Nisome hapo juu wapi? Nataka nijue huyu hausiboi aliyejaribu bahati yake kwa mama mwenye nyumba hatima yake imekuwa nini? Baba mwenye nyumba kahusishwa? Amepokeaje habari hizo? Kijana bado ana meno yote 32?
Mmmhh ukisikia kukaba hadi penalt ndo huku. Baba mwenye nyumba kahusishwa hakukasirika alishukuru kufahamu ila alichouliza ilikuwaje mbona huwa hamko karibu nikaeleza ni story za mkewe nilipochangia ndo akachomekea. Kijana hajafanywa chochote sababu ni wa home kwao kwenye senene anapanga kumrudisha mwisho wa mwezi tukipata pesa maana pesa zote tumelipia watoto ada. Nadhani nimekujibu kama una swali don't sita to contact me.
Nna maswali mheshimiwa:
Baba alivoambiwa hakupaniki? Alimwita kijana wa watu? Kijana alivoambiwa na mzee habari hiyo alikuwa katika hali gani? Alivoambiwa kibarua kinaota majani, hakuomba msamaha? Kama aliomba kwanini hamkumsamehe? Haijaandikwa samehe saba mara sabini? Kwanini hamuajiri hausigeli, huyo mwingine naye akikutongoza, utamwambia mzee? Huyo mgeni amekuzidi umri? Huyo mkware alikuzidi umri? Una watoto wa kike? Ulishawauliza nao kama ameshawatongoza? Alikujibuje? Umeyaamini majibu yao? Kama wamekudanganya umejuaje? Uliwapeleka kwa daktari awapime ili kujihakikisha?.........
Pumba!!! K**** kazi ya kut****** shida iko wapi naona unataka nitukane sasa!! **** kweli wewe!!! Mijitu mingine sijui inatokaga wapi Mungu wangu!!!! Mungu msamehe hajui alitendalo!!!
Kaizer nimewaeleza Thread CLOSED lakini watu hawaelewi sijui shida nini???
Wewe si uanze jamani mpaka mie?? Mbona wanionea rafiki???
Hapo afikirie ampe jibu gani, kama la ndio ajitayarishe kama la hapana amwandae kisaikolojia hausi boi anaweza jilipua
:ban:
:A S-fire1:
:faint:Houseboy anaonewa bure
:kev:
Kama unataka test malavi ya houseboy mkubarie tu mbona Wababa wanawatakaga mahouse girl?
Nna maswali mheshimiwa:
Baba alivoambiwa hakupaniki? Alimwita kijana wa watu? Kijana alivoambiwa na mzee habari hiyo alikuwa katika hali gani? Alivoambiwa kibarua kinaota majani, hakuomba msamaha? Kama aliomba kwanini hamkumsamehe? Haijaandikwa samehe saba mara sabini? Kwanini hamuajiri hausigeli, huyo mwingine naye akikutongoza, utamwambia mzee? Huyo mgeni amekuzidi umri? Huyo mkware alikuzidi umri? Una watoto wa kike? Ulishawauliza nao kama ameshawatongoza? Alikujibuje? Umeyaamini majibu yao? Kama wamekudanganya umejuaje? Uliwapeleka kwa daktari awapime ili kujihakikisha?.........
Haus boi hawezi kosa heshima kuweza kumtongoza bosi wake ,huku ukiwa una hofu kumreport kwa mumeo an yeye kukuogopa . Inaonyesha wewe ndio chanzo cha kumfanya huyo HB wako kukutongoza, lazima unamuoneysha hali ya kumtamani naye akastukia, kumbuka hayo macho yako yanapo mchungulia kila wakati aakiwa ame vua shati ukitamani misuli iliyo shiba kwa shuruba za kazi nzito ( haitaji gym) ,huku ukitafakari jinsi unavyo kosa raha ukiw ana mumeo ambaye ana manyama uzembe na kitambi cha kufa mtu. kama wewe sio mama wa maadili, basi usijitese mpe tuu, unaweza ukawa umefanikisha matakwa yako yakupewa ma raha ulio kuwa una ya waza muda wote .
:ban:
:A S-fire1:
:faint:Houseboy anaonewa bure
:kev:
kwani houseboy si mtu? Yote uliyosema ni maneno yako tungependa kupata upande wa pili wa houseboy.