Housegirl ana mvuto zaidi ya mke wangu...

Housegirl ana mvuto zaidi ya mke wangu...

we mkaka lakini kaah, watu wanajifunza nini kwako bana

Wanajifunza kwamba mwanamke mwenye kibuli na asiejua wajibu wake kama mke muachilie mbali. Kama bahati nyingine zikitokea pale ambapo umepata shida zikimbilie haraka maana bahati haiji mara mbili.
 
Naunga mkono michango yote hapo juu ni mizuri mno, kama ukiizingatia utaokoa ndoa yako na future yako.

Nikichangia mawazo yangu:
Hivi huyo mke wako ulimuoa kwa ndoa halali au ulimchukua tu na kuishi naye kinyumba baadaye ukambatiza jina la mkeo?
Kama ni wa ndoa halali bila shaka kuna mshenga, msimamizi wa ndoa yenu, kiongozi wenu wa dini aliyewalea na kuwafungisha ndoa. Je wote hao umewashirikisha na ku-prove wameshindwa? Kumbuka kama mwanaume huwezi kuokoa ndoa yako kwa kukimbia matatizo, kaa chini jipange namna ya kuyakabili na kuyashinda.

Huko unakotaka kwenda hupajui ila unapotaka kuondoka unapajua, angalia usije juta.
 
Naunga mkono michango yote hapo juu ni mizuri mno, kama ukiizingatia utaokoa ndoa yako na future yako.

Nikichangia mawazo yangu:
Hivi huyo mke wako ulimuoa kwa ndoa halali au ulimchukua tu na kuishi naye kinyumba baadaye ukambatiza jina la mkeo?
Kama ni wa ndoa halali bila shaka kuna mshenga, msimamizi wa ndoa yenu, kiongozi wenu wa dini aliyewalea na kuwafungisha ndoa. Je wote hao umewashirikisha na ku-prove wameshindwa? Kumbuka kama mwanaume huwezi kuokoa ndoa yako kwa kukimbia matatizo, kaa chini jipange namna ya kuyakabili na kuyashinda.

Huko unakotaka kwenda hupajui ila unapotaka kuondoka unapajua, angalia usije juta.

Pamoja na kwamba unaunga mkono hoja zote, ya kwangu hujaiunga mkono kabisa. kwa kifupi, nilianza na mimi mwenyewe kutoa lecture, akaja Mshenga, akaja mzee wa kanisa,akaja mwinjilisti. Marafiki zake ndo usiseme! Ungefanyaje hapo? Mke wangu huyu nimemnunulia gari nzuri, namwekea mafuta full tank! Sasa jamani Mungu akupe kidonda nzi wakufuate kila uendako?
 
we mkali...hahahahahahahahahahaha!!!!!!!!!!!!duh, shetani mweusi tena? hahahahahahah!!!!!!!!!!!!!!!

Baba V amekwenda mbali maana anajua hata rangi za shetani. Kila rangi anaijua ubaya wake!
 
Nakubaliana na wewe ila avator inakusaliti
avatar yangu hainisaliti chochote nipo kama huyo dada hapo kama unajua vizuri hiyo story ya huyo dada hapo utajua kuwa huyo dada anajua kupenda anajua kutetea vizuri jamii yake na kuilinda saa zote ila ni hatari sana kama ukimchokoza. na mimi nipo hivyohivyo.
 
Sasa si humtaki mkeo! Nipe namba yake basi! Sisi tunapenda wasiopendwa!

Nitakupa ila bahati nzuri namimi nimepata dawa hii ya kugandisha, nikikupa tutakutana Temeke Hospital. Je nikupe namba yake?

Mgandiko.jpg
 
Nimepata ushauri na nashukuru kwa wale wote walionipa ushauri wa kuachana na ex-girlfriend ambaye kwa sasa ni mke wa mtu (japo bado kinaniuma anavyoteswa).

Lakini tatizo linalobaki ni kwamba mke wangu bado yupo. Kwa vile yeye anawahi kurudi job, nikifika wala hastuki - hanipokei mizigo! Nguo hajawahi kunifulia na kila kitu kama kunyoosha nguo zangu (na zake), kupika, kung'arisha viatu vyangu anafanya housegirl ambaye tumekaa nae miaka karibu 4.

Watu wengi wakimuona huwa wanamheshimu kuliko mke wangu kutokana na upole na urembo wake. Mke wangu ni kinara wa kuchonga maneno! Kila siku ni ugomvi tu na hana shukrani. Huyu HG, ni mzuri kuliko mke wangu. Nimemlea na anapendeza mtoto wa watu akipita anaita vilivyo. Naona ni vema mke wangu ampishe huyu housegirl.

Naomba ushauri nifanyeje jamani maana housegirl anavyong'ara itaniuma akienda kwa mtu mwingine.


Ushauri tu ni kuwa achana na hizo ndoto za kuwa na house girl wako,7bu ukifanya hivyo utakuwa humtendei haki wife wako.Pia akilini mwako ondoa mawazo positive towards your house maid eti ana mvuto kuliko wife,yawezekana mkeo ni mzuri kuliko hata house girl sema labda kwa vile umeshamzoea sana saiv unamuona wa kawaida.Ikibidi house girl arudi kwao na ukae naye mbali.Uamuzi tunakuachia wewe mwenyewe lakini!!!!!
 
kaka inaonekanika HG KAKUFANYIA MAMBO KAKA TAYARII MANA SI NDIO ANAKUANDALIA KILA KITU HUYO NA SIYO AJABU KAKA UMESHAMPITIA SS UANATAKA KUHALALISHA KAKA.
HUYO NIPE MIYE KAIKA NIKUSAIDIYE MAJUKUMU KAKA MANA KUWA NA WAKE WAWILI NDANI YA NYUMBA MOJA KAKA NA WAKIJUANA KAKA NOMAAAAA KAKA
 
Ushauri tu ni kuwa achana na hizo ndoto za kuwa na house girl wako,7bu ukifanya hivyo utakuwa humtendei haki wife wako.Pia akilini mwako ondoa mawazo positive towards your house maid eti ana mvuto kuliko wife,yawezekana mkeo ni mzuri kuliko hata house girl sema labda kwa vile umeshamzoea sana saiv unamuona wa kawaida.Ikibidi house girl arudi kwao na ukae naye mbali.Uamuzi tunakuachia wewe mwenyewe lakini!!!!!

Niachane na HG? Sasa nani atanifulia nguo, au kunipokea mizigo nikitoka job maana mke wangu hafanyi hivyo vitu ambavyo mimi naona vinadumisha ndoa za watu. Nafurahi nikiona wenzetu unakuta wife anamkumbatia mme akiwa anarudi home ila kwangu haitokei hata mara moja.
 
kaka inaonekanika HG KAKUFANYIA MAMBO KAKA TAYARII MANA SI NDIO ANAKUANDALIA KILA KITU HUYO NA SIYO AJABU KAKA UMESHAMPITIA SS UANATAKA KUHALALISHA KAKA.
HUYO NIPE MIYE KAIKA NIKUSAIDIYE MAJUKUMU KAKA MANA KUWA NA WAKE WAWILI NDANI YA NYUMBA MOJA KAKA NA WAKIJUANA KAKA NOMAAAAA KAKA

Wewe mbona wako wengi? Tafuta hapo Magomeni
 
Back
Top Bottom