Housegirl ana mvuto zaidi ya mke wangu...

Housegirl ana mvuto zaidi ya mke wangu...

kwahiyo na wewe ujisevie shamba boy?
Mume mwenye hekima hawezi akafanya hayo ukiona mwanaume anashangilia hayo na kufirahia ujue mumeo anapepo la mahg
 
Naona wiki ya mahausi geloz hii, kimkoa sijui inaadhimishwa wapi, nkaandamane mie....
 
kabla haijahalalishwa mshahalalisha sasa unatakaje ?
 
sisi kina Zamaulid tunaruhusiwa kuoa hadi wanne, ila wao hawaruhusiwi!hivyo hg ni mwanzo wa safari ya kukamilisha idadi!
 
Last edited by a moderator:
Mwanamke ni aibu sana kutembea na dereva wa familia au house boy kwani fedheha sana.Mwanamke aliumbwa kwa ajili ya mwanamme na ndiyo maana Mfalme Selemani alikuwa na wake 1000, ndio maana Sarah alimruhusu Ibrahim atembee na mjakazi wake (House girl wake).Suala kama hilo akifanya mwanamke ni aibu kubwa sana, Ulishawahi kusikia mwanamke ameolewa na wanaume wawili?Ilishatokea kenya tu tena waoaji walionekana kama nia matahira.Ndugu zetu waislamu wao wanaruhusiwa kuoa zaidi ya mmoja, Wakurya, wasukuma nao wanaruhusiwa kuoa zaidi ya mmoja.

Kama mwanamke hujitambui vyema si vibaya ukasaidiwa maana wanawake wengi wakishaolewa na kuzaa basi wanaona wamemaliza kila kitu.
 
Eeee endlea kukuesha saluni na kupaka rangi kucha, mwenzio ananitandikia kitanda huku
 
men men men men men men men men men men men men men men men men men men
:majani7: :majani7: :majani7:
 
Pengine mwanaume ndie sababu ya matatizo ya mkewe!!
Nakushauri umuache mkeo kisha oa hausgirl halafu ajiri hausigeli mwingine kisha,muoe na yeye mpaka utakaporidhika.
 
Heehe kwani dereva wa gari ni mwanamke mwenzie?
Mwanamke ni aibu sana kutembea na dereva wa familia au house boy kwani fedheha sana.Mwanamke aliumbwa kwa ajili ya mwanamme na ndiyo maana Mfalme Selemani alikuwa na wake 1000, ndio maana Sarah alimruhusu Ibrahim atembee na mjakazi wake (House girl wake).Suala kama hilo akifanya mwanamke ni aibu kubwa sana, Ulishawahi kusikia mwanamke ameolewa na wanaume wawili?Ilishatokea kenya tu tena waoaji walionekana kama nia matahira.Ndugu zetu waislamu wao wanaruhusiwa kuoa zaidi ya mmoja, Wakurya, wasukuma nao wanaruhusiwa kuoa zaidi ya mmoja.

Kama mwanamke hujitambui vyema si vibaya ukasaidiwa maana wanawake wengi wakishaolewa na kuzaa basi wanaona wamemaliza kila kitu.
 
Nimepata ushauri na nashukuru kwa wale wote walionipa ushauri wa kuachana na ex-girlfriend ambaye kwa sasa ni mke wa mtu (japo bado kinaniuma anavyoteswa).

Lakini tatizo linalobaki ni kwamba mke wangu bado yupo. Kwa vile yeye anawahi kurudi job, nikifika wala hastuki - hanipokei mizigo! Nguo hajawahi kunifulia na kila kitu kama kunyoosha nguo zangu (na zake), kupika, kung'arisha viatu vyangu anafanya housegirl ambaye tumekaa nae miaka karibu 4.

Watu wengi wakimuona huwa wanamheshimu kuliko mke wangu kutokana na upole na urembo wake. Mke wangu ni kinara wa kuchonga maneno! Kila siku ni ugomvi tu na hana shukrani. Huyu HG, ni mzuri kuliko mke wangu. Nimemlea na anapendeza mtoto wa watu akipita anaita vilivyo. Naona ni vema mke wangu ampishe huyu housegirl.

Naomba ushauri nifanyeje jamani maana housegirl anavyong'ara itaniuma akienda kwa mtu mwingine.

Sasa unangoja nini kumwacha mkeo, Fanya haraka tafadhali, Chukua HG, si ndo mzuri kushinda my wife wako. Baadae utakutana na changudoa mzuri kushinda HG sijui uta-apply principle yako ya kuoa kila mzuri anayekatiza machoni pako. PAMBAV
 
Kumbuka kuwa ukimwoa HG naye ataajiri House girl mwingine, ambaye pengine atakuwa mzuri kuliko huyo. Sasa kama wewe mtindo wako ni kunyatia house girls, utaoa wangapi?
 
Hawa mabeki tatu watamaliza waume za watu na kuvuruga ndoa
 
Back
Top Bottom