kufumaniwa na mke

Mama anazaa mtoto anafanana na house boy lakini kitanda hakizai haramu. House girl akianza kutapika anapewa nauli arudi kwao.
Dah! Mkuu, hapo umewapiga wanaume mkuki; mimba za watoto wetu wanafukuzwa mara moja, mimba za houseboys tunazitunza na kulea watoto!! Mwe!
 
Hasira hasara!!! Yeye alitakiwa kufukuza huyo mke akaendelee na huyo houseboy siyo kufanya alichofanya. Aombe asife maana akifa inageuka na kuwa kesi ya mauaji!!! Guys be careful!!!
 
MUME ALIELIWA MKE ALISHAKOSEA KANUNI. SASA IMEMKOSTI,

HUWEZI KUKARIBISHA MWANAUME MAADABU NI MTU ALIEBALEGHE UMKARIBISHE KTK NYUMBA YAKO KISHA WEWE UONDOKE!!!!

WATOTO WATAPATA SHIDA, MUME NDIO AMESHACHAFUKA, MKE NAE AMESHACHAFUKA HATA HANA MAANA TENA KTK JAMII

TATIZO NI LA MUME KWANZA, KWA KOSA LAKE LA KUMKABIDHI MKEWE KWENYE MIKONO YA IBILISI, MAANA KUACHA NYUMA MKE NA MTU AMBAE SHERIA INAMRUHUSU KUOANA NAE NI KOSA KABISA KABISAA.


NA WENYE KULIWA NI WENGI, WENGINE WANAVUNGA NA WENGINE HAWAJAGUNDUA LAKINI ULAINI WA KUACHA WANAWAKE NA WAVULANA WA KAZI AU MAFUNDI MAJUMBANI HII NI TABIA WANAYO WATU WENGI. .... ZINDUKENIIII!!!!!!

BAADA YA MAKOSA HAYO YA HUYO KUME, NDIO TUJE SASA KWENYE MAKOSA YA HUYO BIBIE, KWA KUTENGENEZA MAZINGIRA YA KIPIGWA NA MTU TOFAUTI, THEN MWISHO TUJE KTK MAKOSA YA HUYO KIJANA MWIZI.


NI SOMO TOSHA KWA JAMII


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…