Unajua nini wanawake wazuri hawaishi utamuacha huyo mkeo utamchukua beki tatu atatokea mwanamke mzuri kushinda huyo beki tatu cha msingi we ridhika na huyo mkeo la sivyo utaacha wanawake wote na bado usiridhike.
Tatizo yawezekana kisha mtongoza na yawezekana wanakutana kimwili kisirisiri sasa anatafuta njia ya KUTOKA NAE 'OUT'.Unajua nini wanawake wazuri hawaishi utamuacha huyo mkeo utamchukua beki tatu atatokea mwanamke mzuri kushinda huyo beki tatu cha msingi we ridhika na huyo mkeo la sivyo utaacha wanawake wote na bado usiridhike.
.....ili kuepusha shari na mkeo,, huyo house girl nipe mie
tena huyo beki tatu unaweza ukaanza kumzodoa eti hajenda shule, wakija washikaji zako hata wakiomba maji ya kunywa hawezi kuwapa.
kwani huyo waifu wako ulishawahi kaa na zungumza naye juu ya wajibu wake kwako, na kipi ungependelea akufanyie lakini hupati kwake?
Huyo beki tatu ameshausoma mchezo hapo house (sio home) kwako, ukijichangaya tu, she can be the worst thing you have ever thought
Nimepata ushauri na nashukuru kwa wale wote walionipa ushauri wa kuachana na ex-girlfriend ambaye kwa sasa ni mke wa mtu (japo bado kinaniuma anavyoteswa).
Lakini tatizo linalobaki ni kwamba mke wangu bado yupo. Kwa vile yeye anawahi kurudi job, nikifika wala hastuki - hanipokei mizigo! Nguo hajawahi kunifulia na kila kitu kama kunyoosha nguo zangu (na zake), kupika, kung'arisha viatu vyangu anafanya housegirl ambaye tumekaa nae miaka karibu 4.
Watu wengi wakimuona huwa wanamheshimu kuliko mke wangu kutokana na upole na urembo wake. Mke wangu ni kinara wa kuchonga maneno! Kila siku ni ugomvi tu na hana shukrani. Huyu HG, ni mzuri kuliko mke wangu. Nimemlea na anapendeza mtoto wa watu akipita anaita vilivyo. Naona ni vema mke wangu ampishe huyu housegirl.
Naomba ushauri nifanyeje jamani maana housegirl anavyong'ara itaniuma akienda kwa mtu mwingine.
ndo maana nataka HG anitibu
Wazuri hawaishi wewe, kila siku wanaibuka wapya. hata mkeo atakuwa anakutana na gentlemen za uhakika ila amekukubali wewe. Tulizana.
mwache ale bata. Unamwonea wivu?
Jamani mbinu zote nimetumia imeshindikana. Sasa huyu HG ndo ananifaa kabisa. Msemo unasema, kimfaacho mtu nichake pia.
Kwa bahati nzuri, sina houseboy kabisa. In fact i do respect my wife and i used to love her....but love slowly diminished after she became uncooperative! How do you live with a woman who doesnt know her responsibilities? Hebu fikiria ungekuwa wewe mwenzangu.
My friend, this marriage is incurable! I have been in hell with this for 4 years!
she is also in a hell unadhani kukaa na mtu akugeuze slave ni kazi rahisi, wewe unampa mapenzi gani? anakuvumilia tu mpaka hapo ulifundishwa kwenu upokee tu, nenda kaoe hg alinajukumu la kutunza nyumba tu