Houth wafanya shambulio dhidi ya Marekani ambalo hata China na Urusi hawajawahi fanya

Houth wafanya shambulio dhidi ya Marekani ambalo hata China na Urusi hawajawahi fanya

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Athari ya vita vya Gaza inazidi kuenea duniani kwa vikundi vidogo kujiamini kupambana na wababe wa dunia.
Msemaji wa wanamgambo wa Houth ,Yahya Saree amesema kikosi chake kimoja kimefanikiwa kupiga meli ya kubebebea ndege (Aircraft carrier) iitwayo Eisenhower.

Kwa maelezo ya msemaji huyo kombora lililoelekezwa kwenye meli hiyo lilfanikiwa kupiga moja kwa moja kwenye meli hiyo kubwa ya kijeshi ambayo kwa muda mrefu imekuwa ikivinjari kwenye bahari inayopakana na Yemen kutoa doria kwa meli za kibiashara zinazopita eneo hilo.

Hapo jana Marekani na Uiengereza zilipandwa na hasira kwa mara nyengine na kurudi kushambulia maeneo ya Yemen baada ya Houth kufanikiwa kutungua drone ya 6 aina ya reaper ambayo ni ya ghali sana inayotumiwa na jeshi la Marekani kufanyia upelelezi kwenye maeneo ya Yemen na mengine yenye vita.

Katika mashambulio hayo ya Marekani na mshirika wake jumla ya watu 16 walikufa maeneo mbali mbali ya Yemen na ndipo Houth nao wakaamua kuipiga meli hiyo.Jeshi la Marekani bado halijakiri kufanikiwa kwa kombora la Houth kutua kwenye meli hiyo ambayo yenyewe ina mifumo ya kisasa ya kujilnda dhidi ya mashambulizi mfano wa shambulio la Houth.

Kujiamini kwa Houth kushambulia meli ya kivita inayosifika ya Marekani ni dalili ya kuwa vita vya Gaza ambavyo havikuweza kusimamishwa japo ingewezekana kutaifanya dunia iwe ni uwanja wa fujo zaidi kwani makundi mengi yatajiamini kupambana na wababe wa dunia waliokuwa wakiogopewa.

Yemen's Houthis claim attack on US aircraft carrier

 
kwa teknolojia za kileo kila kitu watu wakitaka kupiga watapiga tu.......

kwa jinsi watu walivyovurugwa ikijichanganya kwa kichaa yeyote watu watakupiga mtungo!
 
Kwahiyo Kila kitu wanachokisema unataka na sisi wenye akili zetu timamu tuwaamini? Mbona mwanzo walikuwa wanatoka taarifa ya mashambulizi Yao na video wanatuonyesha kulikoni siku za hivi karibuni?

Hatufanani uwezo wa kufikiri ww na kobaz wenzako endeleeni kuamini.
 
Wafadhili wao wakaleta ISIS
Wakasema alqaeda ina matawi jangwa la sahara na kusini ya Afrika maeneo ya Msumbiji wakala wao akiwa ni Alshabab.Ujinga mwingi tu.
Tangu vita vya Ukraine na Gaza vimeanza hawana tena updates zake.Jangwa la Sahara vijana wamesema hawataki tena ujinga na wanawatimua wafadhili wote wa Alqaeda na ISIS wote warudi kwao.
 
?
Wakasema alqaeda ina matawi jangwa la sahara na kusini ya Afrika maeneo ya Msumbiji wakala wao akiwa ni Alshabab.Ujinga mwingi tu.
Tangu vita vya Ukraine na Gaza vimeanza hawana tena updates zake.Jangwa la Sahara vijana wamesema hawataki tena ujinga na wanawatimua wafadhili wote wa Alqaeda na ISIS wote warudi kwao.
Hawa jamaa waliona watu ni mafala sana
 
Athari ya vita vya Gaza inazidi kuenea duniani kwa vikundi vidogo kujiamini kupambana na wababe wa dunia.
Msemaji wa wanamgambo wa Houth ,Yahya Saree amesema kikosi chake kimoja kimefanikiwa kupiga meli ya kubebebea ndege (Aircraft carrier) iitwayo Eisenhower.

Kwa maelezo ya msemaji huyo kombora lililoelekezwa kwenye meli hiyo lilfanikiwa kupiga moja kwa moja kwenye meli hiyo kubwa ya kijeshi ambayo kwa muda mrefu imekuwa ikivinjari kwenye bahari inayopakana na Yemen kutoa doria kwa meli za kibiashara zinazopita eneo hilo.

Hapo jana Marekani na Uiengereza zilipandwa na hasira kwa mara nyengine na kurudi kushambulia maeneo ya Yemen baada ya Houth kufanikiwa kutungua drone ya 6 aina ya reaper ambayo ni ya ghali sana inayotumiwa na jeshi la Marekani kufanyia upelelezi kwenye maeneo ya Yemen na mengine yenye vita.

Katika mashambulio hayo ya Marekani na mshirika wake jumla ya watu 16 walikufa maeneo mbali mbali ya Yemen na ndipo Houth nao wakaamua kuipiga meli hiyo.Jeshi la Marekani bado halijakiri kufanikiwa kwa kombora la Houth kutua kwenye meli hiyo ambayo yenyewe ina mifumo ya kisasa ya kujilnda dhidi ya mashambulizi mfano wa shambulio la Houth.

Kujiamini kwa Houth kushambulia meli ya kivita inayosifika ya Marekani ni dalili ya kuwa vita vya Gaza ambavyo havikuweza kusimamishwa japo ingewezekana kutaifanya dunia iwe ni uwanja wa fujo zaidi kwani makundi mengi yatajiamini kupambana na wababe wa dunia waliokuwa wakiogopewa.

Yemen's Houthis claim attack on US aircraft carrier

Wakijibiwa msije hapa kulia lia ,mara ohh ! Dini ya mnyasanzi inanyanyaswa. Mkimuanza mtu mkubali majibu yake
 
Kwahiyo Kila kitu wanachokisema unataka na sisi wenye akili zetu timamu tuwaamini? Mbona mwanzo walikuwa wanatoka taarifa ya mashambulizi Yao na video wanatuonyesha kulikoni siku za hivi karibuni?

Hatufanani uwezo wa kufikiri ww na kobaz wenzako endeleeni kuamini.

Kama historia ya utumwa kwa waarabu mliaminishwa uongo huko mashuleni na makanisani na mkaamini uongo huo, vipi habari kama hizi asilimia kubwa zinarushwa mitandaoni usiziamini!! Anģelikua ndugu yako mkristo au yahudi ungeacha kuamini?
 
Kama historia ya utumwa kwa waarabu mliaminishwa uongo huko mashuleni na makanisani na mkaamini uongo huo, vipi habari kama hizi asilimia kubwa zinarushwa mitandaoni usiziamini!! Anģelikua ndugu yako mkristo au yahudi ungeacha kuamini?
Yaani nimuunge mkono mtu kisa mkristo hata kama kaandika utumbo?
 
Basi yaishe mkuu
Sio yaishe mkuu, unapaswa uelewe kwamba hakuna Mkristo anayeshikamana na kila kitu, au kila mtu kisa Ukristo ila Muislamu kila anachotaka afanye lazima atangulize udini hata kwenye mambo ya kipumbavu.
 
Athari ya vita vya Gaza inazidi kuenea duniani kwa vikundi vidogo kujiamini kupambana na wababe wa dunia.
Msemaji wa wanamgambo wa Houth ,Yahya Saree amesema kikosi chake kimoja kimefanikiwa kupiga meli ya kubebebea ndege (Aircraft carrier) iitwayo Eisenhower.

Kwa maelezo ya msemaji huyo kombora lililoelekezwa kwenye meli hiyo lilfanikiwa kupiga moja kwa moja kwenye meli hiyo kubwa ya kijeshi ambayo kwa muda mrefu imekuwa ikivinjari kwenye bahari inayopakana na Yemen kutoa doria kwa meli za kibiashara zinazopita eneo hilo.

Hapo jana Marekani na Uiengereza zilipandwa na hasira kwa mara nyengine na kurudi kushambulia maeneo ya Yemen baada ya Houth kufanikiwa kutungua drone ya 6 aina ya reaper ambayo ni ya ghali sana inayotumiwa na jeshi la Marekani kufanyia upelelezi kwenye maeneo ya Yemen na mengine yenye vita.

Katika mashambulio hayo ya Marekani na mshirika wake jumla ya watu 16 walikufa maeneo mbali mbali ya Yemen na ndipo Houth nao wakaamua kuipiga meli hiyo.Jeshi la Marekani bado halijakiri kufanikiwa kwa kombora la Houth kutua kwenye meli hiyo ambayo yenyewe ina mifumo ya kisasa ya kujilnda dhidi ya mashambulizi mfano wa shambulio la Houth.

Kujiamini kwa Houth kushambulia meli ya kivita inayosifika ya Marekani ni dalili ya kuwa vita vya Gaza ambavyo havikuweza kusimamishwa japo ingewezekana kutaifanya dunia iwe ni uwanja wa fujo zaidi kwani makundi mengi yatajiamini kupambana na wababe wa dunia waliokuwa wakiogopewa.

Yemen's Houthis claim attack on US aircraft carrier

Hivi habari inaweza kuwa kweli, USA na nchi za NATO zinaogopa vita, dunia nchi ambazo kikundi chochote cha kigaidi hakiwezi kuchezea ni Rusia, China , Israel, India na Iran , lakini kwa nchi za NATO ambazo muda wowote magaidi yanavurumisha magari katikati ya watu na kuwaua mchana kweupe,mara risasi mashuleni
 
Hivi habari inaweza kuwa kweli, USA na nchi za NATO zinaogopa vita, dunia nchi ambazo kikundi chochote cha kigaidi hakiwezi kuchezea ni Rusia, China , Israel, India na Iran , lakini kwa nchi za NATO ambazo muda wowote magaidi yanavurumisha magari katikati ya watu na kuwaua mchana kweupe,mara risasi mashuleni
Hii habri ni kweli nimeona clip kule x jamaa wakipambana kuizima
 
Ni wa kuonewa huruma tu.. wakiamuliwa rasmi na bunge death warrant.. Allah huwa anaponda damu za waislam aliiwapoteza so anawatia mshawasha muda wote
Nani wakuwaonea huruma naona umeamua kujiriwaza baada mabwana zako kushindwa kupambana na Yemeni tuliwambia mwanzo marufuku kupitisha meli red sea kama kweli mabasha zako super power wapitishe basi mbona wamekimbia wanazunguka🤣
 
Back
Top Bottom