Houseboy

Houseboy

Status
Not open for further replies.
Big thanks! Mm mwnyewe mtaalam yan uko thawa kabtha hyu thukar itamuhuthu thiku co nyingi. Kwnza aje nmfanyie vpimo huenda tayar anayo!

Jamani kisukari kishindwe kwajina la yesu. Mi nimemind kwanini asilikimbize hilo li hausiboi lake lisije likamfamyia vibaya hata watoto wake.
 
Jamani kisukari kishindwe kwajina la yesu. Mi nimemind kwanini asilikimbize hilo li hausiboi lake lisije likamfamyia vibaya hata watoto wake.

Hapo inabidi awe makini umeongea ukweli aisee. Desidii uko wapi utuhabarishe kama ushamtimua huyo houseboy wkao
 
Ukweli ndo hivyo mama hausi alijisahau mipaka yake na hausi boi ndo maana akaamua kurusha ndoano

Jamani nyie mbona mnakuwa hivyo fidel kwani lazima ajisahau inawezekana kapenda ngoma kaingia mkenge
 
Ukweli ndo hivyo mama hausi alijisahau mipaka yake na hausi boi ndo maana akaamua kurusha ndoano

Kutongozwa kupo pale pale tu na kutongoza kupo pale pale maana houseboy nae binadamu lakini?? Bosi kitu gani bwana??? Mbona wa maofisini hamuwasemi mnaotembea nao?? sijui secretary, muhasibu msaidizi nk
 
Jamani nyie mbona mnakuwa hivyo fidel kwani lazima ajisahau inawezekana kapenda ngoma kaingia mkenge

Ndo maana alijijengea ukaribu na hausi boi akaamua kurusha ndoano na vile vile inaonyesha alikuwa anambania mpaka pua
 
Kutongozwa kupo pale pale tu na kutongoza kupo pale pale maana houseboy nae binadamu lakini?? Bosi kitu gani bwana??? Mbona wa maofisini hamuwasemi mnaotembea nao?? sijui secretary, muhasibu msaidizi nk

Yeah mm sioni kibaya hapa kama mama hausi alitongozwa ndo maana nikasema atoe jibu moja ndio au hapana au amwambie nitakufikiria kumpa matumaini aendelee kusubili au sio? Na hao wa maofcn inategemea na ukaribu kama mtu yupo serious huwezi rusha ndoano
 
Yeah mm sioni kibaya hapa kama mama hausi alitongozwa ndo maana nikasema atoe jibu moja ndio au hapana au amwambie nitakufikiria kumpa matumaini aendelee kusubili au sio? Na hao wa maofcn inategemea na ukaribu kama mtu yupo serious huwezi rusha ndoano

Usitake nikuchane live tulia hivyo hivyo!!!
 
Boss lazima uogopwe na uheshimiwe usicheke cheke ovyo na wafanya kazi wako utakuja ombwa na vitu ambavyo hujawahi sikia

Kuna mtu mmoja aliwahi kunambia.

Eti mapenzi ni kama jeshini ukiingia unaambiwa degree yako, diploma yako na kila kitu chako ulichokisoma

unakiacha hapa getini hapa nikutii amri tena nitakayokupa hata darasa la kwanza sijakwenda.

Na unatii sasa mapenzi ndo yalivyo ukiingia chumbani kuna cha degree au shambaboy aka houseboy???

Wakati hamna hata nguo moja tuambizane ukweli aisee
 
Hapo inabidi awe makini umeongea ukweli aisee. Desidii uko wapi utuhabarishe kama ushamtimua huyo houseboy wkao

Naona huyu Desii kaenda kuazima winchi ya kumng'oa houseboy. Ngoja tusubiri mshindo nyuma!
 
Kuna mtu mmoja aliwahi kunambia.

Eti mapenzi ni kama jeshini ukiingia unaambiwa degree yako, diploma yako na kila kitu chako ulichokisoma

unakiacha hapa getini hapa nikutii amri tena nitakayokupa hata darasa la kwanza sijakwenda.

Na unatii sasa mapenzi ndo yalivyo ukiingia chumbani kuna cha degree au shambaboy aka houseboy???

Wakati hamna hata nguo moja tuambizane ukweli aisee


Hizo certificates na vithungu vya uongo na ukweli vingekuwa vina-apply basi kuna watu kama wale wadada wa Ohio, Jolly na mitaa mingine wangekufa njaa!

Kuna jamaa mmoja alikuwa na PhD akakumbana na dada kutoka Matombo, Morogoro, nasikia alikula hadi pesa ya ofisi wakaishia kuuza nyumba yake! Na dada mwenyewe nasikia hadi form 7 hakumaliza!
 
Naona huyu Desii kaenda kuazima winchi ya kumng'oa houseboy. Ngoja tusubiri mshindo nyuma!

Babu eti kama mama hausi kajilegeza kwa hausi boi na akatongoza amevunja kifungu kipi cha katiba?
 
Hizo certificates na vithungu vya uongo na ukweli vingekuwa vina-apply basi kuna watu kama wale wadada wa Ohio, Jolly na mitaa mingine wangekufa njaa!

Kuna jamaa mmoja alikuwa na PhD akakumbana na dada kutoka Matombo, Morogoro, nasikia alikula hadi pesa ya ofisi wakaishia kuuza nyumba yake! Na dada mwenyewe nasikia hadi form 7 hakumaliza!

Unafanya mchezo nini DC hapo hakuna cha degree wala PhD ni ngoma droo mkiwa no nguo kwa mwili Hiyo bluu ndo maana yake
 
Babu eti kama mama hausi kajilegeza kwa hausi boi na akatongoza amevunja kifungu kipi cha katiba?

Kifungu cha nidhamu kazini....Hujui kuwa ni marufuku kumchungulia chungulia boss wako (wa jinsia tofauti) hata akikufunulia bakuli?

Vijana inabidi tuwafundishe kuvaa miwani ya mbao ili waepuke upofu.

Hata hivyo kosa la bosi hadi sasa ni kujipa nafasi ili labda kuona kama anaweza kuitikia ombi la h/boy!
 
Unafanya mchezo nini DC hapo hakuna cha degree wala PhD ni ngoma droo mkiwa no nguo kwa mwili Hiyo bluu ndo maana yake

Halafu unajua nini AD, ogopa hao wadada waliomaliza Kidato cha 7! Ni wakali kuliko unavyoweza kuamini. Nawafahamu washikaji ambao wamepelekeshwa hadi hawana hamu!

Mhhh, naona hapo Engineer Mkuu (Mungu) alifanya mazingaombwe ya kutisha!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom