Housegirl wa Rais Karume alivyoniokoa soko la Sabasaba Morogoro wakati tunatoka Malawi. Dada, barikiwa popote ulipo - uliniokoa

Housegirl wa Rais Karume alivyoniokoa soko la Sabasaba Morogoro wakati tunatoka Malawi. Dada, barikiwa popote ulipo - uliniokoa

Vijan
Vijana wengi wavivu wajanjawajanja kwao CV kubwa ni kuishi dar kwa wajomba .
pointi sana. nimesoma nao mikoani boarding school fulani hivi. yaani kuongea kiswahili kilichonyooka na jinsi wanajitapa na ‘kwetu moro’ basi unaweza kudhani morogoro ni bora kuliko dar es salaam. ila wanafeli sana darasani vilevile.
 
Alikuwa mnenenene mzanzibar,alikupeleka kwao sabasaba, mlitelemkia stendi ya zamani pale msamvu? Mwaka 2007/8 na kwao unapajua?
 
pointi sana. nimesoma nao mikoani boarding school fulani hivi. yaani kuongea kiswahili kilichonyooka na jinsi wanajitapa na ‘kwetu moro’ basi unaweza kudhani morogoro ni bora kuliko dar es salaam. ila wanafeli sana darasani vilevile.
Naongezea hapo,
Ukiwa nao boarding school wanajifanya kwao mambo safi, na hakika utaamini kwa [emoji817], the way wanavyoongea kuvaa na tabia kwa ujumla, likizo fupi moja nikaenda kwa mshkaji wangu mmoja Moro, Daah! Nyumba ya mbavu za mbwa! Sikuwahi kunywa chai hadi tunarudi school.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna memba alisema mpaka Corona iishe mtasema mengi
Duniani bado kuna watu wema. Nakumbuka Housegirl wa mh Rais Karume tulipanda basi toka Malawi. Miaka ya 2007/8. Nilimpigisha Sana story njiani mpaka akafurahi sana.

Tulipofika Msamvu usiku kabla stend mpya haijajengwa wakaja wahuni wengi including vibaka. Yule dada kwa kutambua hatari iliyokuwa inanikabili akaniambia twende nyumbani hapa siyo salama. Akakodi taxi tukaenda mpaka kwao maeneo ya soko la mitumba la Sabasaba.

Tulipofika hapo ikakonekana Mimi itakuwa ngumu kulala pale kwao na mbaya zaidi ilikuwa saa nane usiku na wahuni walikuwa wengi sana maeneo yale.

Yule dada akampa dreva tax hela na akamuambia anipeleke guest salama na nikipatwa na tatizo yeye dreva tax atawajibika na alichukua namba yake akahakikisha anaipiga inaita.

Nilipewa hela ya guest pia na yule dada. Dreva taxi akanipeleka guest moja nzuri karibu na soko kubwa mjini Morogoro. Kesho yake nikaendelea na safari ya kwenda Mwanza.

Naomba wewe dada kama ni memba humu tuwasiliane, ulinisaidia mnooo.

Tulikaa siti ya nyuma kabisa ya basi na Wamalawi. Na katika maongezi yetu tuliwafunika Mambo mengi kuanzia exposure mpaka lugha ya Kiingereza.

Mungu mbariki dada yule na familia ya mzee Karume.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ndo tatizo la watanzania,Kuna MTU mmoja nae alipataga kituko kama chako,sema yeye ni kutoka kwa boss wake,ilikuwa hivi ,huyu jamaa alikuwa anafanya kazi sehemu kama janitor ,sasa kwenye ile nyumba akapatikana mpangaji Wa kizungu ni mdada,yule mzungu akatokea kuiva sana na yule janitor (kijana Wa Usafi) sasa yule kijana maskini akahisi yule mzungu amekolea kwake,akaja akaniomba ushauri kuwa boss wake inavyoonyesha amempenda ila anashindwa tu kumwambia, nikamwambia asubiri kwani wazungu kumpenda MTU kwao si ajabu na kama itakuwa kimapenzi atamwambia tu,jamaa akaniambia Mimi sielewi ndo maana namwambia hivyo akasema hadi soda wanapokezana then Mimi nasema asubiri!akaachana na Mimi akaenda kuomba ushauri kwa fundi mmoja hivi na yule Fundi nae sijui vipi lakini,akamwambia Huyo kakupenda wala haina shaka na wala haiitaji kuuliza,jamaa kutoka pale akaenda dukani akanunua jinzi la kike na card ya mapenzi akampelekea mzungu,mzungu akaipokea huku akishangaa sana , alipomaliza kuisoma akaanza kulia na kukimbia ndani,akampigia mwenye nyumba simu ili aje amuondoe yule kijana pale,alihofia anaweza bakwa,maana jamaa hana akili,utamtongaje anayekulipa mshahara huo ni uchizi

Sent using Jamii Forums mobile app

Ilinitokea hii kitu shuleni secondary Mchanganyiko. Nipo form 2 kuna demu alikua ananielewa sana. Discussion nipo nae, break nipo nae, muda wa kusepa nipo nae. Anawaacha marafiki zake wa kike anakuja kwangu muda wote.

Sasa mabaharia wakaniambia oya unakula iyo pisi? Nikasema hapana ni friends tu. Wajamaa wakanipump wakasema ww uyo demu anakupenda sema anaogopa kukuambia, wewe muandikie barua unampenda.

Nikajaa upepo. Nikaenda nunua makaratasi flani ya barua yana maua kwa background. Nikaandika sound. Dah. Demu alimaind sana. Anasema alikua ananichukulia kama kaka yangu. Yaani alimaind. Nikazuga I was joking ila wapi. Demu hakuamini.

Urafiki ukaendelea ila sio kama zamani. Ambavyo tulikua tunaongea kila kitu nilikua free ila duh nikawa naona aibu tu hadi nikahama shule.
 
Hili ndo tatizo la watanzania,Kuna MTU mmoja nae alipataga kituko kama chako,sema yeye ni kutoka kwa boss wake,ilikuwa hivi ,huyu jamaa alikuwa anafanya kazi sehemu kama janitor ,sasa kwenye ile nyumba akapatikana mpangaji Wa kizungu ni mdada,yule mzungu akatokea kuiva sana na yule janitor (kijana Wa Usafi) sasa yule kijana maskini akahisi yule mzungu amekolea kwake,akaja akaniomba ushauri kuwa boss wake inavyoonyesha amempenda ila anashindwa tu kumwambia, nikamwambia asubiri kwani wazungu kumpenda MTU kwao si ajabu na kama itakuwa kimapenzi atamwambia tu,jamaa akaniambia Mimi sielewi ndo maana namwambia hivyo akasema hadi soda wanapokezana then Mimi nasema asubiri!akaachana na Mimi akaenda kuomba ushauri kwa fundi mmoja hivi na yule Fundi nae sijui vipi lakini,akamwambia Huyo kakupenda wala haina shaka na wala haiitaji kuuliza,jamaa kutoka pale akaenda dukani akanunua jinzi la kike na card ya mapenzi akampelekea mzungu,mzungu akaipokea huku akishangaa sana , alipomaliza kuisoma akaanza kulia na kukimbia ndani,akampigia mwenye nyumba simu ili aje amuondoe yule kijana pale,alihofia anaweza bakwa,maana jamaa hana akili,utamtongaje anayekulipa mshahara huo ni uchizi

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Am laughing like a crazy man hhh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teh hiyo aibu kudadeki
Hili ndo tatizo la watanzania,Kuna MTU mmoja nae alipataga kituko kama chako,sema yeye ni kutoka kwa boss wake,ilikuwa hivi ,huyu jamaa alikuwa anafanya kazi sehemu kama janitor ,sasa kwenye ile nyumba akapatikana mpangaji Wa kizungu ni mdada,yule mzungu akatokea kuiva sana na yule janitor (kijana Wa Usafi) sasa yule kijana maskini akahisi yule mzungu amekolea kwake,akaja akaniomba ushauri kuwa boss wake inavyoonyesha amempenda ila anashindwa tu kumwambia, nikamwambia asubiri kwani wazungu kumpenda MTU kwao si ajabu na kama itakuwa kimapenzi atamwambia tu,jamaa akaniambia Mimi sielewi ndo maana namwambia hivyo akasema hadi soda wanapokezana then Mimi nasema asubiri!akaachana na Mimi akaenda kuomba ushauri kwa fundi mmoja hivi na yule Fundi nae sijui vipi lakini,akamwambia Huyo kakupenda wala haina shaka na wala haiitaji kuuliza,jamaa kutoka pale akaenda dukani akanunua jinzi la kike na card ya mapenzi akampelekea mzungu,mzungu akaipokea huku akishangaa sana , alipomaliza kuisoma akaanza kulia na kukimbia ndani,akampigia mwenye nyumba simu ili aje amuondoe yule kijana pale,alihofia anaweza bakwa,maana jamaa hana akili,utamtongaje anayekulipa mshahara huo ni uchizi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom