Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
- Thread starter
- #21
Naamini walikuwa wanayafunga na kumalizia mafunzo jinsi ya kurusha.Wawe nalo ungekuta washalirusha Israel
Muda si mrefu meli ya kivita za US zitaonja joto la jiwe.
Na kwa kweli Marekani wameshanusa hatari na fedheha iliyo mbele yao.
Wameshaanza kuodosha meli zao muhimu za kijeshi kutoka Mediteranean na red sea.