pointi sana. nimesoma nao mikoani boarding school fulani hivi. yaani kuongea kiswahili kilichonyooka na jinsi wanajitapa na ‘kwetu moro’ basi unaweza kudhani morogoro ni bora kuliko dar es salaam. ila wanafeli sana darasani vilevile.Vijan
Vijana wengi wavivu wajanjawajanja kwao CV kubwa ni kuishi dar kwa wajomba .
Naongezea hapo,pointi sana. nimesoma nao mikoani boarding school fulani hivi. yaani kuongea kiswahili kilichonyooka na jinsi wanajitapa na ‘kwetu moro’ basi unaweza kudhani morogoro ni bora kuliko dar es salaam. ila wanafeli sana darasani vilevile.
Duniani bado kuna watu wema. Nakumbuka Housegirl wa mh Rais Karume tulipanda basi toka Malawi. Miaka ya 2007/8. Nilimpigisha Sana story njiani mpaka akafurahi sana.
Tulipofika Msamvu usiku kabla stend mpya haijajengwa wakaja wahuni wengi including vibaka. Yule dada kwa kutambua hatari iliyokuwa inanikabili akaniambia twende nyumbani hapa siyo salama. Akakodi taxi tukaenda mpaka kwao maeneo ya soko la mitumba la Sabasaba.
Tulipofika hapo ikakonekana Mimi itakuwa ngumu kulala pale kwao na mbaya zaidi ilikuwa saa nane usiku na wahuni walikuwa wengi sana maeneo yale.
Yule dada akampa dreva tax hela na akamuambia anipeleke guest salama na nikipatwa na tatizo yeye dreva tax atawajibika na alichukua namba yake akahakikisha anaipiga inaita.
Nilipewa hela ya guest pia na yule dada. Dreva taxi akanipeleka guest moja nzuri karibu na soko kubwa mjini Morogoro. Kesho yake nikaendelea na safari ya kwenda Mwanza.
Naomba wewe dada kama ni memba humu tuwasiliane, ulinisaidia mnooo.
Tulikaa siti ya nyuma kabisa ya basi na Wamalawi. Na katika maongezi yetu tuliwafunika Mambo mengi kuanzia exposure mpaka lugha ya Kiingereza.
Mungu mbariki dada yule na familia ya mzee Karume.
Hili ndo tatizo la watanzania,Kuna MTU mmoja nae alipataga kituko kama chako,sema yeye ni kutoka kwa boss wake,ilikuwa hivi ,huyu jamaa alikuwa anafanya kazi sehemu kama janitor ,sasa kwenye ile nyumba akapatikana mpangaji Wa kizungu ni mdada,yule mzungu akatokea kuiva sana na yule janitor (kijana Wa Usafi) sasa yule kijana maskini akahisi yule mzungu amekolea kwake,akaja akaniomba ushauri kuwa boss wake inavyoonyesha amempenda ila anashindwa tu kumwambia, nikamwambia asubiri kwani wazungu kumpenda MTU kwao si ajabu na kama itakuwa kimapenzi atamwambia tu,jamaa akaniambia Mimi sielewi ndo maana namwambia hivyo akasema hadi soda wanapokezana then Mimi nasema asubiri!akaachana na Mimi akaenda kuomba ushauri kwa fundi mmoja hivi na yule Fundi nae sijui vipi lakini,akamwambia Huyo kakupenda wala haina shaka na wala haiitaji kuuliza,jamaa kutoka pale akaenda dukani akanunua jinzi la kike na card ya mapenzi akampelekea mzungu,mzungu akaipokea huku akishangaa sana , alipomaliza kuisoma akaanza kulia na kukimbia ndani,akampigia mwenye nyumba simu ili aje amuondoe yule kijana pale,alihofia anaweza bakwa,maana jamaa hana akili,utamtongaje anayekulipa mshahara huo ni uchizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijan
Vijana wengi wavivu wajanjawajanja kwao CV kubwa ni kuishi Dar kwa wajomba .
Jamiiforum imekuwa na mambo SKU hzSitamsahau yule dada nataka nimlipe fadhila ila pia alikuwa mzuri sana na hakujiskia alikuwa na HIPSI laini sana nenenene alikuwa Mzanzibar pia.
Huo mji una laana gani maana wizi haujaanza leo. Tangu miaka ya 70 ni wizi tu.
Sent from my iPhone using Tapatalk
Enzi za Hotel inaitwa Lupila...Huo mji una laana gani maana wizi haujaanza leo. Tangu miaka ya 70 ni wizi tu.
Sent from my iPhone using Tapatalk
Hapo sasa ushapotea..msaada na mapenzi..unajuaje labda kaolewa unataja hipsi zake?Sitamsahau yule dada nataka nimlipe fadhila ila pia alikuwa mzuri sana na hakujiskia alikuwa na HIPSI laini sana nenenene alikuwa Mzanzibar pia.
Sasa hivi wanaiba Tv flat wanapeleka dom naskia!...akijituma sana ni boda boda!
Sasa wewe bazazi huo ulaini wa hips zake uliujuaje?Sitamsahau yule dada nataka nimlipe fadhila ila pia alikuwa mzuri sana na hakujiskia alikuwa na HIPSI laini sana nenenene alikuwa Mzanzibar pia.
Vijan
Vijana wengi wavivu wajanjawajanja kwao CV kubwa ni kuishi Dar kwa wajomba .
Huo sio ujanja ni upumbavu. Mtu anaona gari la mil 12 anaenda kuuza mil 2. Ndio upopoma wenyewe huoWana akili za BSS, utapeli na ujanja wa kuishi mjini.
Huo sio ujanja ni upumbavu. Mtu anaona gari la mil 12 anaenda kuuza mil 2. Ndio upopoma wenyewe huo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hili ndo tatizo la watanzania,Kuna MTU mmoja nae alipataga kituko kama chako,sema yeye ni kutoka kwa boss wake,ilikuwa hivi ,huyu jamaa alikuwa anafanya kazi sehemu kama janitor ,sasa kwenye ile nyumba akapatikana mpangaji Wa kizungu ni mdada,yule mzungu akatokea kuiva sana na yule janitor (kijana Wa Usafi) sasa yule kijana maskini akahisi yule mzungu amekolea kwake,akaja akaniomba ushauri kuwa boss wake inavyoonyesha amempenda ila anashindwa tu kumwambia, nikamwambia asubiri kwani wazungu kumpenda MTU kwao si ajabu na kama itakuwa kimapenzi atamwambia tu,jamaa akaniambia Mimi sielewi ndo maana namwambia hivyo akasema hadi soda wanapokezana then Mimi nasema asubiri!akaachana na Mimi akaenda kuomba ushauri kwa fundi mmoja hivi na yule Fundi nae sijui vipi lakini,akamwambia Huyo kakupenda wala haina shaka na wala haiitaji kuuliza,jamaa kutoka pale akaenda dukani akanunua jinzi la kike na card ya mapenzi akampelekea mzungu,mzungu akaipokea huku akishangaa sana , alipomaliza kuisoma akaanza kulia na kukimbia ndani,akampigia mwenye nyumba simu ili aje amuondoe yule kijana pale,alihofia anaweza bakwa,maana jamaa hana akili,utamtongaje anayekulipa mshahara huo ni uchizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sitamsahau yule dada nataka nimlipe fadhila ila pia alikuwa mzuri sana na hakujiskia alikuwa na HIPSI laini sana nenenene alikuwa Mzanzibar pia.
Hili ndo tatizo la watanzania,Kuna MTU mmoja nae alipataga kituko kama chako,sema yeye ni kutoka kwa boss wake,ilikuwa hivi ,huyu jamaa alikuwa anafanya kazi sehemu kama janitor ,sasa kwenye ile nyumba akapatikana mpangaji Wa kizungu ni mdada,yule mzungu akatokea kuiva sana na yule janitor (kijana Wa Usafi) sasa yule kijana maskini akahisi yule mzungu amekolea kwake,akaja akaniomba ushauri kuwa boss wake inavyoonyesha amempenda ila anashindwa tu kumwambia, nikamwambia asubiri kwani wazungu kumpenda MTU kwao si ajabu na kama itakuwa kimapenzi atamwambia tu,jamaa akaniambia Mimi sielewi ndo maana namwambia hivyo akasema hadi soda wanapokezana then Mimi nasema asubiri!akaachana na Mimi akaenda kuomba ushauri kwa fundi mmoja hivi na yule Fundi nae sijui vipi lakini,akamwambia Huyo kakupenda wala haina shaka na wala haiitaji kuuliza,jamaa kutoka pale akaenda dukani akanunua jinzi la kike na card ya mapenzi akampelekea mzungu,mzungu akaipokea huku akishangaa sana , alipomaliza kuisoma akaanza kulia na kukimbia ndani,akampigia mwenye nyumba simu ili aje amuondoe yule kijana pale,alihofia anaweza bakwa,maana jamaa hana akili,utamtongaje anayekulipa mshahara huo ni uchizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa anatumika 🤣🤣🤣🤣BSS iko hivyo hivyo, mtu anaiba milioni 30 za washindi anakwenda kuhonga Ali Kiba na kumweka ndani kama kimada wake mpaka dogo kaishiwa kimuziki, yupo anahaha tu tena ICU bila hata mask.