Naamini walikuwa wanayafunga na kumalizia mafunzo jinsi ya kurusha.Wawe nalo ungekuta washalirusha Israel
"Russia uses Zircon hypersonic missile in Ukraine for first time, researchers say | Reuters" Russia uses Zircon hypersonic missile in Ukraine for first time, researchers saykwahiyo unajitoa ufahamu kuwa zilitumika ndani ya weak Ukraine , je zilibadili nini ?
Jaribio la mwisho la US ktk hypersonic lilifeli mkuu.Najua vizuri sana, hyoersonic missile ya Russia hata USA, Israel wanazo lakini hawaziiti hypersonic ni missiles zenye speed kali, Rusia alizitumia lakini zikawa zinadakwa huko Ukraine hata Rusia wenyewe walishuka na kumuuliza mtaalamu aliyetengeneza hayo makombora, kwa sababu bomu la hypersonic huwa halidakwi. Kwa hiyo matarajio yenu ni houth kuiangusha Israel au USA?
Kwani SMO ya Ukraine nani anaprogress mkuu?kwahiyo unajitoa ufahamu kuwa zilitumika ndani ya weak Ukraine , je zilibadili nini ?
Yaani wewe ni m'mbeya na mwongo yaani mambo ya kwenye vigodoro na singeli ndo umeleta huku? Haya mambo huyajui na hata Khadija Kopa anakuzidi mbali mno Kwa taarifa Yako Hypersonic Missiles zinamilikiwa na URUSI peke yake Dunia nzima na hayupo mwenye uwezo wa kulidungua pitia vizuri taarifa zako. Eti walimuuliza mtengenezaji kwamba mbona hayafanyi vizuri hapa umeonesha kuwa wewe ni kichaa kabisa kama siyo ubongo wa panzi umeanza kujitutumua kuongelea usiyoyajua.Najua vizuri sana, hyoersonic missile ya Russia hata USA, Israel wanazo lakini hawaziiti hypersonic ni missiles zenye speed kali, Rusia alizitumia lakini zikawa zinadakwa huko Ukraine hata Rusia wenyewe walishuka na kumuuliza mtaalamu aliyetengeneza hayo makombora, kwa sababu bomu la hypersonic huwa halidakwi. Kwa hiyo matarajio yenu ni houth kuiangusha Israel au USA?
Hao wanauza silaha popote duniani kwa bei ya kutupa.Swali langu lilikua cluster bombs,ikiwa unazijua,hypersonic ni mjadala mwingine,yaani urusi waweke silaha kwenye ghala lao bila kujuaa nguvu na udhaifu wake!!
Isreal itakuwaWameyapata wapi? Bila shaka IRAN
Na waislam wapo bizz na kupambana na makafiri wasiharibu dini yaoIsraeli yupo busy kudhibiti ugaidi na kuangalia usalama wake.
Sawa.Na waislam wapo bizz na kupambana na makafiri wasiharibu dini yao
Hawa watu ushabiki unaweza kuwa umewatia ujinga, kumiliki hiyo ndo kushinda vita? Hadi muda huu kinachotafutwa ni uhalali wa kuipiga Yemen. Hizo bandari za misaada huko gaza , wajinga hawajui ajenda yzke.Najua vizuri sana, hyoersonic missile ya Russia hata USA, Israel wanazo lakini hawaziiti hypersonic ni missiles zenye speed kali, Rusia alizitumia lakini zikawa zinadakwa huko Ukraine hata Rusia wenyewe walishuka na kumuuliza mtaalamu aliyetengeneza hayo makombora, kwa sababu bomu la hypersonic huwa halidakwi. Kwa hiyo matarajio yenu ni houth kuiangusha Israel au USA?
Vip umehama Gaza? Hamas bado wanaendeleza kichapoTakriban wiki tatu zimepita tangu wanamgambo wa Houth watangaze wanakusudia kutoa habari ya kushtua nyoyo.
Habari hiyo haikufahamika hata pale nyaya mbili za data za intaneti za chini ya bahari ziliponyofolewa ambapo wanamgambo hao hawakutoa taarifa yoyote ya kuhusika kwao kama wanavyofanya kila siku pindi wanapozilenga meli zinazopita bahari nyekundu
Hatimae shirika la habari la Urusi ,Novost limetangaza kuwa wanazo taarifa kuwa wanamgambo wa Houth wanamiliki makombora hatari ya hypersonic kwenye hazina ya silaha zao.
Report claims Yemen's Houthis have a hypersonic missile, possibly raising stakes in Red Sea crisis
off pointTofauti yake ni nini?
Kwamba kwenye media Italia kaboom ila uhalisia italia kapati!
Ninyi ndio wale mnaoamini kwenye ubora wa western weapons kama propaganda zao zinavyosema.
angalia unachokijibu na nlichoandika vinaendana , mbona reply yangu unaiongezea maneno ?Sijitoi ufahamu kwamba zilitumika,nakushangaa kusema urusi alitumia akaona za kijinga akaenda kumuuliza mtengenezaji,yaani hapo upeo wako ni kwamba silaha zinatengenezwa Kama mashine ya kukamulia juisi ya miwa
Wote nyie viazi tu! Kwamba urusi anajua atakuwa na urafiki wa milele na hao houth mpaka awape latest technology yake?Ni Urusi ndio yuko nyuma ya ilo la ayo makombora