Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,080
- 4,273
Halafu unajua nini AD, ogopa hao wadada waliomaliza Kidato cha 7! Ni wakali kuliko unavyoweza kuamini. Nawafahamu washikaji ambao wamepelekeshwa hadi hawana hamu!
Mhhh, naona hapo Engineer Mkuu (Mungu) alifanya mazingaombwe ya kutisha!
Houseboy ana qualification zote za kuingia 6 x 6 na maza hausi